Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #21
Hapana siyo kila mtu Ni chawa,pia kueleza na kuusema ukweli siyo uchawaUkuta unaotenganisha uchawa na uchoko ni kama kauzi ka buibui tu.
Jiwe gizani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana siyo kila mtu Ni chawa,pia kueleza na kuusema ukweli siyo uchawaUkuta unaotenganisha uchawa na uchoko ni kama kauzi ka buibui tu.
Jiwe gizani.
Yaani akumbukwe mtu asiyejua tofauti Kati ya pumba na utumbo aliotujazia hapa. Halafu na wewe unatuambia Kikwete ndiye mpanga safu, bure kabisa nyie.Mzee Kikwete nadhani umeona namba ya simu ya Lukas Mwashambwa , na kuna tetesi kwamba wewe ndio mpanga safu , hebu mkumbuke huyu kijana .
NitaendeleaUzi ndio umeisha au utaendelea baadaye??
una umri gani ?Yaani akumbukwe mtu asiyejua tofauti Kati ya pumba na utumbo aliotujazia hapa. Halafu na wewe unatuambia Kikwete ndiye mpanga safu, bure kabisa nyie.
Kuna haja hani ya kutaja jina na namba ya simu unataka ujulikane kwa lengo lipi, tukisema ni uchawa, unajipendekeza wakukumbuke kwenye teuzi je?Hapana siyo kila mtu Ni chawa,pia kueleza na kuusema ukweli siyo uchawa
Kuandika ukweli siyo kutafuta uteuzi,Mimi nimeandika namna mh kikwete alivyonishawishi kujiunga CCM chama kilicho na Sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watanzaniaKuna haja hani ya kutaja jina na namba ya simu unataka ujulikane kwa lengo lipi, tukisema ni uchawa, unajipendekeza wakukumbuke kwenye teuzi je?
Ungebaki mtu asiyejulikana ingependeza, tusingeludhania mabaya
Kulikuwa na haja gani, kutaja jina na kuweka namba ya simu?Kuandika ukweli siyo kutafuta uteuzi,Mimi nimeandika namna mh kikwete alivyonishawishi kujiunga CCM chama kilicho na Sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania
SawaWewe ni K tu. Ni zaidi ya ukiroboto
Sikusema hakuna mchango, nimesema wewe hujui kuchambua sera, umechambua alivyokaa juani nanyi.Hukuona mchango kazi na juhudi za mh kikwete katika Elimu? Afya? Kilimo? Miundombinu? Demokrasia? Uchumi? N.k
Huyu atasaga sana menoMzee Kikwete nadhani umeona namba ya simu ya Lukas Mwashambwa , na kuna tetesi kwamba wewe ndio mpanga safu , hebu mkumbuke huyu kijana .
Tuendelee kuiamini na kuiunga Mkono CCMKwa hiyo tufanyeje
Ova
Nipo CCM siyo kwa kulazimishwa Bali kwa upendo unaotokana na kuridhishwa na Sera na ajenda zake zinazomgusa mtanzaniaHuyu atasaga sana meno
Mbona
Ova
Unamaanisha vijana wanaotembeza maji, pipi na lambalamba stendi na barabarani juani nao wameguswa na hizo sera ??Nipo CCM siyo kwa kulazimishwa Bali kwa upendo unaotokana na kuridhishwa na Sera na ajenda zake zinazomgusa mtanzania