Jakaya Kikwete: Wazee tulikataa kubadili Katiba muhula wa Urais kutoka miaka 5 kuwa miaka 7

Walewale!alipaswa kuyasema kabla
 
Kuna watu wanatafuta heshima ya kwa nguvu ingawaje nobody respects them, Heshima hailazimishwi, u-stateman unakuja tu, watu wanakuona wewe ni State man na wanakuheshimu hahuhitaji kulazimisha, pure evil!
Ushirikina pia ulitumika ili kuogopwa na kila mtu.
Kuna mtu mmoja tu huo ushirikina ulishindwa kufanya kazi dhidi yake, ndio maana alipokamatwa aliagiza apimwe mkojo kwasababu hakuamini kama ni ujasiri wake bali aliamini ni madawa ya kulevya ndio yanampa ujasiri.
 
Wala hakikumtisha, ndio maana alikigomea kuongeza muda.
 
Sijui kwanini hakuliona Hilo. Ukatili wake kwa wapinzani ndio ulipunguza ushawishi wake. Kama angeruhusu democrasia na kuondoa mambo ya wasiojulikana Leo angekuwa bado yupo hai.
Maisha ya yule mwamba ni controversial, he was an enigma both in life and in death, wengine wanasema aliwahishwa na kijani wenzie kwamba ile covid iliyomchukua alipelekewa makusudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…