Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,527
Akiwa anatoa hotuba ya Kumsimika Makamu wa Chuo Kikuu Dar es Salaam. Prof. William Lazaro Anangisye, ametoa Mfano akiwa mwenyekiti wa CCM huko Mtwara akotokea Jeshini.
Aliambiwa... “Ukitaka Mambo yako yafanikiwe, Haki ya Mungu, Fulani na fulani kaa Mbali nao!
Mwishowe kasema, “Tengeneza adui Wako Mwenyewe” na akakumbushia "Za Kupewa Changanya na za Kwako (za Mbayuwayu).”
Kasema ishi na Mtu kama alivyo, tuchukuliane na madhafui ya kila mmoja!
Fundisho: Kuna Ujumbe bila shaka Umemfikia bwana yule, Ametengenezewa maadui pia hawezi Kuchukuliana Kama ilivyo kwa wanadamu hakuna aliyekamilika.
Vyeo ni vya Muda tu na Kitambo kifupi tutaishi na Jamii hii hii tunayoitesa tukiwa na Vyeo.
Big up Prof. Jakaya Kikwete.
Aliambiwa... “Ukitaka Mambo yako yafanikiwe, Haki ya Mungu, Fulani na fulani kaa Mbali nao!
Mwishowe kasema, “Tengeneza adui Wako Mwenyewe” na akakumbushia "Za Kupewa Changanya na za Kwako (za Mbayuwayu).”
Kasema ishi na Mtu kama alivyo, tuchukuliane na madhafui ya kila mmoja!
Fundisho: Kuna Ujumbe bila shaka Umemfikia bwana yule, Ametengenezewa maadui pia hawezi Kuchukuliana Kama ilivyo kwa wanadamu hakuna aliyekamilika.
Vyeo ni vya Muda tu na Kitambo kifupi tutaishi na Jamii hii hii tunayoitesa tukiwa na Vyeo.
Big up Prof. Jakaya Kikwete.