Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Haya nenda kawa machinga ujinyime na wewe utoke kimaisha teh teh wabongo bhanaJamani,jaman, Yani kuwa machinga na kujinyima kunahitaji konektioni? Na mnataka kutuaminisha eti sekeritari wa "ofishi" hawezi kuwa na noleji ya biashara?
Nakutakia heri ya Xmas na mwakampyaHuyo ndo hustler sasa. Hongera yake.
Kwanini mna mawazo haya? Ni malengo na nidhamu Tu.kutoka hatua ya kwanza mwaka 2005 kwenda hatua ya pili mwaka 2009 lazima kuna mtu alimshika mkono kwa kumuongezea mtaji
Kuna siku ulisema utaleta thread namna ulivyoanza biashara kwa mtaji mdogo mpk kufikia hapo ulipo.Kwanini mna mawazo haya? Ni malengo na nidhamu Tu.
Stori yangu nitaambiwa ni chai kwasababu nilivyofanya ni vile watu wanasema haiwezekani.Kuna siku ulisema utaleta thread namna ulivyoanza biashara kwa mtaji mdogo mpk kufikia hapo ulipo.
Nadhani ni muda muafaka sasa kwahio thread.
Lkn nadhani watu flani hata kama ni wachache watakua inspired kwa ulichokiandika na watuchukua hatua stahiki.Stori yangu nitaambiwa ni chai kwasababu nilivyofanya ni vile watu wanasema haiwezekani.
MKUU @PRONDO,Stori yangu nitaambiwa ni chai kwasababu nilivyofanya ni vile watu wanasema haiwezekani.
Wataalam wanasema biashara nyingi mpya zinakufa ndani ya miaka 1-5. Nilianza 2015 nasubiri ku-survive 5yrs kwanza.MKUU @PRONDO,
NADHANI UNAWATAMBUA VEMA WABONGO KWA KUKOSOA NA KUPINGA VITU KIZEMBE-
HATA UKIWAAMBIA KUWA WEWE NI UNA MIGUU MIWILI KAMA WAO,
KUNA BAADHI WATASEMA NI CHAI.
HIVYO BILA KUJALI WEWE TUWEKEE SAFARI YAKO ILIVYOKUWA KWANI HATA HAO WATAKAOSEMA KUWA NI CHAI WATAKUBALI KIMOYOMOYO!!!
USISAHAU KUNI_TAG.
Well,Wataalam wanasema biashara nyingi mpya zinakufa ndani ya miaka 1-5. Nilianza 2015 nasubiri ku-survive 5yrs kwanza.
Lazima uanze ndio upate connection.Bila connection hapa duniani huwez kutoboa...huwez jua wakat anaanza ni watu gan wa muhimu katika kupata taarifa walikuwa wamemzunguka...amekomaa na ameweza bigup
Stori yangu nitaambiwa ni chai kwasababu nilivyofanya ni vile watu wanasema haiwezekani.
Bila connection hapa duniani huwez kutoboa...huwez jua wakat anaanza ni watu gan wa muhimu katika kupata taarifa walikuwa wamemzunguka...amekomaa na ameweza bigup
Connections sio kitu unachozaliwa nachoBila connection hapa duniani huwez kutoboa...huwez jua wakat anaanza ni watu gan wa muhimu katika kupata taarifa walikuwa wamemzunguka...amekomaa na ameweza bigup
Usitumie makalio kufikr....umeanza vizur ila umemaliza kwa vijembe, kejeli na dharau..kama hujui maana ya neno "connection" katika industry yyte is better to close ur shatup ass..usifkr kila kijana ni kihiyoConnection kiaje kwa mfano?ni nini kinaanza kati ya kufanya kazi kwa bidii na maarifa na hiyo unayoiita connection?vijana kazeni msilishwe matango pori