Jakaya Kikwete: Usirithi adui ya mtu... Tengeneza Adui yako Mwenyewe, lakini...

Jakaya Kikwete: Usirithi adui ya mtu... Tengeneza Adui yako Mwenyewe, lakini...

Wakati Rais mstaafu Jakaya Kikwete anaondoka madarakani, kuna ushauri mmoja alimpa Rais aliyekuwa anaingia, yaani John Magufuli.

Alimwambia, 'siyo jambo jema kurithi maadui wa mtu mwingine'.

Sina uhakika au kumbukumbu ujumbe ule alikuwa anawalenga watu gani hasa. Inawezekana sana alikuwa anamaanisha Rais wa Rwanda, Paul Kagame ambaye kuna kipindi Kikwete na Kagame walipishana kauli au kutofautiana mitazamo.

Tuliona baada ya kuingia madarakani, kulikuwa na ukaribu mkubwa kati ya Magufuli na Kagame, ingawa baadae kwa sababu zisizojulikana tuliona ukaribu ule ulipungua au haukuwa wa wazi tena.

Sasa tumepata Rais mpya, Mama Samia Hassan. Nadhani huu ujumbe ni vizuri na yeye akapewa na kuuzingatia kwa maslahi mapana ya taifa.

Rais Magufuli ni mtu ambaye hakuwa anaona aibu kuwashughulikia watu alioona kwa mtazamo wake kuwa 'wanamkwamisha' na hilo lilimtengenezea maadui wengi sana. Ilihitaji nguvu kubwa ya dola kutumika 'kuwashikisha adabu' hawa maadui wake, na kwa kuwa binadamu siyo ng'ombe, wengi hawakusalimu amri mpaka leo.

Sidhani kama ni busara Mama Samia aende kurithi hawa maadui wa marehemu. Nadhani ni vyema atue huu mzigo mzito. Itamsaidia sana kisiasa na kiutawala.

PS. MODS ACHENI KUFUTA NYUZI ZANGU BILA SABABU ZA MSINGI. SIYO POA KABISA MNACHOFANYA.
 
Wakati Rais mstaafu Jakaya Kikwete anaingia madarakani, kuna ushauri mmoja alimpa Rais aliyekuwa anaingia, yaani John Magufuli.

Alimwambia, 'siyo jambo jema kurithi maadui wa mtu mwingine'.

Sina uhakika au kumbukumbu ujumbe ule alikuwa anawalenga watu gani hasa. Inawezekana sana alikuwa anamaanisha Rais wa Rwanda, Paul Kagame ambaye kuna kipindi Kikwete na Kagame walipishana kauli au kutofautiana mitazamo.

Tuliona baada ya kuingia madarakani, kulikuwa na ukaribu mkubwa kati ya Magufuli na Kagame, ingawa baadae kwa sababu zisizojulikana tuliona ukaribu ule ulipungua au haukuwa wa wazi tena.

Sasa tumepata Rais mpya, Mama Samia Hassan. Nadhani huu ujumbe ni vizuri na yeye akapewa na kuuzingatia kwa maslahi mapana ya taifa.

Rais Magufuli ni mtu ambaye hakuwa anaona aibu kuwashughulikia watu alioona kwa mtazamo wake kuwa 'wanamkwamisha' na hilo lilimtengenezea maadui wengi sana. Ilihitaji nguvu kubwa ya dola kutumika 'kuwashikisha adabu' hawa maadui wake, na kwa kuwa binadamu siyo ng'ombe, wengi hawakusalimu amri mpaka leo.

Sidhani kama ni busara Mama Samia aende kurithi hawa maadui wa marehemu. Nadhani ni vyema atue huu mzigo mzito. Itamsaidia sana kisiasa na kiutawala.

PS. MODS ACHENI KUFUTA NYUZI ZANGU BILA SABABU ZA MSINGI. SIYO POA KABISA MNACHOFANYA.
Rugemalira Yuko jela mpaka Leo mzee wa watu .

Endela kusali novena mzee hakika Sala zako zinajibiwa taratibu
 
Wakati Rais mstaafu Jakaya Kikwete anaingia madarakani, kuna ushauri mmoja alimpa Rais aliyekuwa anaingia, yaani John Magufuli.

Alimwambia, 'siyo jambo jema kurithi maadui wa mtu mwingine'.

Sina uhakika au kumbukumbu ujumbe ule alikuwa anawalenga watu gani hasa. Inawezekana sana alikuwa anamaanisha Rais wa Rwanda, Paul Kagame ambaye kuna kipindi Kikwete na Kagame walipishana kauli au kutofautiana mitazamo.

Tuliona baada ya kuingia madarakani, kulikuwa na ukaribu mkubwa kati ya Magufuli na Kagame, ingawa baadae kwa sababu zisizojulikana tuliona ukaribu ule ulipungua au haukuwa wa wazi tena.

Sasa tumepata Rais mpya, Mama Samia Hassan. Nadhani huu ujumbe ni vizuri na yeye akapewa na kuuzingatia kwa maslahi mapana ya taifa.

Rais Magufuli ni mtu ambaye hakuwa anaona aibu kuwashughulikia watu alioona kwa mtazamo wake kuwa 'wanamkwamisha' na hilo lilimtengenezea maadui wengi sana. Ilihitaji nguvu kubwa ya dola kutumika 'kuwashikisha adabu' hawa maadui wake, na kwa kuwa binadamu siyo ng'ombe, wengi hawakusalimu amri mpaka leo.

Sidhani kama ni busara Mama Samia aende kurithi hawa maadui wa marehemu. Nadhani ni vyema atue huu mzigo mzito. Itamsaidia sana kisiasa na kiutawala.

PS. MODS ACHENI KUFUTA NYUZI ZANGU BILA SABABU ZA MSINGI. SIYO POA KABISA MNACHOFANYA.
Wamekusikia hawajafuta,duuu kumbe mkwara unasaidia sana
 
Of course Ni wakati wa kukaa meza moja na wote walioumizwa na kujeruhiwa na awamu iliyopita na kutazama namna bora ya kufikia makubaliano na muafaka.
Hapo jambo la kuomba ni kumpata vp aliye makini itasaidia taifa kuponya madonda na kujenga umoja.
 
Samia=Jpm 90%
HAPANA. Naweza nisikubaliane na wewe...

Huyu Mama za ndani kabisa zinasema, katika nyakati tofauti tofauti tangu 2016 walipoingia madarakani, alijaribu mara 2 kutaka kujiuzuru umakamu kwa sababu ya kutofautiana ktk maswala mbalimbali ya kiutendaji serikalini kwa sababu ya ubabe wa marehemu..

For sure kabisa, kufanya kazi na Rais Magufuli ilikuwa ni jambo gumu sana. Watu iliwalazimu kwenda kigumugumu hivyo hivyo na kufanya apendavyo yeye mkubwa ili mradi usipoteze kazi yako....

Hopefully, Urais wake utakuwa tofauti na ulivyokuwa wa huyu Mzee anayetembezwa nchi nzima sasa akiwa kageuka kuwa udongo/mavumbi...

Tutegemee mabadiliko makubwa na muhimu katika maeneo mengi bila shaka...
 
Unajichanganya mwenyewe. JPM baada ya kushauriwa kuwa rafiki wa Kagame imesaidia nini? Na kwa nini mashamu shamu ya urafiki unasema yalififia. Ushauri huu ulisaidia lolote JPM ama ilikuwa ni njia ya kumhujumu?

Mh Mama Rais Samia SH kwa mfano kuhusu Lissu kutengeneza na kumridhisha labda ampishe Lissu awe ndio Rais wa JMT na sema labda. Mshauri mtu kwa nia njema ya kumsaidia na kwa upendo. Usimshauri mtu kumhujumu au kutengeza mazingira ya kumkwamisha na kuchomeka watu wako.
 
HAPANA. Naweza nisikubaliane na wewe...

Huyu Mama za ndani kabisa zinasema, katika nyakati tofauti tofauti tangu 2016 walipoingia madarakani, alijaribu mara 2 kutaka kujiuzuru umakamu kwa sababu ya kutofautiana ktk maswala mbalimbali ya kiutendaji serikalini kwa sababu ya ubabe wa marehemu..

For sure kabisa, kufanya kazi na Rais Magufuli ilikuwa ni jambo gumu sana. Watu iliwalazimu kwenda kigumugumu hivyo hivyo na kufanya apendavyo yeye mkubwa ili mradi usipoteze kazi yako....

Hopefully, Urais wake utakuwa tofauti na ulivyokuwa wa huyu Mzee anayetembezwa nchi nzima sasa akiwa kageuka kuwa udongo/mavumbi...

Tutegemee mabadiliko makubwa na muhimu katika maeneo mengi bila shaka...
Hata yeye mama samia aliwahi kiri mbele ya JPM kuwa yeye(samia na majaliwa) walipata taabu sana mwanzoni mwa utawala wa JPM,walikuwa wanashangazwa namna JP alivyotaka waenende, anaongezea kuwa baada ya muda mfupi walimuelewa sana JPM,then wakajikuta aina ya utendaji anaoutaka ndiyo utendaji mzuri kabisaa
 
Unajichanganya mwenyewe. JPM baada ya kushauriwa kuwa rafiki wa Kagame imesaidia nini? Na kwa nini mashamu shamu ya urafiki unasema yalififia. Ushauri huu ulisaidia lolote JPM ama ilikuwa ni njia ya kumhujumu?

Mh Mama Rais Samia SH kwa mfano kuhusu Lissu kutengeneza na kumridhisha labda ampishe Lissu awe ndio Rais wa JMT na sema labda. Mshauri mtu kwa nia njema ya kumsaidia na kwa upendo. Usimshauri mtu kumhujumu au kutengeza mazingira ya kumkwamisha na kuchomeka watu wako.
Hivi huyu Lisu pamoja na kuonekana ni mjuzi wa mambo mengi kuliko wengine( maana huwa namsikia kila wafayalo wengine linaitwa la kijinga) lakini siyo kweli kwamba tuna mu overate sana???
 
HAPANA. Naweza nisikubaliane na wewe...

Huyu Mama za ndani kabisa zinasema, katika nyakati tofauti tofauti tangu 2016 walipoingia madarakani, alijaribu mara 2 kutaka kujiuzuru umakamu kwa sababu ya kutofautiana ktk maswala mbalimbali ya kiutendaji serikalini kwa sababu ya ubabe wa marehemu..

For sure kabisa, kufanya kazi na Rais Magufuli ilikuwa ni jambo gumu sana. Watu iliwalazimu kwenda kigumugumu hivyo hivyo na kufanya apendavyo yeye mkubwa ili mradi usipoteze kazi yako....

Hopefully, Urais wake utakuwa tofauti na ulivyokuwa wa huyu Mzee anayetembezwa nchi nzima sasa akiwa kageuka kuwa udongo/mavumbi...

Tutegemee mabadiliko makubwa na muhimu katika maeneo mengi bila shaka...
Weeeee[emoji848]
 
HAPANA. Naweza nisikubaliane na wewe...

Huyu Mama za ndani kabisa zinasema, katika nyakati tofauti tofauti tangu 2016 walipoingia madarakani, alijaribu mara 2 kutaka kujiuzuru umakamu kwa sababu ya kutofautiana ktk maswala mbalimbali ya kiutendaji serikalini kwa sababu ya ubabe wa marehemu..

For sure kabisa, kufanya kazi na Rais Magufuli ilikuwa ni jambo gumu sana. Watu iliwalazimu kwenda kigumugumu hivyo hivyo na kufanya apendavyo yeye mkubwa ili mradi usipoteze kazi yako....

Hopefully, Urais wake utakuwa tofauti na ulivyokuwa wa huyu Mzee anayetembezwa nchi nzima sasa akiwa kageuka kuwa udongo/mavumbi...

Tutegemee mabadiliko makubwa na muhimu katika maeneo mengi bila shaka...
Dah.....nyomi litakuwa limemtia akili [emoji2960]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom