Jamaa alieoa dada yangu mgumu kuwasiliana na sisi ndugu wa mkewe

Jamaa alieoa dada yangu mgumu kuwasiliana na sisi ndugu wa mkewe

Bora iwe hivo japo imenishangaza mm navoelewa mkishaona familia zinaungana
Wakwezako ni wajibuwako kuwaangalia na wazaziwako ni wajibu wa mke pia kuwaangalia
Unajisikiaje mkeo akiwatenga nduguzako?

Kwakweli hapana utu hamna Bora uwe mvivu lakin uweke akilinj kuwa kukuozesha sio Kwamba hawamtaki nduguyao na ndio maana hata ukimuacha na watoto watano ndugyzake watampokea pale ndo damuyake ilipo
Hapa nadhani kuna utofauti wa ile kutokuwapigia simu wakwe zako ili hali watu wengine unawasiliana nao vizuri ila pia kuna ile ya wakina sisi ya kutokua mtu wa simu kabisa, haijalishi ni ukweni au nyumbani au kwa watu wengine, yaani iko hivyo kwamba sio mtu wa kuwasiliana na watu kwa njia ya simu mara kwa mara.

Kwa yule ambae anawasiliana na wazazi wake pamoja na ndugu zake wengine vizuri ila anashindwa kuwasiliana na wazazi au ndugu wa mkewe huyo ni mbinafsi, kwa maana mkishaoana tayari mshakua ndugu kwa namna moja au nyingine.

Ila kwa watu kama sisi ni character tu ndio zinatusumbua, kwamfano nikijizungumzia Mimi ni kwamba niko comfortable sana kwenye kuchat kuliko kuongea kwa simu, kwahiyo wanaonifahamu huwa wanaelewa hivyo.

Sasa shida inakuja unapokua na mkwe ambae umri umesonga, inakua ngumu kuanza kumjulia hali kwa msg na badala yake unajikuta tu kwamba imepita muda mrefu hujawasiliana na mkweo, ingawaje mashemeji na wengineo wa upande huo mnaweza kuwasiliana.
 
Hapa nadhani kuna utofauti wa ile kutokuwapigia simu wakwe zako ili hali watu wengine unawasiliana nao vizuri ila pia kuna ile ya wakina sisi ya kutokua mtu wa simu kabisa, haijalishi ni ukweni au nyumbani au kwa watu wengine, yaani iko hivyo kwamba sio mtu wa kuwasiliana na watu kwa njia ya simu mara kwa mara.

Kwa yule ambae anawasiliana na wazazi wake pamoja na ndugu zake wengine vizuri ila anashindwa kuwasiliana na wazazi au ndugu wa mkewe huyo ni mbinafsi, kwa maana mkishaoana tayari mshakua ndugu kwa namna moja au nyingine.

Ila kwa watu kama sisi ni character tu ndio zinatusumbua, kwamfano nikijizungumzia Mimi ni kwamba niko comfortable sana kwenye kuchat kuliko kuongea kwa simu, kwahiyo wanaonifahamu huwa wanaelewa hivyo.

Sasa shida inakuja unapokua na mkwe ambae umri umesonga, inakua ngumu kuanza kumjulia hali kwa msg na badala yake unajikuta tu kwamba imepita muda mrefu hujawasiliana na mkweo, ingawaje mashemeji na wengineo wa upande huo mnaweza kuwasiliana.
Yes nimeelewa pia
Kuna watu ni wagumu kupiga simu sana kama ulivosema ni character

Lakin kwa kuangalia mawazo ya wengi hapa ni Kwamba utu hawana upendo hawana sio kwamba hawawez kupiga simu

Binadamu tunahitajiana kuna watu wanaishi vizuri na shemejizao kama nduguzao Tena huenda na Zaid ya ndugu zao wanavoshikana
Lakn ukishakuwa mwanaume inabid ujue kuwa kumuoa mwenzio sio sababu ya wewe kuharibu au kuweka kizuiz cha upendo na familia na ndugu wa mwanamke mara nying huwa wanaona shemejizao ni kama nguzo muhimu sana kwao huenda isiwe kifedha hata faraja
 
Yes nimeelewa pia
Kuna watu ni wagumu kupiga simu sana kama ulivosema ni character

Lakin kwa kuangalia mawazo ya wengi hapa ni Kwamba utu hawana upendo hawana sio kwamba hawawez kupiga simu

Binadamu tunahitajiana kuna watu wanaishi vizuri na shemejizao kama nduguzao Tena huenda na Zaid ya ndugu zao wanavoshikana
Lakn ukishakuwa mwanaume inabid ujue kuwa kumuoa mwenzio sio sababu ya wewe kuharibu au kuweka kizuiz cha upendo na familia na ndugu wa mwanamke mara nying huwa wanaona shemejizao ni kama nguzo muhimu sana kwao huenda isiwe kifedha hata faraja
Uko sahihi, ila naweza nikawatetea kidogo, kwamba haya mambo pia hutegemeana na ukaribu wa mtu na mkwe yake kwa maana vile ambavyo waliconnect tangu zile siku za kwanza.

Kuna wazee hata uwazoee hawana story kwa maana ya kwamba sio wacheshi, kwahiyo mtu unajikuta hata kumpigia simu inakua kipengele kwa maana huwezi kupiga ili muweze kupiga story mbili tatu ila ukipiga baada ya salamu anasubiri kupokea taarifa kutoka kwako😅😅.

Lakini pia kuna wengine ni ishu ya maadili, katika ile hali ya kumuheshimu mkwe hadi mnajikuta mnaogopana 😂😂.
 
Uko sahihi, ila naweza nikawatetea kidogo, kwamba haya mambo pia hutegemeana na ukaribu wa mtu na mkwe yake kwa maana vile ambavyo waliconnect tangu zile siku za kwanza.

Kuna wazee hata uwazoee hawana story kwa maana ya kwamba sio wacheshi, kwahiyo mtu unajikuta hata kumpigia simu inakua kipengele kwa maana huwezi kupiga ili muweze kupiga story mbili tatu ila ukipiga baada ya salamu anasubiri kupokea taarifa kutoka kwako😅😅.

Lakini pia kuna wengine ni ishu ya maadili, katika ile hali ya kumuheshimu mkwe hadi mnajikuta mnaogopana 😂😂.
umesema vema mkuu Thecoder
 
Unampigia shemeji yako unataka kumwambia nini? Mwambieni dada yenu, yeye dada yenu ndio ataongea na mume wenu(shemeji yenu) full stop.
Mnataka mumzoee muanze kumuagiza matembele na maandazi kama mnavyotumwa nyie nyumbani kwenu?
Shemeji yako muheshimu.
Umemaliza kila kitu.
 
Uko sahihi, ila naweza nikawatetea kidogo, kwamba haya mambo pia hutegemeana na ukaribu wa mtu na mkwe yake kwa maana vile ambavyo waliconnect tangu zile siku za kwanza.

Kuna wazee hata uwazoee hawana story kwa maana ya kwamba sio wacheshi, kwahiyo mtu unajikuta hata kumpigia simu inakua kipengele kwa maana huwezi kupiga ili muweze kupiga story mbili tatu ila ukipiga baada ya salamu anasubiri kupokea taarifa kutoka kwako😅😅.

Lakini pia kuna wengine ni ishu ya maadili, katika ile hali ya kumuheshimu mkwe hadi mnajikuta mnaogopana 😂😂.
Umetuwakilisha vyema mkuu
 
Dada aliolewa 2014 ila sijawahi kuwasiliana na mume wake toka aolewe. Tulikutana mara moja kwenye mji wanaoishi nilipoenda kikazi. Wana nyumba kubwa ila niligoma kulala kwao kwa muda niliokuwa kwenye mji wao. Kwa kikwetu haishauriwi kulala kwa dada au kwa mwanamke ambaye bado hujamuoa.
 
Mkuu kivip?
Kivipi tena?.

Yaani mnataka nanyi muwepo ndani ya ndoa yake?. Jambo la msingi hawana shida wala kuumwa hayo mengine ni kuwaingilia maisha yao.

Kama ni wakristo mnatakiwa kupigwa bakora kila siku asubuhi mkitoka kitandani!.
 
Izo ni kawaida ,japo kwa mama mkwe lazima umpigie pia uwe Unakumbuka kumtumia Hela na kusaidia upande wa kike kama kuwasomesha shemeji zako na kuwa panmichongo
Labda kuwapa mmichongo, kisomeshwa watasomeshwa na baba zao
 
Back
Top Bottom