t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Kwan mwenye kibanda cha mpesa anakipi kilichopungua hadi asiweze kujadiliana nawe?,
Sent using Jamii Forums mobile app
Machinga sio mtu aliyetoboa...ili kutoka kwenye umachinga mpak kuwa giant firm lazima uwe na connection....sorry nisijekuwa naongea na mtu aliyeajiliwa au mwenye kibanda cha Mpesa..mana nahs ntapoteza mda
Sent using Jamii Forums mobile app