Jakaya Kikwete na Ridhiwani, wageni rasmi kwenye sherehe za Jando na Unyago huko Msoga

We nenda kwenye white party zenu
Na pink party endelea na uzungu wenu
Ndomana ushg unatamalaki

Ova
 
Marais na mawaziri wenu wa karne nyingi zijazo.
 

chagueni moja unyago ambao ni satanic animalistic evil au christinianity/ Uislamu, unyago ni anti christ na hauwezi kuendelea kamwe bila ya kufwata christianity (western) kwani mfumo wa kidunia unaoleta maendeleo ni christian, na wote wanaotaka kuendelea na walioendelea walifwata christian (western) way of life hakuna mbadala.

hao ma elite wa kiislamu wanawadanganya ili wawendelee kuwatala hawaishi hivyo kwa kufwata unyago na mifumo ya maisha yao na familia zao ni western christian mambo ya unyago wala hawayafwati is for the camera tu na kuwadanganya ili muendelee kubakia chini kwenye utumwa na wao waendelee kuwatawala.

mila zetu haziwezi kutuendeleza na kutustaarabisha hivyo hatuna budi kuziacha na kuchukuwa christianity (western) way of life.

waambie wawashe umeme …
 
Bado ni maneno leta ushahidi usio na shaka.
Ushahidi usio na shaka hutolewa kwa kiapo!! Kama muislam unashika msaafu ; mkristo unashika bibilia na kama huna dini unatafutiwa utaratibu wa kuapa!! Hapo hutakiwi kuleta porojo ama sivyo unakwenda lupango!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…