mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,400
- 3,853
Hii haifanyi isiwe uhimu. Hata wanachama wa ccm wengi tu hawajui katiba yao, hata cdm lakini ndizo zinazotumika kuendesha hivyo vyama. So watu kutojua katiba hakufanyi katiba bora isiwe muhimu huku ni kujazana ujinga.Jf pekee yao ndio seheme watu wanadai katiba mpya wakati huku mtaani hata hyo ya ssa hawaijui na wala hawajaisoma ssa si jui tuanze na ipi maana jf watu hata mil 5 hawafiki