LGE2024 Jakaya Kikwete upo unaangalia tu siasa za ovyo wanafanyiwa Watanzania kweli? Demokrasia ipo wapi?

LGE2024 Jakaya Kikwete upo unaangalia tu siasa za ovyo wanafanyiwa Watanzania kweli? Demokrasia ipo wapi?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Akina mnyika walimuita rais dhaifu, anachekacheka na kudeka....... Akaja ngosha na dada yake wanauoeleka moto tena mnalialia......

Suluhisho ni kususia uchaguzi tu kwa muda ili msipata mikong'oto, vilema na kurestishwa .


Chadema acheni ukabira!

2025 act wazakendo itapata majimbo kwenye kumi na viti maalum pia kibao.
 
Atoe Ushauri
vijana wa leo hata nyie mnaosema atoe ushauri msikute hata mkikutana na wazee wenu nyumbani hamkubali wawashauri. mzee wa watu atakushauri ukiondoka utajisemea mwenyewe. kua mzee nae uzee unampeleka vibaya.

mimi naona bora ungezilaumu hizi tasisi za kijeshi zinazokubari huu ujinga.

kwa ufupi tangu kipindi cha magufuri nchi hii imeshachanganyikiwa kisiasa.serkaali ndio wamekua waharifu kuliko Raia. hivyo jamii ijianda kwa bomu hili wanalolitengeneza wenyewe.
 
Afadhali haka kazee kalikua na democracy japo ya unafiki.
 
Yeye si ndio mtunzi wa huu upuuzi wote, muasisi wa kila uchafu wa kisiasa.
Acha upumbavu ,muasisi na muanzilishi wa siasa za chuki, kupita bila kupigwa ,kutekana ndani ya nchi hii ni jiwe hawa wengine ni waendelezaji.
 
Akina mnyika walimuita rais dhaifu, anachekacheka na kudeka....... Akaja ngosha na dada yake wanauoeleka moto tena mnalialia......

Suluhisho ni kususia uchaguzi tu kwa muda ili msipata mikong'oto, vilema na kurestishwa .


Chadema acheni ukabira!

2025 act wazakendo itapata majimbo kwenye kumi na viti maalum pia kibao.
Na bado aliruhusu uchaguz huru chadema mkapata wabunge wengi na madiwani. Mwacheni apumzike JK tutamkumbika
 
Siasa za visasi, kuuana, kutekana na vitisho ziliasisiwa na mwendazake - sasa hizi mama abdul anafanya mwendelezo wake hataki kiachana nazo.

Kwa sytle hii - 2025 kazini kwake kuna kazi.
 
Mimi ni Mtanzania ila nimeumizwa sana na hiki kilichofanyika Serikali za Mitaa.

Inawezekana vipi ukatumia mabilioni ya pesa kwenye taifa masikini ili tu ufanye uchaguzi wa kiini macho?

Kwanini hizo pesa usiwekeze kwa hili tatizo la ajira, elimu na afya? Sisi ni wazima kweli kiakili?

Jakaya Kikwete umebaki kama mshauri mkuu wa masuala yote ya kijamii, haya mambo yanalifanya hili taifa lijitengenezee uhasama.

Watu hawapendwi ila hawasemi. Kuanzia hao wasimamizi na maafisa uchaguzi hawafurahii haya mambo.

Kumbukeni tulimtoa mkoloni ili tujitawale na eneo pekee la kubadirishana uongozi ni kura na siyo pengine.
Unataka Mkuu Jakaya akuandamanie? labda atoke yeye na Salama Kikwete waandamane kuounga uchaguzi? Tusipo acha huu ujinga tutaumia sana
 
Mimi ni Mtanzania ila nimeumizwa sana na hiki kilichofanyika Serikali za Mitaa.

Inawezekana vipi ukatumia mabilioni ya pesa kwenye taifa masikini ili tu ufanye uchaguzi wa kiini macho?

Kwanini hizo pesa usiwekeze kwa hili tatizo la ajira, elimu na afya? Sisi ni wazima kweli kiakili?

Jakaya Kikwete umebaki kama mshauri mkuu wa masuala yote ya kijamii, haya mambo yanalifanya hili taifa lijitengenezee uhasama.

Watu hawapendwi ila hawasemi. Kuanzia hao wasimamizi na maafisa uchaguzi hawafurahii haya mambo.

Kumbukeni tulimtoa mkoloni ili tujitawale na eneo pekee la kubadirishana uongozi ni kura na siyo pengine.
Ni lini uliwahi kujitawala? Huyo Kikwete na yeye si ni walewale tu. Kimsingi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa umeboa sana.
 
Acha upumbavu ,muasisi na muanzilishi wa siasa za chuki, kupita bila kupigwa ,kutekana ndani ya nchi hii ni jiwe hawa wengine ni waendelezaji.
mpumbavu baba yako alieacha kuvaa mpira siku aliyokutana na mama yako kimwili kupelekea kuzaliwa nguchiro moja kama wewe inayojifanya ina uchungu sana na Kikwete kiasi cha kutukana watu usiowajua.
 
mpumbavu baba yako alieacha kuvaa mpira siku aliyokutana na mama yako kimwili kupelekea kuzaliwa nguchiro moja kama wewe inayojifanya ina uchungu sana na Kikwete kiasi cha kutukana watu usiowajua.
Una mdomo mchafu kama unakulaga mavi.
Sina uchungu na Kikwete maana hana faida yeyote kwenye maisha yangu, ila nimekuelimisha kuwa aliye azisha siasa za kipumbavu ndani ya nchi hii ni nani acha kumsingizia Kikwete .
Utawala wa Kikwete ulikuwa na mapungufu lakini isiwe sababu ya kumpakazia mambo ambayo hakuya fanya.

Kipindi jiwe ana fanya mambo ya ajabu kwenye uchaguzi wa 2020 mlikuwa mna mshangilia na kumuita shujaa ,sijui wapinzani wanachelewesha maendeleo.
Leo hii Samia anayaendeleza mnalalamika.
 
Mimi ni Mtanzania ila nimeumizwa sana na hiki kilichofanyika Serikali za Mitaa.

Inawezekana vipi ukatumia mabilioni ya pesa kwenye taifa masikini ili tu ufanye uchaguzi wa kiini macho?

Kwanini hizo pesa usiwekeze kwa hili tatizo la ajira, elimu na afya? Sisi ni wazima kweli kiakili?

Jakaya Kikwete umebaki kama mshauri mkuu wa masuala yote ya kijamii, haya mambo yanalifanya hili taifa lijitengenezee uhasama.

Watu hawapendwi ila hawasemi. Kuanzia hao wasimamizi na maafisa uchaguzi hawafurahii haya mambo.

Kumbukeni tulimtoa mkoloni ili tujitawale na eneo pekee la kubadirishana uongozi ni kura na siyo pengine.
wacha Mzee apumzike gentleman 🐒
 
Mimi ni Mtanzania ila nimeumizwa sana na hiki kilichofanyika Serikali za Mitaa.

Inawezekana vipi ukatumia mabilioni ya pesa kwenye taifa masikini ili tu ufanye uchaguzi wa kiini macho?

Kwanini hizo pesa usiwekeze kwa hili tatizo la ajira, elimu na afya? Sisi ni wazima kweli kiakili?

Jakaya Kikwete umebaki kama mshauri mkuu wa masuala yote ya kijamii, haya mambo yanalifanya hili taifa lijitengenezee uhasama.

Watu hawapendwi ila hawasemi. Kuanzia hao wasimamizi na maafisa uchaguzi hawafurahii haya mambo.

Kumbukeni tulimtoa mkoloni ili tujitawale na eneo pekee la kubadirishana uongozi ni kura na siyo pengine.
Umeongea Kwa Uchungu sana yanayo kusibu and the like!
 
Chadema leo ndio mnamuona jk mtu wa maana baada ya kumuita dhaifu

USSR
 
Back
Top Bottom