Makalai??? We sio raia ni mamluki wa kupiga kuraJk ni professor?Kweli huko UPINZANI yamejaa MAKALAI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makalai??? We sio raia ni mamluki wa kupiga kuraJk ni professor?Kweli huko UPINZANI yamejaa MAKALAI.
Mkuu mda uliotumia kujibu hili kwann usingejielekeza kuja na hoja kuthibitisha jk kuwa ni professor?Makalai??? We sio raia ni mamluki wa kupiga kura
Nilitaka kwanza kuthibisha uraia wako maana inaonekana hukuwepo akitunukiwa. Japo siuungi mkono lakini alipewaMkuu mda uliotumia kujibu hili kwann usingejielekeza kuja na hoja kuthibitisha jk kuwa ni professor?
Si ulete hapa huo uthibitisho?Nilitaka kwanza kuthibisha uraia wako maana inaonekana hukuwepo akitunukiwa. Japo siuungi mkono lakini alipewa
Rais Kikwete atunukiwa u-profesa na Rais wa ChinaSi ulete hapa huo uthibitisho?
Umendika upuuzi mtupu unaochochewa na hasira na chuki kwa serikali ya Magufuli.Akiwa anatoa hotuba ya Kumsimika Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Dar es Salaam. Prof. William Lazaro Anangisye, ametoa Mfano akiwa mwenyekiti wa CCM huko Mtwara akotokea Jeshini. Aliambiwa Ukitaka Mambo yako yafanikiwe "Haki ya Mungu" Fulani na fulani kaa Mbali nao!
Mwishowe kasema, Tengeneza adui Wako Mwenye "Za Kupewa Changanya na za Kwako'" Za Mbayuwayu.
Kasema ishi na Mtu kama alivyo, tuchukuliane na madhai ya kila mmoja!
Fundisho: Kuna Ujumbe bila shaka Umemfikia bwana yule, Ametengenezewa maadui pia hawezi Kuchukuliana Kama ilivyo kwa wanadamu hakuna aliyekamilika. Vyeo ni vya Muda tu na Kitambo kifupi tutaishi na Jamii hii hii tunayoitesa tukiwa na Vyeo.
Big up Prof. Jakaya Kikwete.
Mkuu hiyo nimeiona hahahahahaha. Jk ni Dr. Uprofesa hutunukiwi. Na alipewa udokta wa heshima. Hakuna uprofesa wa heshima.Rais Kikwete atunukiwa u-profesa na Rais wa China
Siku nyingine usibishane na mimi tena kabishane na wenzako mnaovaa nguo kama majani ya migomba
Hapo nimekuelewa vizuri sana. Pengine hata Mzee Ruksa aliposema bwana yule apewe hata miaka 40 alikuwa anamtukana! Pwani ni hatari!Wewe ndo una haraka ya kumjibu kama umetumwa kufanya
damage control...
Kikwete anajua ujumbe wake hasa unamlenga nani...
watu wa pwani wanaweza kumtukana mtu kwa kumsifia
Kama hujui hilo basi wewe ni kopo la chooni kabisa
Mkuu hiyo nimeiona hahahahahaha. Jk ni Dr. Uprofesa hutunukiwi. Na alipewa udokta wa heshima. Hakuna uprofesa wa heshima.
Geinye mbaya mkuu, unawekea watu maneno vinywani! Angalia hilo nalo ni dhambi ukipendaAkiwa anatoa hotuba ya Kumsimika Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Dar es Salaam. Prof. William Lazaro Anangisye, ametoa Mfano akiwa mwenyekiti wa CCM huko Mtwara akotokea Jeshini. Aliambiwa Ukitaka Mambo yako yafanikiwe "Haki ya Mungu" Fulani na fulani kaa Mbali nao!
Mwishowe kasema, Tengeneza adui Wako Mwenye "Za Kupewa Changanya na za Kwako'" Za Mbayuwayu.
Kasema ishi na Mtu kama alivyo, tuchukuliane na madhai ya kila mmoja!
Fundisho: Kuna Ujumbe bila shaka Umemfikia bwana yule, Ametengenezewa maadui pia hawezi Kuchukuliana Kama ilivyo kwa wanadamu hakuna aliyekamilika. Vyeo ni vya Muda tu na Kitambo kifupi tutaishi na Jamii hii hii tunayoitesa tukiwa na Vyeo.
Big up Prof. Jakaya Kikwete.
Expansion jointUlisoma mchepuo gani sekondary mkuu?
Kama Mzee Mwinyi alivyomtukana bwana yule kuwa miaka kumi ikiisha aongezewe mingine.Wewe ndo una haraka ya kumjibu kama umetumwa kufanya
damage control...
Kikwete anajua ujumbe wake hasa unamlenga nani...
watu wa pwani wanaweza kumtukana mtu kwa kumsifia
Wewe ndo una haraka ya kumjibu kama umetumwa kufanya
damage control...
Kikwete anajua ujumbe wake hasa unamlenga nani...
watu wa pwani wanaweza kumtukana mtu kwa kumsifia