Jakaya Kikwete: Usirithi adui ya mtu... Tengeneza Adui yako Mwenyewe, lakini...

Someni hapa nyie mabwana & mabibi mashaka!

 
Hivi huyu Lisu pamoja na kuonekana ni mjuzi wa mambo mengi kuliko wengine( maana huwa namsikia kila wafayalo wengine linaitwa la kijinga) lakini siyo kweli kwamba tuna mu overate sana???

Ndio hivyo anapewa sifa kiasi ambacho hakuna anayeza kuwaza kwamba Lissu kaiua cdm baada ya kupata nafasi ya kuwa mgombea Urais 2020.

Wakati wa DR Slaa tulisaidia cdm mawazo yaliyo kimarisha kiasi cha kutosha. Waliponunuliwa na EL na CCM kumleta JPM tukaamua kwenda na JPM mpaka kifo kitakapo tutenganisha.

Sasa wengine tuna angalia nani na nani wataingizwa uongozi CCM. Wakileta za kuleta na kuouuza maono ya JPM kwa vile katwaliwa basi jua upinzani ukiwa makini utaenda kuiondoa CCM madarakani. Marehemu JPM ni kama alikuwa mpinzani ndani ya CCM mafisadi. Hivyo CCM mafisadi ikirudi, ukae ukijua CCM JPM kukitokea watakaotupwa nje wenye uthubutu basi kuchukua nchi hii kwa njia mbadala kama kuhamia na kuimarisha upinzani itakuwa kama kusukuma mlevi wa changaa vile.

Unaweza amini kuwa jana geti la Airport lilikuwa limesheni Jewii na bado wakaona wawanchie walalahoi wamsindikize mtu wao mpaka kwenye ndege??! Yako mengi ya kujifunza ndugu, Tanzania ya JPM si ile ya 2015 ya mafisadi tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…