Jakaya Mrisho Kikwete ndiye aliyenishawishi kujiunga CCM mwaka 2005

Anataka 'kuolewa' huyu mbwiga
Wewe tukana uwezavyo lakini huji kuona nimekutukana Mimi,Ndio maana licha ya kunitukana unakonitukana kila Siku lakini sijawahi kukujibu kwa matusi na Wala siji kufanya hivyo,kwa hiyo wewe endelea tu kufanya hivyo mpaka akili yako ikipevuka utaanza kuchangia hoja kwa heshima hata kwa mawazo na hoja ambazo hukubaliana nazo,Ila kwa Sasa kwa kuwa bado hujakomaa kiakili ndio maana naamua kunivumilia wakati wote utakao kuwa unafanya hivyo
 
Kukakaa kwa Kikwete juani kulipunguza jua lako? Mbona umeongea jambo la kipumbavu sana?
 
Utaolewa tu mwakani siyo kwa kujiuza huko
 
Utaolewa tu mwakani siyo kwa kujiuza huko
Wewe andika maneno yako ya dharau na matusi kwa kadiri uwezavyo lakini Mimi nasonga mbele tu maana naamini wewe bado Ni mtoto hivyo Sina sababu ya kubishana na mtoto anayetakiwa kuelekezwa
 
Wewe andika maneno yako ya dharau na matusi kwa kadiri uwezavyo lakini Mimi nasonga mbele tu maana naamini wewe bado Ni mtoto hivyo Sina sababu ya kubishana na mtoto anayetakiwa kuelekezwa
Ungekuwa unasonga mbele ungepata muda wa kuandika haya magazeti yako uchwara humu? Wewe unaishi kwa matumaini ya kuteuliwa si zaidi ya hapo.
 
Ungekuwa unasonga mbele ungepata muda wa kuandika haya magazeti yako uchwara humu? Wewe unaishi kwa matumaini ya kuteuliwa si zaidi ya hapo.
Basi nawe endelea kuishi kwa kutukana uone Kama Kuna kitakacho ongezeka kwako,Mimi nasonga mbele maana matusi yako hayanibabaishi kwa lolote lile,ndio maana unaona Wala siteteleki Wala kuyumba katika misimamo yangu,zaidi Ni kuwa unanipa nguvu ya kusonga mbele ili watoto Kama wewe muweze kuelimika na kukua kiakili
 
stiff necked fool
 
Mimi nimeshabarikiwa na Mungu sihitaji fadhila ya mwanadamu. Unaandaliwa nafasi huko UWT
 
Mimi nimeshabarikiwa na Mungu sihitaji fadhila ya mwanadamu. Unaandaliwa nafasi huko UWT
Basi Ni Bora Mwenyezi Mungu angekupatia kwanza akili ,hekima na busara ambavyo ndivyo vya muhimu Sana kwa mwanadamu, ulikosa hivyo unakuwa Kama mtu aliyekatika mishipa ya fahamu Kama ulivyo wewe kwa Sasa.Hivyo Mimi Nakuombea upewe hivyo kwa Sasa ili uwe Kama wanadamu wengine
 
Akili ninazo za kutosha ndiyo maana nikiona ndondocha kama wewe unatujazia upuuzi humu nakunyookea.
 
Umemalizia na kuandika jina lako kamili na kuacha nambari ya simu ukijidanganya utapokea simu kutoka Jakaya Kikwete Foundation πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.... ile org. Hata intern hawatoi jiongeze kijana! Tafuta kazi ya kufanya ufanye... vibarua tele kitaa!

Status ya yule mtu si ya kumpata kirahisirahisi ukategemea utoboe maisha kuwa chawa wa rais mstaafu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Pole sana!
 
Lucas Mwashambwa anaishi kwa matumaini hewa ya kuteuliwa,hao anaoshinda kuwasifia wanamchora tu na ushamba wake. CCM ina wenyewe na yeye si mmoja wao.
 
Lucas Mwashambwa anaishi kwa matumaini hewa ya kuteuliwa,hao anaoshinda kuwasifia wanamchora tu na ushamba wake. CCM ina wenyewe na yeye si mmoja wao.
Wala kusoma huu upuuzi hawana time hiyo... namshauri akawe chawa wa watoto wake labda. Instagram zao ziko wazi... aende kwenye search tu aandike "Kikwete" atawaona wote! Kuanzia mkubwa Miraji, Ridhwaan... mpaka wajukuu hapo sasa ndo ajaribu zali lake la kuwa chawa anaweza kubamba πŸ˜‚
 
Ilikuwa ni uchaguzi wa mwaka gani? Vipi hadi leo Kikwete mpo naye JUANI kama wewe na wenzio? Naona umetoa namba ya simu, unatafuta UCHAWA wa CCM?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…