Jamaa alieoa dada yangu mgumu kuwasiliana na sisi ndugu wa mkewe

Jamaa alieoa dada yangu mgumu kuwasiliana na sisi ndugu wa mkewe

Huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu,

Jengine bado hajamalizia mahari, kuhusu maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.

Nyie vijana acheni dharau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
😂😂😂
 
unatokea kwenye familia ya kinge........... sana hata mm nisingewapigia kwani kutomalizia mahari ndo nn
 
Wewe dai mahari tu, mambo ya simu kupigiwa hayana tija , yeye ana familia yake na dada yako , so mind your business[emoji91]
 
Njoo PM kama una miaka mtoto wa kike.
Inaonekana mna umasikini wa kupindukia
Mahari haiwezi fanya ukawa tajiri ndugu yangu
utasabisha dada yako aishi kwa manyanyaso
mimi binti yangu akiolewa sitadai mahari ila mambo ya kimila
nitatimiza wazee wangu blanket na zawadi zawadi
mimi siuzi mtoto wangu
 
Ndio maana mnawachoma hata visu had wake zenu sabbu upendo hamna
ukigundua mkeo akiwatenga nduguzako utajisikiaje?

Ndio maana mnawachoma hata visu had wake zenu sabbu upendo hamna
ukigundua mkeo akiwatenga nduguzako utajisikiaje?
Mke nikimuoa kaja kwenye ukoo wangu, mwanamke hana dini, jina wala kabila, jina la ukoo mpaka atachukua langu, kabila na dini atahamia vyangu, Sasa aingie kwenye ukoo wangu halafu awabague nduguzangu? Inaingia akilini?
 
Huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu,

Jengine bado hajamalizia mahari, kuhusu maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.

Nyie vijana acheni dharau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Samahani mkuu, aliyeolewa ni dada yako ama wewe
 
Mtoa mada nipo online kapopolewa hadi raha, atakuwa hana kazi za kufanya pia ni masikini mno kutokana na mawazo yake kuwa mgando na uvivu wa kufikiri, huwezi kuwa na kazi za kufanya dume zima halafu ukawa na mawazo ya kipumbavu hivyo, jamani vijana wenzangu tusioe familia za kimasikini kama za mtoa mada.
 
Huyo shemeji yako inawezekana ni Mimi 😂😂😂... Anyway, wengine maswala ya kupiga piga simu hatuko vizuri sana angalau utume msg utajibiwa.
Mwanzo nilidhani nazungumziwa mm,
 
Mmempa kijana wa watu tatizo la familia yenu na bado mnataka kumuongezea matatizo mengine.Si mumshukur hata kawaondolea aibu?
Achen watu wafuraie ndoa yao,nyie ndio mtamjaza maneno dada yenu aje kuishia kuwa single mama
 
Back
Top Bottom