Jakaya Kikwete na Ridhiwani, wageni rasmi kwenye sherehe za Jando na Unyago huko Msoga

Jakaya Kikwete na Ridhiwani, wageni rasmi kwenye sherehe za Jando na Unyago huko Msoga

Kutumia umaarufu wa Rais mstaafu katika hii jando, ni kurudisha nyuma fikra na maendeleo ya kisasa.. Kwanini, asitumie umaarufu kuleta kitu cha kisasa cha kimaendeleo kwa watu wao.... Ukiona mtu anajikita katika mila, kuna kitu analenga au anataka kukwepa... Hiyo ni kuwateka mawazo watu wa maeneo hayo... Hawa watoto ambao wanaonekana karibu miaka 10 , wangepewa ujuzi unaowasaidia katika maisha ya sasa, sio kuwaweka kwenye kambi ya jando kama hizo..
We nenda kwenye white party zenu
Na pink party endelea na uzungu wenu
Ndomana ushg unatamalaki

Ova
 
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mhe Ridhiwani Kikwete, Mbunge wa Chalinze ambaye pia ni Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, wakitembelea vijana kambini kwao usiku kijijini Msoga wilaya ya Chalinze mkoani Pwani ukoo wa Kikwete walikuwa na sherehe kubwa ya jando na unyago.

Wavulana na Wasichana hao waliotoka siku hiyo ni wajukuu wa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na kaka zake na dada zake.
View attachment 2861386View attachment 2861387View attachment 2861388View attachment 2861389
Marais na mawaziri wenu wa karne nyingi zijazo.
 
Uko sahihi, umeme uwashwe saa 24 bila kukatika Kama hakuna national emergency.

Kuhusu kupromote Unyago karne ya 21 naona Kama hata watu wanachelewa sana, Unyago ulipaswa uwe lazima kwa kila kabila kuendana na mila na desturi zao.


KTY; Mila, Desturi na Tamaduni ndivyo vinavyotufafanua na kutukamilisha as individuals and societies in general. Ni zaidi ya muhimu.

chagueni moja unyago ambao ni satanic animalistic evil au christinianity/ Uislamu, unyago ni anti christ na hauwezi kuendelea kamwe bila ya kufwata christianity (western) kwani mfumo wa kidunia unaoleta maendeleo ni christian, na wote wanaotaka kuendelea na walioendelea walifwata christian (western) way of life hakuna mbadala.

hao ma elite wa kiislamu wanawadanganya ili wawendelee kuwatala hawaishi hivyo kwa kufwata unyago na mifumo ya maisha yao na familia zao ni western christian mambo ya unyago wala hawayafwati is for the camera tu na kuwadanganya ili muendelee kubakia chini kwenye utumwa na wao waendelee kuwatawala.

mila zetu haziwezi kutuendeleza na kutustaarabisha hivyo hatuna budi kuziacha na kuchukuwa christianity (western) way of life.

waambie wawashe umeme …
 
Bado ni maneno leta ushahidi usio na shaka.
Ushahidi usio na shaka hutolewa kwa kiapo!! Kama muislam unashika msaafu ; mkristo unashika bibilia na kama huna dini unatafutiwa utaratibu wa kuapa!! Hapo hutakiwi kuleta porojo ama sivyo unakwenda lupango!!!
 
Back
Top Bottom