Mlengwa haina haja ya kufahamika. Kinachotakiwa kufahamika ni kuwa ukitaka kuongeza muda wa uraisi basi kuna wazee wa nchi utapambana nao.Mfano hii taarifa ikabaki hivi ilivyo (blanked) baada ya miaka 10 wasomaji wataweza kujua mlengwa alikuwa ni nani?
Nilidhani ingefaa angetajwa for the good record
Walewale!alipaswa kuyasema kablaAkiwa kwenye mahojiano na kipindi maalum cha Clouds leo aliyekuwa Rais wa awamu ya Nne Jakaya Kikwete amesema kuwa mchakato uliokuwa mgumu zaidi kwake ni kuzuia uhuni wa kubadili muhula wa uongozi ndani ya CCM kutoka miaka mitano kuwa saba.
Jakaya anasema mjadala ulipoletwa ulikuwa ni moto ila tayarI CCM kulikuwa na utaratibu wa miaka mitano na uamuzi huo uheshimiwe.
======
KUONGEZA MIAKA YA URAIS
Kikwete: Kuna kipindi walianza sana mjadala wa kubadili katiba sijui iwe miaka 7, pale wazee tulishauriana tukasema hapana, huku wanapotaka kutupeleka hawa sipo.
Nchi yetu ina viwango, hapa ilipofikia heshma yake kubwa ni kuheshimu vipindi viwili vya miaka mitano, wakianza hawa na miaka 7 huko tunakokwenda siko.
Nakumbuka tulikutana wazee na siku hizi hamna haja kukutana hata kwa simu mnaunganisha, tukakubaliana hawa lazima tuwaambie vijana hawa.
Waliotaka miaka 7 ni akina nani ?
Kuna watu wanatafuta heshima ya kwa nguvu ingawaje nobody respects them, Heshima hailazimishwi, u-stateman unakuja tu, watu wanakuona wewe ni State man na wanakuheshimu hahuhitaji kulazimisha, pure evil!
Amekwambia baadhi ya watu walianza kuzungumza, mfano ni J.NkamiahMbona ameongea kimafumbo? Si amtaje Jina la huyo kiongozi alietaka kuongeza miaka 7 kutoka 5
Nyie vyeti feki mna matatizo sanaBora kakufa zake. Lingetuletea machafuko bureeee.
Na kilimtisha vibaya sana.Kinyago alikichonga mwenywe
walewale!alipaswa kuyasema kabla
Maisha ya yule mwamba ni controversial, he was an enigma both in life and in death, wengine wanasema aliwahishwa na kijani wenzie kwamba ile covid iliyomchukua alipelekewa makusudiSijui kwanini hakuliona Hilo. Ukatili wake kwa wapinzani ndio ulipunguza ushawishi wake. Kama angeruhusu democrasia na kuondoa mambo ya wasiojulikana Leo angekuwa bado yupo hai.