LGE2024 Jakaya Kikwete upo unaangalia tu siasa za ovyo wanafanyiwa Watanzania kweli? Demokrasia ipo wapi?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Acha upumbavu ,muasisi na muanzilishi wa siasa za chuki, kupita bila kupigwa ,kutekana ndani ya nchi hii ni jiwe hawa wengine ni waendelezaji.
Na kilichotokea magufuli alipofanya ule uchafu wakafanikiwa kwa asilimia mia moja kwaiyo hawawezi kuacha tena CCM
 
HANA KHABARI

LABDA WARIOBA NA MZEE BUTIKU NDIO WATASEMA NENO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…