JK alisha kuwa anamsema magufuli hata akiwa hai msijisahaulishe hata hilo neno kujimwambafy lilianzia kwake na magufuli akiwa hai na aliambiwa huyo huyo magufuli anasikia , kikwete sio mtu wa kumuogopa magufuli soma record vizuri.JK ni mtu wa fix sana! JPM ni kweli alitaka mabadiliko ya Katiba ya kum'beba, lakini alijificha nyuma ya waimba mapambio, akiwemo mzee Ruksa. Angejitokeza wazi, hakuna Mzee ambaye angethubutu kuzuia matakwa ya JPM. Kwa sasa kaona jamaa alishajifia, ndiyo ANAJIMWAMBAFAI!
Mambo mengi alikuwa anaona wazi yakiharibika, lakini alikuwa HATHUBUTU hata KUKOHOA!
JPM alikua anatisha,hacheki,ulishamuona kikwete anafanya interview hivi kipindi cha Magufuli?aliogopa sanaJK ni mtu wa fix sana! JPM ni kweli alitaka mabadiliko ya Katiba ya kum'beba, lakini alijificha nyuma ya waimba mapambio, akiwemo mzee Ruksa. Angejitokeza wazi, hakuna Mzee ambaye angethubutu kuzuia matakwa ya JPM. Kwa sasa kaona jamaa alishajifia, ndiyo ANAJIMWAMBAFAI!
Mambo mengi alikuwa anaona wazi yakiharibika, lakini alikuwa HATHUBUTU hata KUKOHOA!
Haipangwagwi hivo haya mambo,utashangaa Rais ajae anakuja mtu mpya kabisa ambae hayupo hata sana na mambo ya chama.UBABE UBABE TU,NA KIBABE TONGE TUMESHALITOA MIKONONI MWA WAHUNI UCHWARA, KAENI KIMYA KUMBUKENI CCM HAIWEZI KUKOSEA TENA.PIA ELEWENI RAIS AJAE NI J MAKAMBA 2030-40.
Haya tusubiri!UBABE UBABE TU,NA KIBABE TONGE TUMESHALITOA MIKONONI MWA WAHUNI UCHWARA, KAENI KIMYA KUMBUKENI CCM HAIWEZI KUKOSEA TENA.PIA ELEWENI RAIS AJAE NI J MAKAMBA 2030-40.
Utiifu na rekodi safi ndani ya chama tabia mwenendo afya ya akili na kiongozi atatoka miongoni mwa makabila madogo ya pwani.Haipangwagwi hivo haya mambo,utashangaa Rais ajae anakuja mtu mpya kabisa ambae hayupo hata sana na mambo ya chama.
Ataibuka mwishoni mwishoni 2029 huko.Mungu ndio anaepanga haya mambo sio watu wala system.
Alivopenya Magufuli 2015,ndio atapenya ajae katika mysterious ways.Utiifu na rekodi safi ndani ya chama tabia mwenendo afya ya akili na kiongozi atatoka miongoni mwa makabila madogo ya pwani.
Afya ya akili na utimamu na uchamungu wa kweli,nakazia hapa.
Maisha asinge muweza kumuondoa mzee w msoga aka Mr born in town. KamweeeehAlimuwahi aisee jamaa huwa ni mjanja huyu dah
Watu wenye tamaa iyo ndio dawa yao tuAngefanikiwa basi Samia angekuwa Rais miaka 15. Yaani 2021 hadi 2034. Patamu hapo. Anabadili katiba kifo hichooo!! Anafaidi mwingine.
Hahahaaa mzee w msoga aka born in town hakutaka kukohoa walitaka kumyamazisha milele amina. Si unaona mambo shwariiii kabisa.JK ni mtu wa fix sana! JPM ni kweli alitaka mabadiliko ya Katiba ya kum'beba, lakini alijificha nyuma ya waimba mapambio, akiwemo mzee Ruksa. Angejitokeza wazi, hakuna Mzee ambaye angethubutu kuzuia matakwa ya JPM. Kwa sasa kaona jamaa alishajifia, ndiyo ANAJIMWAMBAFAI!
Mambo mengi alikuwa anaona wazi yakiharibika, lakini alikuwa HATHUBUTU hata KUKOHOA!
Mashoga mna nguvu sana!CHUKI ZAKO NA MATUSI YAKO YA HOVYO NI KAMA SODA BARIDI KWETU, J MAKAMBA NDIYE RAIS AJAYE.
Duh !! Labda !! Lakini Nchi hii kwa kuchekeana haiwezi kwenda mbele watu ni wapiga dili za kufa mtu !! Hawana huruma na wengine !!Msimpambe semeji alitaka aongoze nchi kwa mkono wa chuma , kama alikuwa muungwan kwanini alikasirika alipo ambiwa 1.5Tr haijulikani ilipo akaona suluhu ni kumuondoa CAG, magufuli hakuwa msafi wa matendo nu muongo sana wenye akili tuu ndio walio tambua uongo wake wa mdomoni , alikuwa na maneno matamu sana lakini ni ibilisi mkubwa
Jiwe aliwapa faraja na mkate? ๐๐๐๐.Ni bora uhadaa wake ambao ulitupa faraja na mkate wa siku at household level kuliko usanii wenu ambao midomoni mnacheka lakini moyoni mmejaa dhuluma na kujipa kila aina ya haki kupitia public funds; kharma will teach you and you will surely never experience peace in this life and to the next if there is next life...Kizazi chenu kimelaaniwa kuliko laana yenyewe kwakuhujumu haki za watu wasioweza kujitetea
Sasa kama kinachosogeza mbele watu ni kununiana tuelezeni basi Jiwe alisogeza mbele maskini wangapi kipindi cha utawala wake?Duh !! Labda !! Lakini Nchi hii kwa kuchekeana haiwezi kwenda mbele watu ni wapiga dili za kufa mtu !! Hawana huruma na wengine !!
Wewe JK alifanya tena sio mara moja..JPM alikua anatisha,hacheki,ulishamuona kikwete anafanya interview hivi kipindi cha Magufuli?aliogopa sana
Unapata wapi ujasiri wa kumtetea jambazi kama huyu?Mauaji yapo tuu kila mwanasiasa ni killer tuu hata uyo chadem president hadi msoga na kina konde na mwalimu wote their killer kwaiyo usipondee mmoja alafu ukawapa utukufu wengine, tofauti yao ni moja wapo wanaoua kimya yani anaua kwa akili na hutokaa umwone kama anahusika ndo wakina msoga hao na mwalimu,
kilichomponza mwendazake alikua anajaa kwenye kuminanane za maadui zake sababu ya hasira maana ndo ulikua udhaifu wake so aliyo yafanya na asiyo yafanya yanajumlishwa sababu ndo ulikua udhaifu wake, swala la viongozi kubeba ela za watu na mali lipo tokea miaka kama ilivyokua kwa mwalimu na waziri wake miaka ile ndo wakapotisha kibabe sheria ya uhujum uchumi,! So hakuna alie msafi Mwendazake ye alipendelea watu wachini na wengine walipendelea kile walichokiamini na saiv kama uyu anamiini katika wawekezaji zaidi and etc sio dhambi so ye alishakufa sijui shida ni nini kugombana na maiti wakati kuna uongozi mwingine!!!
Hapa ni nani anamchafua JPM wako? ๐Majizi ya msoga yanatafuta namna ya kuhalalisha ukwapuzi wa maliasili za nchi kwa kumchafua JPM
Ndio anakula maisha kabla na baada afu wewe unaugulia ๐ฌ๐ฌKibaka Kikwete anastahili kutukanwa masaa 24 siku saba za wiki.
Ni raha kulitusi jizi. Napenda sana.
Jiwe alikuwa msomi fake ndio maana hakuna chapisho lake lolote la PhD yake fake..Ni kweli wapinzani wao wenyewe walimtibua jiwe kwa midomo yao michafu, wakasema ana phd fake,,
Pamoja na jamaa kutaka kuwafurahisha mara tu alupokamata madaraka, akamwachia babu seya ambaye wapinzani walikua wakisema alifungwa kwa hila na mzee wa msoga, wakati ukweli ni kuwa Babu seya na watoto wake walibaka watoto awamu ya mzee lupaso,,
Alipoingia tu madaraka alitimiza kilio cha wapinzani, kununua ndege, tena kwa cash,, wapinzani wakamgeuka tena na kumtukana ni vipi ananunua ndege wakati si jambo la maana๐๐,
Wapinzani walikua wakisema Rugemalila na singer wa PAP ni mafisadi, wamegawana pesa kwenye sandalusi,, ili kuwafurahisha jiwe akawaweka ndani, wakati kesi yenyewe haikuwepo ya kujibu, maana tuhuma zilikua ni political motivated๐
Jamaa alifanya kila kitu ili tu wapinzani wamkubali,, na hilo ndo lilimtibua hasa akaanza kuwa displine
Umueke Lisu utegeme kumtoa Magufuli? Magifuli alikua na nguvu ya umma.. Chadema ilishindwa uchaguzi kihalali ondoa fikra zako potofu.. Lisu isn't good enough to be a president.
Unfortunately tunatofautiana jijsi ya kumtathmni Jiwe..Na sijui kwann hakutaka hata kuwa mtulivu kidogo kwa wapinzani..Yaani alikuwa anaogopa hata akina Mduda wavuta bange za Kishemundu kabisa..dah alizingua sana kwenye hili.
He was a best president in actions but very poor democratically.