Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Hayo "maamuzi mazito inapobidi" ni kama kuondoa watu tishio kwa katiba yetu sio?Kwa tangazo lipi?
Sasa wewe ulikuwa huelewi kama Kikwete yupo kwenye jopo la wazee wanaofanya maamuzi mazito ya CCM, inapobidi?
Wengine huwa mnaandika utumbo tu.
Waungane na kichaa kweli?Waliokosea ni upinzani, kama wangeamua kuungana naye naamini kubadilisha katiba ingekuwa kazi rahisi sana.sasa kutokana na pinga Pinga zao Mambo yakawa kama yalivyokuwa
THE TEMINATOR!😁😁😁😁Hii tetesi nilisikia pia kwamba jiwe liliazimia kuwaondoa wastaafu wote kwanza na ndipo jambo lake likae sawa hakuwa na shida na mzee ruksa na karata ilianzia lupaso ikachezwa kwa ustadi kweli, kwakweli tetesi zinasema lile tukio lilimtahayarisha sana mzee wa msoga na alishtushwa sana na jambo lile na tatizo mzee wa lupaso hakuwa na ujasusi kivilee sasa mzee wa msoga nae akaanza kuliwa mingo ila kwa vile naye ni jasusi tena jasusi kweli kweli tena jasusi lililo kulia mjini hata Mwl.Nyerere alimfahamu hivyo,hahaaaaa jiwe lika dondoshwa mapema kabla.
Wewe na huyo Magufuli wako siasa mmezianza juzi tu hamjui lolote kuhusu system ndio maana huwezi jua chochote kuhusu Kikwete ndio maana mlikuja kichwa kichwa mkadhani mtakuwa juu ya kila kitu.Ana akili zipi huyo msoga band zaidi ya kukwapua mali zetu watanzania?
Huyo ni kibaka wa kawaida tu, hana akili yoyote.
Watu gani hao mkuu? Akina Makamba?Ana ujasusi gani huyo fisadi wa msoga?
Mnampa ushujaa feki ambao hana japo kiduchu.
Kikwete ni mwizi wa kawaida sana na hana uwezo wa kupambana na Rais wa nchi aliyeshika mamlaka, achilia mbali hata kujaribu tu kumrushia unyoya wa kuku.
Magufuli aliuwawa na watu wenye nguvu, na sio huyo mkwapuzi wa msoga JK.
Afadhali yeye hajajijengea uwanja wa ndege kijijini kwao na kugeuza kijiji chake huwa mkoa kama lile nyangumiAna akili zipi huyo msoga band zaidi ya kukwapua mali zetu watanzania?
Huyo ni kibaka wa kawaida tu, hana akili yoyote.
Unaposema aliuwawa unasikitisha sana, sawasawa na dhana ya Mkapa aliuwawa. Kwa uroho wa shetani wa madaraka.Ana ujasusi gani huyo fisadi wa msoga?
Mnampa ushujaa feki ambao hana japo kiduchu.
Kikwete ni mwizi wa kawaida sana na hana uwezo wa kupambana na Rais wa nchi aliyeshika mamlaka, achilia mbali hata kujaribu tu kumrushia unyoya wa kuku.
Magufuli aliuwawa na watu wenye nguvu, na sio huyo mkwapuzi wa msoga JK.
Sina uhakika ila nahisi upo kwenye bandoHivi huo wizi uko wapi, au lini ulikua haupo?
hebu tuanze na wewe, unafanya shughuli gani hivi sasa?
Supika mgogo alipewa jukumu na alihakikishiwa ulinzi na usalama wake na kwa kuanza ilipitishwa sheria ya kumpa ulinzi wa kisheria kwanza kuto shtakiwa wabunge wengine hawakujua lolote waipelekeshwa tu kama mang'ombe na kwa vile ni wazee wa NDIOOOOOO hawakujua kama ule ni mkakati maalumu.THE TEMINATOR!😁😁😁😁
TIMING OVER TIIMING...!HA HA HA ...!
Nakumbuka JK alijitokeza hadharani na kusema. "Mkapa nilimtembelea jana na hali yake haikuwa mbaya zaidi ya kujisikia maumivu sehemu za tumbo sasa leo nasikia amefariki nimeshangaa kwelikweli" hapo hata yeye alipigwa butwaa labda kweli kuna mchezo ulifanyikaHii tetesi nilisikia pia kwamba jiwe liliazimia kuwaondoa wastaafu wote kwanza na ndipo jambo lake likae sawa hakuwa na shida na mzee ruksa na karata ilianzia lupaso ikachezwa kwa ustadi kweli, kwakweli tetesi zinasema lile tukio lilimtahayarisha sana mzee wa msoga na alishtushwa sana na jambo lile na tatizo mzee wa lupaso hakuwa na ujasusi kivilee sasa mzee wa msoga nae akaanza kuliwa mingo ila kwa vile naye ni jasusi tena jasusi kweli kweli tena jasusi lililo kulia mjini hata Mwl.Nyerere alimfahamu hivyo,hahaaaaa jiwe lika dondoshwa mapema kabla.
Yupi mwanawane, ohh itakuwa itakuwa bwana Y. Huyu, maana Bwana P walikwisha pishana, lete mambo Bana. Ehee.......Supika mgogo alipewa jukumu na alihakikishiwa ulinzi na usalama wake na kwa kuanza ilipitishwa sheria ya kumpa ulinzi wa kisheria kwanza kuto shtakiwa wabunge wengine hawakujua lolote waipelekeshwa tu kama mang'ombe na kwa vile ni wazee wa NDIOOOOOO hawakujua kama ule ni mkakati maalumu.
Mpango pale alikuwa ni supika lakini ili ionekane kwamba muhimili mwingine haujatengwa wakaona ngoja tumuweke na pilato mkuu kupunguza kelele.
Supika mgogo alisha panga timu yake vizuri sana ya kuichokonoa ajenda ya ukomo wa urais na alimuhakikishia jiwe kwamba hilo kwenye bunge lake litapita bila shida ila wataanza kwanza kuwatuliza wabunge kiherehere ndani ya chama lakini pia kuhakikisha kelele za upinzani bungeni zinapunguzwa sana mikakati ilikuwa inaenda kwa ufundi sana tena mikakati ya muda mrefu.
Kitendo cha wabunge wa upinzani kunyang'anywa majimbo hakikuwa cha bahati mbaya, ndio mchakato ulikuwa unasukwa mshauri mkuu akiwa rais wa nchi jirani. 😆😆😆
Kikosi cha jiwe bwana kilikuwa kina fanya mambo kienyeji sana na ndio maana walikuwa wanaacha alama kwenye matukio yao.Nakumbuka jk alijitokeza hadharani na kusema. "Mkapa nilimtembelea jana na hali yake haikuwa mbaya zaidi ya kujisikia maumivu sehemu za tumbo sasa leo nasikia amefariki nimeshangaa kwelikweli" hapo hata yeye alipigwa butwaa labda kweli kuna mchezo ulifamyika
#Kama ni tumbo #alinyweshwa...!Nakumbuka jk alijitokeza hadharani na kusema. "Mkapa nilimtembelea jana na hali yake haikuwa mbaya zaidi ya kujisikia maumivu sehemu za tumbo sasa leo nasikia amefariki nimeshangaa kwelikweli" hapo hata yeye alipigwa butwaa labda kweli kuna mchezo ulifamyika
Inawezekana pia,maana walimkataa since day one na jamaa alikuwa na egoWaliokosea ni upinzani, kama wangeamua kuungana naye naamini kubadilisha katiba ingekuwa kazi rahisi sana. Sasa kutokana na pinga Pinga zao Mambo yakawa kama yalivyokuwa.
Usijitie hamnazo basi. Kuongezwa muda ilitamkwa utawala wa nani?Kwani jiwe ndio alikuwa Rais kipindi cha mchakato wa katiba? Kwani yeye ndio alitoa maoni?
Nkamia, yule bwege yuko wapi sasa?Mmojawapo aliyetumwa kupima upepo ni Juma Nkamia
SanaHao wazee wangekuwa wanakataa na ufisadi tungekuwa mbali...
Huyu nae muhuni tu kama wahuni wengine...rasimu aliipiga teke imetufikisha wapi? Kuwa madarakani hata miaka mia sio hoja, hoja ni nini umetufanyia...full stop. Kagame mwaka wa ngapi leo? Mbowe, Museven? Bibi yenu alikaa 70years so hoja sio kukaa madarakani hoja ni maendeleo ya watu na vitu kwa ujumla wake umesimamiaje? Njia za kukuza uchumi unazopita ni zipi?, sera za kuchochea maendeleo zinapishwaje na kusimamiwaje? Ukiwa mbovu kama bi tozo na JKY hata mwaka mmoja tu hutufahi.
Na ile iliyojadiliwa kwa kuundwa bunge maalum la katiba ilikuwa ni nini kama siyo hiyo rasimu unayosema aliipiga teke?
Watanzania ni lazima walifahamu hili katiba yetu sio chombo cha kuchezea chezea kama kopo la maliwatoni.