Jakaya Kikwete na Ridhiwani, wageni rasmi kwenye sherehe za Jando na Unyago huko Msoga

Ila haka kamkoa ka pwani kana Mambo ya hovyo sana. Nmeshuhudia maeneo ya chalinze, msoga, mbonga, lugoba, mindu tulieni, makombe, kinzagu ni Mambo ya jando kutoa mwari na ushenzi wa shuguli za ovyo kila siku. Mkwere Yuko tayari afanye shughuri ya kutoa mwanae ambaye ashatolewa bikra kitambo wakati huo yeye analala kwa nyumba ya miti paa nyasi na analala kwa bed ya kamba.
 
Zinawapa vijana uwezo wa kukabiliana na mazingira na changamoto za kimaisha.
Ajira bora na kipato kizuri ndio vinawapa vijana uwezo wa kukabiliana na mazingira na changamoto za kimaisha.
 
Wee kenge umeandika kitu gani hiki
 
Ajira bora na kipato kizuri ndio vinawapa vijana uwezo wa kukabiliana na mazingira na changamoto za kimaisha.
Wakiwa wanaelewa mila na tamaduni nzuri za wazee wao na jamii inayowazunguka
 
Nadhani hapo wale mnaojifanya kulea watoto kizungu mnakitu Cha kujifunza hapo Kwa hawa jamaa wajanja wanatupa maigizo huku wakituficha uhalisia wa maisha yao . Hakuna asiye na kabila lake na ukijua Hilo utakumbuka kuwa yapo mengi Leo unayopata kama faida ya nasaha na malezi ya utamaduni wenu binafsi nawapongeza sana na hii ilipaswa kuwa sehemu ya maisha yetu hasa katika kipindi hiki cha janga kubwa la malezi ya watoto # KATAA utumwa wa fikra Cha kale ni dhahabu
 
Kumbe hao watoto ni wa familia yao
 
Wewe ni kichaa
 
Watoto ambao future yao ipo guarantee itakua super, wa huku lingusenguse, mkongo, Nyalamatata, litola ni giza tupu, mazingira ya kuwafanya wa achieve dreams zao hakuna!
Jando na unyago zinahusiana vipi mkuu? Saa nyingine ficha upumbavu wako wa kuwaza siasa kwenye kila kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…