Jakaya Mrisho Kikwete ndiye aliyenishawishi kujiunga CCM mwaka 2005

Unahangaika sana, uchawa mwingi unadhani hiko chama hakina wenyewe?. Unadhani utaambulia ka Uteuzi kwa kuwa chawa na kusifia upuuzi?. Unajidhalilisha tu kwa sababu ya njaa. Teuzi zikufate kama surprise, sio kama fadhila ya kusifia sifia kizandiki.
 
Unahangaika sana, uchawa mwingi unadhani hiko chama hakina wenyewe?. Unadhani utaambulia ka Uteuzi kwa kuwa chawa na kusifia upuuzi?. Unajidhalilisha tu kwa sababu ya njaa. Teuzi zikufate kama surprise, sio kama fadhila ya kusifia sifia kizandiki.
Naona akili yako yote inawaza uteuzi kwa sasa
 
Ulivyomsaliti wa kijijini kwenu, hujataja hata mahali alipokuja na changamoto alioitatua ya wananchi wako kipindi hicho,yaani ni aibu Mwanaume mzima kuvutiwa na Sura ya Mwanaume mwanzako. Hii Jf ilishavamiwa kwa kweli.
 
Ulivyomsaliti wa kijijini kwenu, hujataja hata mahali alipokuja na changamoto alioitatua ya wananchi wako kipindi hicho,yaani ni aibu Mwanaume mzima kuvutiwa na Sura ya Mwanaume mwanzako. Hii Jf ilishavamiwa kwa kweli.
Huyu mbwiga na Suphian Juma aliyetangulia hajulikani
 

Njaa inaleta maarifa, naona sasa mmegundua sehemu za kumwaga sifa na kufanyia uchawa.
 
Umeona Mama amekupotezea unajaribu karata yako kwa JK, hii ni njia ya kishamba sana ya kutafuta uteuzi.
Hali imekuwa ngumu sana, vijana wanajaribu pande zote ili kuhakikisha wanafanikiwa kimaisha.

Wakati vijana wengine wakipambana mitaani,tunao wengine humu mitandaoni wakijaribu kusifia wenye mamlaka na wenye ushawishi kwa wenye mamlaka ili maisha yao yanyooke.
 
Hawa ni rahisi sana 'kuolewa' ili mradi wawepo kwenye mfumo
 
Mh kikwete alikubalika na mamillion ya watanzania ,na ndio kiongozi mgombea pekee kutoka CCM aliye pata kura nyingi Sana kupita mwingine yeyote katika awamu ya kwanza Tangia mfumo wa vyama vingi uasisiwe hapa nchini
Ndiyo! Alikuvutia mpaka ukashawishika kuwa mwana CCM mpaka hii leo. Lakini kumbuka hapo ilikuwa ni wakati wa kampeni zake za mwaka 2004, ebu tupe hisia zako kuhusu na zile kampeni zake za 2009, na pia kuhusu katika kipindi chake cha mwicho pale alipokuwa anakaribia kumuachia JPM madaraka.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
JPM unamkumbuka? Au mnamtapeli Huyu mama ikifika 2030 chama na serikali ipoteze uelekeo wa kichama na kiuchumi?
 
Daah mkuu mtembelee pale msoga kodi waandishi njaa wawili watatu kujitafutia Kiki mnajifanya mnaenda kwakwe kuchukua ushauri wa kulima mananasi bora yanahoitajika kwenye soko la dunia
 

Hapo kwenye namba ya simu ndio kunanifurahisha ha ha ha
 
Haka kajamaa kanajua kutengeneza cob web! Kameanza kwa mama na kanaamini kameshamseti sasa kamerudi kwa mzee Jk kakiamini ndio mpanga Safi! Hutaskia kakisifia slogan za John the late hata kidogo. Sasa kanaamini jk atamshawishi mama ! Let's wait and see ndio Aina ya vijana Taifa la Tanzania limebeba! Muulize 2005 Alikua na age gani na Alikua anaqjalify kuhold Kadi ya Chama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…