Mo graphics 2019
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,002
- 1,483
Hakuna mzazi anaelazimishwa kupeleka mtoto wake huko, na wala haukatazwi.sawa, swali je ridhwani alipelekwa unyago na raisi kikwete? au yeye ridhwani kama ana mtoto kampeleka kwenye huo unyago? jibu lake wewe mwenyewe unalijua kwamba ni no, sasa kwa nini huo unyago kama ni mzuri uwe kwa watoto wa wengine tu?
Ambae anataka kupeleka apeleke asiona kama kuna manufaa asipeleke
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app