Mo graphics 2019
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,002
- 1,483
Hakuna mzazi anaelazimishwa kupeleka mtoto wake huko, na wala haukatazwi.sawa, swali je ridhwani alipelekwa unyago na raisi kikwete? au yeye ridhwani kama ana mtoto kampeleka kwenye huo unyago? jibu lake wewe mwenyewe unalijua kwamba ni no, sasa kwa nini huo unyago kama ni mzuri uwe kwa watoto wa wengine tu?
Tafuta tu mume akuoe itakusaidia kuondoa hiyo chuki121st century mnapromote unyago? what about kuwasha umeme watu wafanye kazi wajiari na kupata kipato?
Alisema tupunguze kuzaa, wakamuuliza ana watoto wangapi? Hakujibu hilo swalianapenda chini vibaya mno.
Inategemeana na tafsiri yako ya neno "USHIRIKINA" hata teknolojia waweza itumia upate vyeo.Ikiwemo ushirina; ili kupata vyeo kisiasa na serikalini hawa watu inabidi walale na maiti!!🤣🤣
Huu upumbavu ndiyo ulitufikisha hapa Tulipo kuamini kwamba Umagharibi ndiyo nuru na UAfrika ndo Giza huu ni upuuuzaaaHaya ni mambo ya kijima na ya zama za giza.
Mbona wazungu wana Mila zao mpaka leo na Bado wana maendeleo yaani uwa natamani kuwapiga makofi nyie wenye mawazo ya kijinga..Inasikitisha sana, ndio maana kupata maendeleo Africa ni vigumu sana.
Ajira ni utumwa na Elimu ya Kimagharibi ni Utumwa wa Kizazi kipya (Neo-Colonialism)Ajira bora na kipato kizuri ndio vinawapa vijana uwezo wa kukabiliana na mazingira na changamoto za kimaisha.
Masikini watoto wa watu wanaenda kuanza form 1 bila visimi vyao.
Hujui unalosema kabisaMasikini watoto wa watu wanaenda kuanza form 1 bila visimi vyao.
Hahaha... Huo ukanda kwa initiations ceremonies wapo vizuri
Kulala na maiti ni ushrikina, hakuna technolojia hapo! Watu wa huko anakotoka Vasco Dagama ni maarufu kwa nguvu za giza!Inategemeana na tafsiri yako ya neno "USHIRIKINA" hata teknolojia waweza itumia upate vyeo.
ukitaka kujua kwa nini wanazima umeme na kutesa watu au kwa nini watoto albino hawakuwa protected na walitekwa kuuliwa na kukatwa viungo angalia tu matendo ya watawala wetu, hata umeme upo na na wanakata makusudi sababu ya matambiko, nina uhakika kwa 100% raisi mstaafu kikwete hakumpeleka ridhwani unyago kama alitairiwa alimpeleka hospitalini na nina uhakika kama ridhwani ana mtoto hakumpeleka unyago bali hospitalini and the question is kama unyago ni mzuri kwa nini wao wasipeleke watoto wao kwa nini utamaduni uenziwe na wengine tu?
nchi hii adui mkuu wa maendeleo ni uislamu wa tanzania ambao aidha haueleweki na wajiitao waislamu au wenyewe ni tatizo lkn mara nyingi uislamu hauwezi kuwa na tatizo kwani umetumika jamii nyingine kuleta maendeleo na ustaarabu hivyo tatizo ni waislamu wa tanzania na watu aina hii tunategemea watuvushe 20th century kweli?
21st century mnapromote unyago? what about kuwasha umeme watu wafanye kazi wajiari na kupata kipato?
Ila haka kamkoa ka pwani kana Mambo ya hovyo sana. Nmeshuhudia maeneo ya chalinze, msoga, mbonga, lugoba, mindu tulieni, makombe, kinzagu ni Mambo ya jando kutoa mwari na ushenzi wa shuguli za ovyo kila siku. Mkwere Yuko tayari afanye shughuri ya kutoa mwanae ambaye ashatolewa bikra kitambo wakati huo yeye analala kwa nyumba ya miti paa nyasi na analala kwa bed ya kamba.
Binti gani saizi ambaye hajui mtoto anapatikana vipUnyago sio kukeketwa. Wanafundishwa mambo ya kawaida tuu ingawa mengine ni ya kikubwa zaidi. Mfano jinsi mtoto anavyopatikana, binti atajua kumbe hanunuliwi atamtoa mwilini mwake muda ukifika, usipekue pekue godoro la wazazi wako, usiingie chumbani kwa wazazi wako bila ruhusa, kuwaheshimu wakubwa wako na mengine mengi tuu
Uko sahihi sanaIngawa teknolojia imekua
Bado hatupaswi kupuuza tamaduni zetu.
Ila nimeona madogo wa 3 wana vitambi na viduku. Ina maana huko ni buffee na saloon kwa sana.Alifanyiwa, kumbuka kwenye unyago na jando jamii zote za kuanzia Mtwara, Lindi, Pwani n.k, suala la kupeleka mtoto kwenye jando (mtoto wa kiume) na unyago (mtoto wa kike ) ni "LAZIMA"
Kinachotofautisha kati ya masikini na tajiri ni maeneo ya kufanyia hayo matukio ya jando na unyago.
Huyu atafanyia porini huko na huyu atatafuta eneo lililojitenga na jamii ila kuna miundombinu ya kuishi, atafungiwa humo mtoto/watoto kwa kipindi kisichozidi mwezi huku akila elimu ya jadi, jamii, ndoa na kufanya ushirikina(matambiko).
Hilo tukio unaloliona ni sherehe ya kuhitimisha zoezi hilo baada ya kukaa kambini kwa takribani mwezi mzima bila kuonana na wazazi wao tofauti na yule anayewafunda na wale wanaowaandalia chakula.
Kwa tajiri ni kujiachia, huku pangu pakavu tia mchuzi unafurahia lishe siku ukitoka jandoni, ila ukiwa huko jandoni ni mwendo wa ugali dagaa wa kuchemshwaIla nimeona madogo wa 3 wana vitambi na viduku. Ina maana huko ni buffee na saloon kwa sana.