Jakaya Mrisho Kikwete ndiye aliyenishawishi kujiunga CCM mwaka 2005

Jakaya Mrisho Kikwete ndiye aliyenishawishi kujiunga CCM mwaka 2005

Mh kikwete alikubalika na mamillion ya watanzania ,na ndio kiongozi mgombea pekee kutoka CCM aliye pata kura nyingi Sana kupita mwingine yeyote katika awamu ya kwanza Tangia mfumo wa vyama vingi uasisiwe hapa nchini
Na ni nani aliyepata kura nyingi za ubunge toka mfumo wa vyama vingi uanzishwe?
 
Naishauri Serikali kupitia Wizara ya Elimu wawe wabunifu kwa kuingiza rasmi somo la UCHAWA katika mitaala yote kuanzia shule za awali,msingi,sekondari na Vyuo vya Elimu ya juu.
 
Kijana tafuta mbinu nyingne ya kuweza kutoka hakika uchawa haujawahi muacha mtu swalama.
Pia co kila chawa ataweza fanikiwa
Ndugu zangu,

Rais mstaafu mh Jakaya Kikwete Ndiye Aliyenishawishi Kujiunga na CCM Mwaka 2005 Nikiwa mkoani Rukwa wilaya ya sumbawanga vijijini, mji mdogo wa laela Jimbo la kwela lililokuwa linaongozwa na Marehemu chrisant maji ya Tanga Mzindakaya. Nilikuwa huko kwa baba yangu mdogo ambako nilikuwa nasoma.

Kikwete alikuwa amekuja kuomba kura za Urais katika uchaguzi mkuu ulioacha historia ya kipekee kuwahi kutokea hapa nchini kwa mgombea wa CCm kupendwa na kukubalika na makundi yote na vyama vyote hadi vya upinzani.

Hakika kikwete alikubalika, alipendwa, alikuwa na mvuto wa kisiasa kuwahi kutokea hapa nchini. Kila mtu alitamani kumuona na kumsikiliza, kila mtu alitamani asiondoke na kufunga mkutano, kila mtu alitamani siku ya kupiga kura ifike haraka ili ampigie kura kikwete.

Watu waliona ni kama siku ya kupiga kura inachelelewa sana kufika maana kila mtu alitaka kuwa sehemu ya historia kumpigia kura Kikwete, hakika kampeni zake zilipendeza na kuvutia. Kila Kona na kila mahali ilikuwa ni CCM tu.

Picha zake zilipambwa na kupambika kila mahali, tisheti na vitenge vyenye picha yake vilivaliwa na kila mtu utafikiri sare ya taifa, hakika hata mimi niliitafuta tisheti ya CCM yenye picha yake kwa hali na mali.

Hatimaye Kikwete alikaribishwa jukwaani kutoka jukwaa kuu, lakini kitu alichokifanya Kikwete kilibaki ni historia na kuandika jina lake katika mioyo ya Wafipa na wana laela. Kikwete aliinua mkono wake juu na kufunua lile jukwaa dogo alipokuwa anatakiwa kusimama na kuhutubia kusudi na yeye awe juani maana jua lilikuwa limewaka.

Halafu akasalimia na kwa upole na tabasamu akasema, "NYOTA NJEMA HUONEKANA ASUBUHI", uwanja mzima uliokuwa umefurika mpaka pa kupita sisimizi palikosekana ulilipuka kwa shangwe, nderemo, vifijo, makofi, kelele za kuimba Rais..Rais..Rais zikitawala uwanja wote wa shule ya msingi Laela. Jamani ilikuwa ni furaha kubwa sanaaa kwetu.

Kitendo Cha kutoa kitambaa kilichokuwa kimefunika jukwaa lake ili Naye akae juani Kama sisi kilitugusa na kugusa mioyo ya wote,watu wakasema hakika huyu Ni chaguo la Mungu,Hakika huyu atalia nasi katika shida na kufurahi nasi katika Raha,wakasema hakika huyu Ni Joshua anaye tupeleka Kanaan,wakasema hakika huyu atasimama nasi katika magumu,wakasema huyu Ni mwezetu alietoka na kukulia katika maisha yetu na anayejuwa maisha yetu na Hali zetu. Kila mtu aliongea mengi Sana ya kumpongeza mh kikwete.kama Ni point Basi alizoa point zote,Kama Ni Kura hakika alizoa Kura zoteee za Wana laela,

Kiukweli Ni kutokea hapo niliipenda Sana CCM,Nilitamani ningempigia Kura katika uchaguzi ule lakini nilikuwa sijafikia umri wa kupiga kura ,hivyo nikaishia kuwaambia watu wampigie kura Rais kikwete aliyeonyesha moyo wa upendo kwetu wananchi Hadi kuamua kukaa na kusimama nasi juani licha ya kuwekewa kimvuli,Nikutokea hapo nimekuwa mtafuta Kura za CCM popote pale,Ni kutokea hapo sijawahi kujuta kuwa mwana CCM,Wala sijawahi kuacha kuisemea CCM mahali nilipo,Ni kikwete Ndiye Aliyenishawishi kuipenda CCM maana niliona Ni chama kinachowajali wananchi na kuguswa na shida zao na kuwa na Sera na ajenda zinazogusa maisha ya watanzania.

Asante Sana mh kikwete kwa kunifanya kuipenda siasa na CCM kwa ujumla,Asante kwa kutujengea shule za kata ambazo Mimi Ni mnufaika nazo na nimefaidika na kupata Elimu kupitia juhudi zako ,Asante kwa kunipatia mkopo wa Elimu ya juu ulionisaidia kutimiza Ndoto zangu za kupata Elimu ya juu licha ya kuwa nimetoka familia masikini,Asante kwa kulitumikia Taifa letu kwa uzalendo mkubwa na kwa demokrasia ya Hali ya juu sana,.

Kazi Iendeleee , mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
 
Kipi kinachokufanya kuandika namba yako ya cmu kama co uchawa??????
Mimi Ni mzalendo na nipo ndani ya CCM nikiitetea na kuisemea kwa moyo wangu wote kwa miaka mingi na Kama ingekuwa natafuta vyeo na Teuzi Basi ningekuwa nimakata Tamaa na kuacha kazi hii,lakini nafanya haya kwa kusukumwa na uzalendo uliondani yangu juu ya chama changu Cha ccm na serikali yangu ya CCM pamoja na Taifa langu la Tanzania
 
Ndugu zangu,

Rais mstaafu mh Jakaya Kikwete Ndiye Aliyenishawishi Kujiunga na CCM Mwaka 2005 Nikiwa mkoani Rukwa wilaya ya sumbawanga vijijini, mji mdogo wa laela Jimbo la kwela lililokuwa linaongozwa na Marehemu chrisant maji ya Tanga Mzindakaya. Nilikuwa huko kwa baba yangu mdogo ambako nilikuwa nasoma.

Kikwete alikuwa amekuja kuomba kura za Urais katika uchaguzi mkuu ulioacha historia ya kipekee kuwahi kutokea hapa nchini kwa mgombea wa CCm kupendwa na kukubalika na makundi yote na vyama vyote hadi vya upinzani.

Hakika kikwete alikubalika, alipendwa, alikuwa na mvuto wa kisiasa kuwahi kutokea hapa nchini. Kila mtu alitamani kumuona na kumsikiliza, kila mtu alitamani asiondoke na kufunga mkutano, kila mtu alitamani siku ya kupiga kura ifike haraka ili ampigie kura kikwete.

Watu waliona ni kama siku ya kupiga kura inachelelewa sana kufika maana kila mtu alitaka kuwa sehemu ya historia kumpigia kura Kikwete, hakika kampeni zake zilipendeza na kuvutia. Kila Kona na kila mahali ilikuwa ni CCM tu.

Picha zake zilipambwa na kupambika kila mahali, tisheti na vitenge vyenye picha yake vilivaliwa na kila mtu utafikiri sare ya taifa, hakika hata mimi niliitafuta tisheti ya CCM yenye picha yake kwa hali na mali.

Hatimaye Kikwete alikaribishwa jukwaani kutoka jukwaa kuu, lakini kitu alichokifanya Kikwete kilibaki ni historia na kuandika jina lake katika mioyo ya Wafipa na wana laela. Kikwete aliinua mkono wake juu na kufunua lile jukwaa dogo alipokuwa anatakiwa kusimama na kuhutubia kusudi na yeye awe juani maana jua lilikuwa limewaka.

Halafu akasalimia na kwa upole na tabasamu akasema, "NYOTA NJEMA HUONEKANA ASUBUHI", uwanja mzima uliokuwa umefurika mpaka pa kupita sisimizi palikosekana ulilipuka kwa shangwe, nderemo, vifijo, makofi, kelele za kuimba Rais..Rais..Rais zikitawala uwanja wote wa shule ya msingi Laela. Jamani ilikuwa ni furaha kubwa sanaaa kwetu.

Kitendo Cha kutoa kitambaa kilichokuwa kimefunika jukwaa lake ili Naye akae juani Kama sisi kilitugusa na kugusa mioyo ya wote,watu wakasema hakika huyu Ni chaguo la Mungu,Hakika huyu atalia nasi katika shida na kufurahi nasi katika Raha,wakasema hakika huyu Ni Joshua anaye tupeleka Kanaan,wakasema hakika huyu atasimama nasi katika magumu,wakasema huyu Ni mwezetu alietoka na kukulia katika maisha yetu na anayejuwa maisha yetu na Hali zetu. Kila mtu aliongea mengi Sana ya kumpongeza mh kikwete.kama Ni point Basi alizoa point zote,Kama Ni Kura hakika alizoa Kura zoteee za Wana laela,

Kiukweli Ni kutokea hapo niliipenda Sana CCM,Nilitamani ningempigia Kura katika uchaguzi ule lakini nilikuwa sijafikia umri wa kupiga kura ,hivyo nikaishia kuwaambia watu wampigie kura Rais kikwete aliyeonyesha moyo wa upendo kwetu wananchi Hadi kuamua kukaa na kusimama nasi juani licha ya kuwekewa kimvuli,Nikutokea hapo nimekuwa mtafuta Kura za CCM popote pale,Ni kutokea hapo sijawahi kujuta kuwa mwana CCM,Wala sijawahi kuacha kuisemea CCM mahali nilipo,Ni kikwete Ndiye Aliyenishawishi kuipenda CCM maana niliona Ni chama kinachowajali wananchi na kuguswa na shida zao na kuwa na Sera na ajenda zinazogusa maisha ya watanzania.

Asante Sana mh kikwete kwa kunifanya kuipenda siasa na CCM kwa ujumla,Asante kwa kutujengea shule za kata ambazo Mimi Ni mnufaika nazo na nimefaidika na kupata Elimu kupitia juhudi zako ,Asante kwa kunipatia mkopo wa Elimu ya juu ulionisaidia kutimiza Ndoto zangu za kupata Elimu ya juu licha ya kuwa nimetoka familia masikini,Asante kwa kulitumikia Taifa letu kwa uzalendo mkubwa na kwa demokrasia ya Hali ya juu sana,.

Kazi Iendeleee , mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Na namba ya simu umeweka kabisa ishara ya kutaka kuolewa hii.
 
Haka kajamaa kanajua kutengeneza cob web! Kameanza kwa mama na kanaamini kameshamseti sasa kamerudi kwa mzee Jk kakiamini ndio mpanga Safi! Hutaskia kakisifia slogan za John the late hata kidogo. Sasa kanaamini jk atamshawishi mama ! Let's wait and see ndio Aina ya vijana Taifa la Tanzania limebeba! Muulize 2005 Alikua na age gani na Alikua anaqjalify kuhold Kadi ya Chama?
Acha mawazo na fikiri za kizamani,Mimi Ni mkulima na ninaendelea na kilimo,Sasa wewe kaa hapo hapo ukinisubiri nilime ili nilete chakula huko mjini halafu uanze kulalamika Bei kuwa kubwa
 
Hali imekuwa ngumu sana, vijana wanajaribu pande zote ili kuhakikisha wanafanikiwa kimaisha.

Wakati vijana wengine wakipambana mitaani,tunao wengine humu mitandaoni wakijaribu kusifia wenye mamlaka na wenye ushawishi kwa wenye mamlaka ili maisha yao yanyooke.
Narudia Tena kukwambia kuwa Mimi naendelea kutumia Neema tuliyopewa na Mwenyezi Mungu ya kuwa na Ardhi kubwa yenye rutuba kujipatia Mahitaji yangu kwa kutumia jembe
 
Wewe kwa nini hutembezi maji na pipi barabarani badala yake uko hapa unajikomba ukisubiria teuzi?
Mimi Ni mkulima Tayari,Hata hivyo watu wote hatuwezi tukafanya shughuli moja wakati hata mazingira yanatofautiana,kila mtu anafanya shughuli yakiuchumi kulingana na mazingira anayoishi,mazingira yangu Ni mazuri Sana kwa kilimo ndio maana naendelea kuwa mkulima na kukipenda kilimo
 
Kama kijana amefikia hatua ya kujikombakomba kiasi hiki unadhani akiambiwa na mwanaume mwenzake "njoo nikuoe utapata ulaji kwenye mfumo" anaweza kuleta pingamizi?
Ukiona una mawazo ya namna hiyo Kama uliyo nayo Basi bila Shaka unatatizo linalohitaji usaidizi wa kielimu ili uweze kujitambua
 
Na ni nani aliyepata kura nyingi za ubunge toka mfumo wa vyama vingi uanzishwe?
Kwani wapi nimeongelea habari za ubunge Mimi,Kama unataka Hilo unaweza kuandika nawe maana hakuna anayekuzuia kufanya hivyo
 
Ndugu zangu,

Rais mstaafu mh Jakaya Kikwete Ndiye Aliyenishawishi Kujiunga na CCM Mwaka 2005 Nikiwa mkoani Rukwa wilaya ya Sumbawanga vijijini, mji mdogo wa Laela Jimbo la Kwela lililokuwa linaongozwa na Marehemu Chrisant maji ya Tanga Mzindakaya. Nilikuwa huko kwa baba yangu mdogo ambako nilikuwa nasoma.

Kikwete alikuwa amekuja kuomba kura za Urais katika uchaguzi mkuu ulioacha historia ya kipekee kuwahi kutokea hapa nchini kwa mgombea wa CCM kupendwa na kukubalika na makundi yote na vyama vyote hadi vya upinzani.

Hakika kikwete alikubalika, alipendwa, alikuwa na mvuto wa kisiasa kuwahi kutokea hapa nchini. Kila mtu alitamani kumuona na kumsikiliza, kila mtu alitamani asiondoke na kufunga mkutano, kila mtu alitamani siku ya kupiga kura ifike haraka ili ampigie kura kikwete.

Watu waliona ni kama siku ya kupiga kura inachelelewa sana kufika maana kila mtu alitaka kuwa sehemu ya historia kumpigia kura Kikwete, hakika kampeni zake zilipendeza na kuvutia. Kila Kona na kila mahali ilikuwa ni CCM tu.

Picha zake zilipambwa na kupambika kila mahali, tisheti na vitenge vyenye picha yake vilivaliwa na kila mtu utafikiri sare ya taifa, hakika hata mimi niliitafuta tisheti ya CCM yenye picha yake kwa hali na mali.

Hatimaye Kikwete alikaribishwa jukwaani kutoka jukwaa kuu, lakini kitu alichokifanya Kikwete kilibaki ni historia na kuandika jina lake katika mioyo ya Wafipa na wana laela. Kikwete aliinua mkono wake juu na kufunua lile jukwaa dogo alipokuwa anatakiwa kusimama na kuhutubia kusudi na yeye awe juani maana jua lilikuwa limewaka.

Halafu akasalimia na kwa upole na tabasamu akasema, "NYOTA NJEMA HUONEKANA ASUBUHI", uwanja mzima uliokuwa umefurika mpaka pa kupita sisimizi palikosekana ulilipuka kwa shangwe, nderemo, vifijo, makofi, kelele za kuimba Rais..Rais..Rais zikitawala uwanja wote wa shule ya msingi Laela. Jamani ilikuwa ni furaha kubwa sanaaa kwetu.

Kitendo cha kutoa kitambaa kilichokuwa kimefunika jukwaa lake ili Naye akae juani Kama sisi kilitugusa na kugusa mioyo ya wote, watu wakasema hakika huyu Ni chaguo la Mungu,Hakika huyu atalia nasi katika shida na kufurahi nasi katika Raha, wakasema hakika huyu Ni Joshua anaye tupeleka Kanaan, wakasema hakika huyu atasimama nasi katika magumu,wakasema huyu Ni mwezetu alietoka na kukulia katika maisha yetu na anayejuwa maisha yetu na Hali zetu. Kila mtu aliongea mengi Sana ya kumpongeza mh kikwete.kama Ni point Basi alizoa point zote. Kama Ni Kura hakika alizoa Kura zoteee za Wana laela,

Kiukweli Ni kutokea hapo niliipenda Sana CCM, Nilitamani ningempigia Kura katika uchaguzi ule lakini nilikuwa sijafikia umri wa kupiga kura, hivyo nikaishia kuwaambia watu wampigie kura Rais kikwete aliyeonyesha moyo wa upendo kwetu wananchi Hadi kuamua kukaa na kusimama nasi juani licha ya kuwekewa kimvuli. Nikutokea hapo nimekuwa mtafuta Kura za CCM popote pale. Ni kutokea hapo sijawahi kujuta kuwa mwana CCM. Wala sijawahi kuacha kuisemea CCM mahali nilipo. Ni kikwete Ndiye Aliyenishawishi kuipenda CCM maana niliona Ni chama kinachowajali wananchi na kuguswa na shida zao na kuwa na Sera na ajenda zinazogusa maisha ya watanzania.

Asante Sana mh kikwete kwa kunifanya kuipenda siasa na CCM kwa ujumla,Asante kwa kutujengea shule za kata ambazo Mimi Ni mnufaika nazo na nimefaidika na kupata Elimu kupitia juhudi zako ,Asante kwa kunipatia mkopo wa Elimu ya juu ulionisaidia kutimiza Ndoto zangu za kupata Elimu ya juu licha ya kuwa nimetoka familia masikini,Asante kwa kulitumikia Taifa letu kwa uzalendo mkubwa na kwa demokrasia ya Hali ya juu sana,.

Kazi Iendeleee , mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Sasa kama ulijiunga na ccm,so fucking what!!kujiunga kwako na ccm,Kuna faida gani kwa wananchi,zaidi ya kukizi njaa binafsi?
Cha upekee ni kipi?ccm imekupa mtaji,ukaanzisha shughuri ukatoa ajira kwa vijana?au imekuwezesha kubuni bidhaa Bora ?
Watz wengi wameishajua,ccm ni majambazi,yameiteka nchi!!it's a matter of time,before hakijanuka,
It's not if,it's when will the hell bleak loose,na maccm yakakimbia kama mavichaa,tutayawinda kila kona
 
Sasa kama ulijiunga na ccm,so fucking what!!kujiunga kwako na ccm,Kuna faida gani kwa wananchi,zaidi ya kukizi njaa binafsi?
Cha upekee ni kipi?ccm imekupa mtaji,ukaanzisha shughuri ukatoa ajira kwa vijana?au imekuwezesha kubuni bidhaa Bora ?
Watz wengi wameishajua,ccm ni majambazi,yameiteka nchi!!it's a matter of time,before hakijanuka,
It's not if,it's when will the hell bleak loose,na maccm yakakimbia kama mavichaa,tutayawinda kila kona
Akili yak ukitulia utagundua kuwa uliyoandika umeandika mihemuko ukiwa mahali,nchi hii Ni Tulivu na salama kutokana na umadhubuti na ushupavu wa serikali ya CCM na namna ilivyowaunganisha watanzania katika kuijenga Tanzania yetu,Hakuna mtu atakaye pata nafasi ya kuvuruga nchi yetu. Kama huamini Basi jaribu kufanya hivyo ili ukione Cha mtema kuni
 
Kijana tafuta mbinu nyingne ya kuweza kutoka hakika uchawa haujawahi muacha mtu swalama.
Pia co kila chawa ataweza fanikiwa
Mimi Ni mkulima Tayari,Jukwaa hili Ni mahali huri ambapo you huri kuwasilisha chochote kwa kuzingatia Taratibu,kanuni,Sheria na miongozo ya jukwaa hili
 
Back
Top Bottom