OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Huyu alikuwa Mwanasheria Mkuu awamu ya nne. Anasema nchi imepitia magumu sana awamu ya Magufuli.
Kwamba Rais alitumia vibaya madaraka makubwa aliyopewa kwenye katiba iliyopo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama hawataki awajibike wamrudishe atende hakiHata kama amekufa lazima atawajibishwa tu kwa aliyoyafanya
Hongera sana JAJI WEREMA kwa Kusema UKWELI KATIBA ILIYOPO NI YA KIDIKTETA na ndiyo hiyo Iliyompa UGAIDI Freeman MBOWEKatiba mpya ni lazima ili kuepuka kupata jiwe zito zaidi ya Jiwe lililopapasuka.
Huyu nae ni jipu tu! Alikuwa wapi? Kudai katiba awamu ya nne? Shit holeView attachment 2057716
Huyu alikuwa Mwanasheria Mkuu awamu ya nne. Anasema nchi imepitia magumu sana awamu ya Magufuli. Kwamba Rais alitumia vibaya madaraka makubwa aliyopewa kwenye katiba iliyopo.
Katiba hii anayoipinga ndiyo enzi zake iliwawezesha kuchota hela za escrow na kutoshtakiwa. Yakija hayo mabadiliko anayoyataka basi maisha yao yote watayamalizia jela maana haitaruhusu kabisa ufisadi.View attachment 2057716
Huyu alikuwa Mwanasheria Mkuu awamu ya nne. Anasema nchi imepitia magumu sana awamu ya Magufuli. Kwamba Rais alitumia vibaya madaraka makubwa aliyopewa kwenye katiba iliyopo.
Yaliyo pita si ndwele Tugange yajayoHahaha mbona hakuliona Enzi hizo kwani Enzo zake katiba haikufanya kazi, ila tumshukuru kwa kugeuka na kuona ukweli. Asante mheshimiwa. Nakukumbuka enzi za tumbili Kafulila.
kwa madudu waliyoifanyia nchi lazima waiogope katiba mpya maana itawaadhibu.Hivi kwa nini CCM wanaogopa katiba mpya kuliko wanavyomuogopa Mungu?
hata sasa bado inatumika vibaya,katiba ya sasa inafanya hatuna uhakika wakesho yetu nchi haina sera ya taifa kila kiongozi akija anakuja na lake,unakuta yaliokataliwa mwanzo yatafanywa sasa,badala yakuwa viongozi wanakuwa watawala harafu watu niwale wale wanageuza maneno tu! Wakati dunia inapambana nawaharifu nawavunja katiba zao wao wanaweka sheria zakuwakinga waharifu tena kwa viongozi wamihimili mikuu ya nchi..View attachment 2057716
Huyu alikuwa Mwanasheria Mkuu awamu ya nne. Anasema nchi imepitia magumu sana awamu ya Magufuli.
Kwamba Rais alitumia vibaya madaraka makubwa aliyopewa kwenye katiba iliyopo.
Wanaogopa kupoteza mali na madaraka waliyonayo na zaidi kuishia jela.Hivi kwa nini CCM wanaogopa katiba mpya kuliko wanavyomuogopa Mungu?