LGE2024 Jakaya Kikwete upo unaangalia tu siasa za ovyo wanafanyiwa Watanzania kweli? Demokrasia ipo wapi?

LGE2024 Jakaya Kikwete upo unaangalia tu siasa za ovyo wanafanyiwa Watanzania kweli? Demokrasia ipo wapi?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Mimi ni Mtanzania ila nimeumizwa sana na hiki kilichofanyika Serikali za Mitaa.

Inawezekana vipi ukatumia mabilioni ya pesa kwenye taifa masikini ili tu ufanye uchaguzi wa kiini macho?

Kwanini hizo pesa usiwekeze kwa hili tatizo la ajira, elimu na afya? Sisi ni wazima kweli kiakili?

Jakaya Kikwete umebaki kama mshauri mkuu wa masuala yote ya kijamii, haya mambo yanalifanya hili taifa lijitengenezee uhasama.

Watu hawapendwi ila hawasemi. Kuanzia hao wasimamizi na maafisa uchaguzi hawafurahii haya mambo.

Kumbukeni tulimtoa mkoloni ili tujitawale na eneo pekee la kubadirishana uongozi ni kura na siyo pengine.
 
Ujinga huu hautadumu kamwe siku yaja Tanzania itagawanyika.
 
Nafikili kaishaona kuwa sasaivi ukishauli unaweza kwenda na maji kaona bora akae kimya kunusuru maisha yake yaliobakia maa ndani ya CCM sasaivi wazalimu ni wengi sana
 
Mimi ni mtanzania ila nimeumizwa sana na hiki kilichofanyika serikali za mitaa.

Inawezekana vipi ukatumia mabilioni ya pesa kwenye taifa masikini ili tu ufanye uchaguzi wa kiini macho?

Kwanini hizo pesa usiwekeze kwa hili tatizo la ajira, elimu na afya? Sisi ni wazima kweli kiakili?

Jakaya Kikwete umebaki kama mshauri mkuu wa masuala yote ya kijamii, haya mambo yanalifanya hili taifa lijitengenezee uhasama.

Watu hawapendwi ila hawasemi. Kuanzia hao wasimamizi na maafisa uchaguzi hawafurahii haya mambo.

Kumbukeni tulimtoa mkoloni ili tujitawale na eneo pekee la kubadirishana uongozi ni kura na siyo pengine.
Kabisa
 
Mimi ni mtanzania ila nimeumizwa sana na hiki kilichofanyika serikali za mitaa.

Inawezekana vipi ukatumia mabilioni ya pesa kwenye taifa masikini ili tu ufanye uchaguzi wa kiini macho?

Kwanini hizo pesa usiwekeze kwa hili tatizo la ajira, elimu na afya? Sisi ni wazima kweli kiakili?

Jakaya Kikwete umebaki kama mshauri mkuu wa masuala yote ya kijamii, haya mambo yanalifanya hili taifa lijitengenezee uhasama.

Watu hawapendwi ila hawasemi. Kuanzia hao wasimamizi na maafisa uchaguzi hawafurahii haya mambo.

Kumbukeni tulimtoa mkoloni ili tujitawale na eneo pekee la kubadirishana uongozi ni kura na siyo pengine.
Kikwete asitwishwe mzigo husio muhusu , wenda ametengwa ndo maana mambo hayaendi sawa ,please mwacheni mzee ale maisha
 
Alifanya kwa wakati wake nadhani ni busara kwake yeye kupumzika. Ilivyo wakati huu ni aina nyingine ya Demokrasia ambayo inapaswa kuogea Duniani kote. Iingizwe kwenye vitabu watu wasome. Hii ndio namna mtu mweusi anaweza kupractice Democracy. Tumeipenda wenyewe ndio maana husikii tukipiga kelele na walio nje kwa maana ya waangalizi nao wameamua kujifunza kwanza.
 
Nafikili kaishaona kuwa sasaivi ukishauli unaweza kwenda na maji kaona bora akae kimya kunusuru maisha yake yaliobakia maa ndani ya CCM sasaivi wazalimu ni wengi sana
Hakuna kitu wanaweza kumfanyia mzee wa msoga yeye ndo kawaweka hapo walipo
 
Back
Top Bottom