Jakaya Kikwete: Usirithi adui ya mtu... Tengeneza Adui yako Mwenyewe, lakini...

Jakaya Kikwete: Usirithi adui ya mtu... Tengeneza Adui yako Mwenyewe, lakini...

Acheni kuchukulia maneno out of context na kwa mitizamo ya kisiasa. JK alikuwa anatoa ushauri ambao ni genuine na wala alikuwa hampigi mtu kijembe!!

Babu Seya alikamatwa mwaka 2003 akafungwa 2004 utawala ukiwa ni wa Mkapa.

Hata hivyo aliappeal mpaka ngazi ya mwisho kabisa ya rufaa kote huko wale majaji walimuona na hatia sasa mtasemaje ni bifu?

Soma hiyo hukumu ya mahakama ya rufaa ndo utaona hali ilivyokuwa
Na ushauri alioutowa kwa makamu wake unamfaa kila mtu akiwemo JPJM!
 
Mkuu siku hizi una hekima sana nini kimekutokea mkuu
Huyu ana hekima tangu zamani. Bahati yake mabaya wanoko wakatumia hiyo advantage kumjaribu. Walipoona bado ni gentleman kawakaribisha chai hadi Ikulu, wakamdharau wakamwita dhaifu. Bahati mbaya kwao kaingia mwingine asiyependa kujaribiwa sasa si Ikulu si Muhimbili. Mambo ni mazuri tu, huyu bado hekima yake iko palepale, ila wao ni kilio na kusaga meno hadi madiwani wanawakimbia.
 
Babu Seya alifungwa 2004 Rais akiwa Mkapa acheni maneno ya vijiweni kama ungemsikiliza vizuri Magufuli na ukawa na akili alimaanisha Msamaha hauna maana hawakutenda kosa!Wale jamaa ni issue ya nani na nani hawakutenda ila ushenzi ulifanywa
Jamii ya watanzania imegubikwa na wajinga wengi sana ndugu yangu..

Hon. Kikwete amekuwa amiri jeshi mkuu kwa miaka kumi, huyo babu seya akiwa anakula ugali wa serikali, hivi wanafikiri kama huo ujinga wanaofikiria wao huko mitaani na kuaminishana ndio ukweli ungekuwa ni sahihi huyo babu seya angekuwa hai hadi sasa?

Watanzania sijui kwanini baadhi tunafikiri kidogo kiasi hiki.
 
Kama ni kweli kina babu seya walifanya ule ukatili kwa watoto, sipati picha familia za wale watoto wanajisikiaje leo hii anaachiwa na raisi wa wanyonge huku mamilioni ya watanzania wakishangilia. It's like the whole world is waging war againgst you
 
Huyu ana hekima tangu zamani. Bahati yake mabaya wanoko wakatumia hiyo advantage kumjaribu. Walipoona bado ni gentleman kawakaribisha chai hadi Ikulu, wakamdharau wakamwita dhaifu. Bahati mbaya kwao kaingia mwingine asiyependa kujaribiwa sasa si Ikulu si Muhimbili. Mambo ni mazuri tu, huyu bado hekima yake iko palepale, ila wao ni kilio na kusaga meno hadi madiwani wanawakimbia.
Jamaa anaongea na Troll JF sio Jakaya.
 
Mkuu siku hizi una hekima sana nini kimekutokea mkuu
kwa taarifa yako huyo ndiye I'd msaga sumu mnafiki kweli kweli ana I'd zingine nyingi. LB7 unatakiwa uwe Na I'd 10+ Kama gentamacyine ana I'd Barbarossa Na kibtzec

Mbaaff
 
Kamwe sijawahi kumkubali JK. Sizonje angekuwa ana jazba Na kutulia angekuwa bonge la rais kea sababu so mnafik
 
Itoshe kuelewa kuwa watu hawa wamesamehewa. Kusamehewa maana yake ni kuwa umekosa lakini halafu unapata msamaha.

Kwenye hotuba yake Rais amesema wazi kuwa aliowasamehe wamejutia kwelikweli makosa yao, na mara nyingi wameomba kusamehewa.
 
Nanukuu:

".....Usirithi adui wa mtu. Tengeneza adui yako. Na ushauri wangu kwako, huna sababu ya kutengeneza adui, ni jambo halina tija. Mchukulie kila mtu vile alivyo, sio kwa kuambiwa. Utakapofanya naye kazi, utajua nani ni nani.....!!"
By

Binafsi nimemuelewa sana...!!!
 
Back
Top Bottom