Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Mimi ni Mtanzania ila nimeumizwa sana na hiki kilichofanyika Serikali za Mitaa.
Inawezekana vipi ukatumia mabilioni ya pesa kwenye taifa masikini ili tu ufanye uchaguzi wa kiini macho?
Kwanini hizo pesa usiwekeze kwa hili tatizo la ajira, elimu na afya? Sisi ni wazima kweli kiakili?
Jakaya Kikwete umebaki kama mshauri mkuu wa masuala yote ya kijamii, haya mambo yanalifanya hili taifa lijitengenezee uhasama.
Watu hawapendwi ila hawasemi. Kuanzia hao wasimamizi na maafisa uchaguzi hawafurahii haya mambo.
Kumbukeni tulimtoa mkoloni ili tujitawale na eneo pekee la kubadirishana uongozi ni kura na siyo pengine.
Inawezekana vipi ukatumia mabilioni ya pesa kwenye taifa masikini ili tu ufanye uchaguzi wa kiini macho?
Kwanini hizo pesa usiwekeze kwa hili tatizo la ajira, elimu na afya? Sisi ni wazima kweli kiakili?
Jakaya Kikwete umebaki kama mshauri mkuu wa masuala yote ya kijamii, haya mambo yanalifanya hili taifa lijitengenezee uhasama.
Watu hawapendwi ila hawasemi. Kuanzia hao wasimamizi na maafisa uchaguzi hawafurahii haya mambo.
Kumbukeni tulimtoa mkoloni ili tujitawale na eneo pekee la kubadirishana uongozi ni kura na siyo pengine.