Asante Baba Werema. Jiwe ametuonesha panapovujaView attachment 2057716
Huyu alikuwa Mwanasheria Mkuu awamu ya nne. Anasema nchi imepitia magumu sana awamu ya Magufuli.
Kwamba Rais alitumia vibaya madaraka makubwa aliyopewa kwenye katiba iliyopo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Baba Werema. Jiwe ametuonesha panapovujaView attachment 2057716
Huyu alikuwa Mwanasheria Mkuu awamu ya nne. Anasema nchi imepitia magumu sana awamu ya Magufuli.
Kwamba Rais alitumia vibaya madaraka makubwa aliyopewa kwenye katiba iliyopo.
Umesahau mchato wa katiba uliendeshwa awamu ya nne?Huyu nae ni jipu tu! Alikuwa wapi? Kudai katiba awamu ya nne? Shit hole
Jf pekee yao ndio seheme watu wanadai katiba mpya wakati huku mtaani hata hyo ya ssa hawaijui na wala hawajaisoma ssa si jui tuanze na ipi maana jf watu hata mil 5 hawafiki
Na yeye sasa amenyookea wapi?? [emoji12][emoji12]
Yeye ndo amenyoshwa na Mungu. Maana Mungu ndiyo mtetezi wa watu wake.
South Korea, majuzi wamotoka kumshitaki Rais wao mstaafu Kwa makosa ya rushwa akiwa madarakan.
Hata kama swali lako litakosa majibu lakini ukweli utabaki palepale kuwa Raisi wa kwanza wa nchi hii kwa nini alibariki uovu wa katiba ya 1977 na huyo huyo akalazimisha uwepo wa mfumo wa vyama vingi vya siasa halafu bila katiba inayoendana na mfumo wa vyama vingi vya siasa.Yule ndie aliekuwa mchawi namba moja alietufikisha hapa tulipo.Katiba hii anayoipinga ndiyo enzi zake iliwawezesha kuchota hela za escrow na kutoshtakiwa. Yakija hayo mabadiliko anayoyataka basi maisha yao yote watayamalizia jela maana haitaruhusu kabisa ufisadi.
Katiba mpya haifukui makaburi.kwa madudu waliyoifanyia nchi lazima waiogope katiba mpya maana itawaadhibu.
THuyu ndo tumbili ama?View attachment 2057716
Huyu alikuwa Mwanasheria Mkuu awamu ya nne. Anasema nchi imepitia magumu sana awamu ya Magufuli.
Kwamba Rais alitumia vibaya madaraka makubwa aliyopewa kwenye katiba iliyopo.
Ni wengi sana walikuwa na madukuduku yao ila waliogopa kutekwaView attachment 2057716
Huyu alikuwa Mwanasheria Mkuu awamu ya nne. Anasema nchi imepitia magumu sana awamu ya Magufuli.
Kwamba Rais alitumia vibaya madaraka makubwa aliyopewa kwenye katiba iliyopo.
Swadakta !Hata kama amekufa lazima atawajibishwa tu kwa aliyoyafanya
Mtaa gani? Labda uwanja wa fisi ManzeseJf pekee yao ndio seheme watu wanadai katiba mpya wakati huku mtaani hata hyo ya ssa hawaijui na wala hawajaisoma ssa si jui tuanze na ipi maana jf watu hata mil 5 hawafiki
Kumbe ana akili sometimes!View attachment 2057716
Huyu alikuwa Mwanasheria Mkuu awamu ya nne. Anasema nchi imepitia magumu sana awamu ya Magufuli.
Kwamba Rais alitumia vibaya madaraka makubwa aliyopewa kwenye katiba iliyopo.