Jaji Werema: Tumepitia magumu awamu ya 5, Katiba Mpya ni muhimu

Jaji Werema: Tumepitia magumu awamu ya 5, Katiba Mpya ni muhimu

Katiba hii anayoipinga ndiyo enzi zake iliwawezesha kuchota hela za escrow na kutoshtakiwa. Yakija hayo mabadiliko anayoyataka basi maisha yao yote watayamalizia jela maana haitaruhusu kabisa ufisadi.
Jaji wa hivyo kuwahi kutokea nadhani kipi cha jijwa alikuwa analala massa 4 kwa siku kwa kuwa muda wowote alikuwa anajihisi ni mfungwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 2057716

Huyu alikuwa Mwanasheria Mkuu awamu ya nne. Anasema nchi imepitia magumu sana awamu ya Magufuli.

Kwamba Rais alitumia vibaya madaraka makubwa aliyopewa kwenye katiba iliyopo.

Anaweza kuwa na hoja ila kusema awamu ya Tano iliyowabana kuchota mapesa nazani hapo ataonekana ana chuki tu.

Mwaka 2014 huyu alishiriki kuchota mapesa nazani yameisha sasa nataka arudo kivingine.
 
Aliwanyoosha
Viongozi, wananchi na wanasiasa wote ni wanafiki sana, late baba wa taifa alisema mapema sana kuwa katiba hii ikimpata kiongozi wa ajabu atafanya madudu au mambo ya ajabu leo wanajifanya kama hawajawahi kusikia la mkuu.

Binafsi Jiwe alikuwa sahihi kwa asilimia 100% sababu ndiye anazidi kuwatoa wahafidhina walikojificha wakati ONYO lilishatolewa.

👉🏾 Binafsi naendelea kujifunza tabia ya binadamu.
 
Viongozi, wananchi na wanasiasa wote ni wanafiki sana, late baba wa taifa alisema mapema sana kuwa katiba hii ikimpata kiongozi wa ajabu atafanya madudu au mambo ya ajabu leo wanajifanya kama hawajawahi kusikia la mkuu.

Binafsi Jiwe alikuwa sahihi kwa asilimia 100% sababu ndiye anazidi kuwatoa wahafidhina walikojificha wakati ONYO lilishatolewa.

👉🏾 Binafsi naendelea kujifunza tabia ya binadamu.
Kweli kabisa !! Sometimes you have to swallow a bitter pill !!
 
Jf pekee yao ndio seheme watu wanadai katiba mpya wakati huku mtaani hata hyo ya ssa hawaijui na wala hawajaisoma ssa si jui tuanze na ipi maana jf watu hata mil 5 hawafiki
Milion kote ,laki yenyewe ni kwa tindo
 
Hivi kwa nini CCM wanaogopa katiba mpya kuliko wanavyomuogopa Mungu?
CCM itaendelea kupata shida sana sababu ni chama ambacho tiyari kipo nyuma ya nyakati na hivyo kipo kinayalinda madhaifu na maovu yake si kwa nguvu ya hoja bali hoja za nguvu kupitia udhaifu wa katiba uliopo. Mapinduzi ya zanzibar yanalazimishwa na ccm kimabavu, kutokuwepo kwa katiba mpya kunalazimshwa na ccm kimabavu, chaguzi za michongo zinalazishwa na ccm kimabavu, kesi za michongo na ukiukwaji wa haki za binadamu kiujumla unalazimishwa na ccm kimabavu...yaan kwa kifupi ccm haina lolote inaliweza kufanya kwa kutumia mifumo yake ya kiungozi kupitia nguvu ya hoja sababu haikubaliki tena, ni kama yenyewe haipo, inatumia taasisi za serikali kinyme cha sheria kulazimisha hoja za nguvu.
 
Naye akanyooshwa.
Mla huliwa
Ccm na serikali wanajifanya kuwa wao ni Wananchi wasio ona umuhimu wa katiba kwamba wao Wanataka maendeleo, na kwamba eti wao (ccm na serikali) hawajaitaka katiba mpya.

Huu ni ujanja wa kutufanya sisi Wananchi halisi kuwa ni wajinga,

Hivi ni kweli kuwa wamesahau tulivyopigwa na jua mchanga kuitwa kutoa maoni yetu kupitia kwa mh jaji Warioba.

Hao Wananchi wanaotaka wawaonyeshe kwamba wanatoa maoni ya hitaji wa katiba Wanataka watumie njia gani?

Au mpaka waandamane kwa vurugu kama nchi zingine ndipo muone wingi wake?

Basi kama ni hivyo ruhusuni makongamano au maandamano muwaone vizuri.
 
Hakubq kiongozi wa ovyo kama Mwendazake nchi iliwahi kumpata
 
Jf pekee yao ndio seheme watu wanadai katiba mpya wakati huku mtaani hata hyo ya ssa hawaijui na wala hawajaisoma ssa si jui tuanze na ipi maana jf watu hata mil 5 hawafiki
Hata wakati wa kudai uhuru hali ilikuwa hivohivo, kuna mijitu ilikuwa inampinga Nyerere na ikitoa mifano hai kama yako.
 
Milion kote ,laki yenyewe ni kwa tindo
Suala sio wangapi wanataka katiba mpya, suala ni kwamba je inafaa iendelee hivi hivi ? Maana inaonekana watu wameanza kuogopa kwamba akipatikana mwingine mkali kidogo atawapeleka puta hata wenzie kwa sababu katiba inamruhusu, fahamu kwamba rohoni kwa MTU ni mbali, Unaweza kumuona MTU ni mpole lakini akishakaa pale anabadilika na kuwa mkali kama pilipili, huu ni ushauri tu !!
 
Halafu haipo kwenye ilani hili kikatiba mujue
Labda 2025 iingizwe kwenye ilani
Ilan ipi tena wakati mchakato umeanza tangu awamu ya nne?!!! Sasa kama ccm hamkuingiza kwenye ilan hayo ni ya kwenu huko ccm. Kwani ilani si mnaandika wenyewe au mlitaka chauma ije iwaingizie hilo hitaji muhimu kwenye ilan yenyu??!!
Katiba ni ya wananchi siyo ya wanaccm. Kama nyie hamkuingiza vyama vingine vimeingiza, nchi hii si ya kwenu peke yenu.
 
Jaji werema huyu Huyu aliyewahi kuwa AG serikali ya awamu ya nne?? Iliyoshitumiwa na mwendazake kwamba ilibadilisha vifungu vya Sheria zilizopitishwa na bunge pasipo Bunge kujua?? Any way kila jiwe litafunuliwa.
Umeandika nini hichi?
 
Back
Top Bottom