Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Usomi wa Tanzania ni bure kabisa, mtu kama huyu na elimu yake alikuwa anaogopa kuzungumza mpaka mzee afe? Msomi hana ujassili Namna hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hawa watu wako kama manyani. Manyani ndiyo kila inyeshapo mvua utasikia yanagugua ..''mh kesho lazima tujenge nyumba, kesho lazima tujenge nyumba''. Mvua inapoacha nayo yanasahau. Sasa hivi waliokuwa wanalia kipindi cha Magufuli (kina Makamba, Zitto, Kinana, Kikwete); wameshasahau tayari kilichowapata na hawaoni umuhimu wa katiba. Wale waliokuwa wanatamba wakati wa Magufuli (kina Polepole etc,) ndiyo zamu yao, wanalialia sasa hivi.Ccm na serikali wanajifanya kuwa wao ni Wananchi wasio ona umuhimu wa katiba kwamba wao Wanataka maendeleo, na kwamba eti wao (ccm na serikali) hawajaitaka katiba mpya.
Huu ni ujanja wa kutufanya sisi Wananchi halisi kuwa ni wajinga,
Hivi ni kweli kuwa wamesahau tulivyopigwa na jua mchanga kuitwa kutoa maoni yetu kupitia kwa mh jaji Warioba.
Hao Wananchi wanaotaka wawaonyeshe kwamba wanatoa maoni ya hitaji wa katiba Wanataka watumie njia gani?
Au mpaka waandamane kwa vurugu kama nchi zingine ndipo muone wingi wake?
Basi kama ni hivyo ruhusuni makongamano au maandamano muwaone vizuri.
Alikulamba goti sioHata kama amekufa lazima atawajibishwa tu kwa aliyoyafanya
Katiba mpya ni lazimaView attachment 2057716
Huyu alikuwa Mwanasheria Mkuu awamu ya nne. Anasema nchi imepitia magumu sana awamu ya Magufuli.
Kwamba Rais alitumia vibaya madaraka makubwa aliyopewa kwenye katiba iliyopo.
Halafu wapo humu hawatoki kishujaa wakasema.Wanajifanya hawakumbuki ilikuwa mtu akisema anawindwa kama swala porin..kina ben saanane wapo wapi?!!!!
Katiba mpya ni lazima ili kuepuka kupata jiwe zito zaidi ya Jiwe lililopapasuka.
Si mlikua mnasemaga mnataka Rais mkali sio anaecheka cheka, mmeonjeshwa kidogo tu mnaanza kulia liaView attachment 2057716
Huyu alikuwa Mwanasheria Mkuu awamu ya nne. Anasema nchi imepitia magumu sana awamu ya Magufuli.
Kwamba Rais alitumia vibaya madaraka makubwa aliyopewa kwenye katiba iliyopo.
Aliwanyoosha vyeti feki, mafisadi, wala rushwa, wapiga madiliJiwe alikuwa kiongozi wa hovyo.