Hata yeye mama samia aliwahi kiri mbele ya JPM kuwa yeye(samia na majaliwa) walipata taabu sana mwanzoni mwa utawala wa JPM,walikuwa wanashangazwa namna JP alivyotaka waenende, anaongezea kuwa baada ya muda mfupi walimuelewa sana JPM,then wakajikuta aina ya utendaji anaoutaka ndiyo utendaji mzuri kabisaa