Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Huyu mwanamke karma itamlipa ni swala la muda tu, utaleta ushuhuda hapa.
 
Dogo kawa Kama kachizi flan hivi, tangu kafika hapa home hata KWENYE Kochi hajakaa.

Analia TU chini Kama mtoto mdg
Aisee pole yake sana, atakua sawa tu ndiyo ukubwa huo ajikaze, akumbuke kuna wenzie wamekimbiwa siku ya harus,i bibi harusi hajatokea. Mungu kamuepusha na vingi hawezi jua.
 
Mmmh! Sasa kama aliweza kumpangia bibie nyumba nzima ikaweje sasa ashindwe kuishi naye kwanza kwenye hizo nyumba za kupanga?
Dogo anaishi KWENYE nyumba za familia yao.

Asilimia kubwa KWENYE ya familia yao karibu wote nnaowajua naona wanaishi pale pale mazingira ya kwao na wameoa na kuishi pale pale

Kuanzia baba zake wadogo, wakubwa, baba yao na mama zake wote (mzee wake ana wake 3)

Kasoro Kaka ake mkubwa mmoja TU najua ndo naona anaishi zake kuishi mtaani.
 
Hujanielewa, dogo alimpangia nyumba nzima bibie right? Kwa nini kama alikuwa na nia naye wasioane na kuishi kwa kupanga kwanza?
 
Hujanielewa, dogo alimpangia nyumba nzima bibie right? Kwa nini kama alikuwa na nia naye wasioane na kuishi kwa kupanga kwanza?
Sijajua ila nnachokiona dogo alchokua anakisema Mara kwa mara malengo yake amuoe rasmi akishamaliza ujenz wake huo.

Ahamie nyumba yake mpya na MKE wandoa kabisa

Sijaona Kama Kuna tatizo maana ata mwanamke wake Mara kwa mara nlkua namkuta apo saiti Tena akionekana akiwa happy kabisa na Hilo suala .

Sikujua labda huenda lilikua linamkera ndani kwa ndani mkuu
 
Aisee pole yake sana, atakua sawa tu ndiyo ukubwa huo ajikaze, akumbuke kuna wenzie wamekimbiwa siku ya harus,i bibi harusi hajatokea. Mungu kamuepusha na vingi hawezi jua.
Umezungumza Kama jamaa flan nae mchana kamtolea mifano Kama hiyo.

Kiukweli maumivu anayopitia uyu jamaa anasikitisha Sana.

Kuna MDA nmewaza ata uyu MKE wangu asije nipiga na Mimi kitu kizito maana na alkua karibu sana na yule mwanamke.

Sijajua anaewashaurigi wanawakevitu vya kikatili Kama hivi Nani mkuu[emoji848].

Yaan mpaka nmeanza kumhofia at uyu MKE wangu[emoji17]
 
Haya mambo ndo tunakukataza ila hauelewi baada ya kumponya rafiki yako utazidi kumwumiza
 
Haya mambo ndo tunakukataza ila hauelewi baada ya kumponya rafiki yako utazidi kumwumiza
Mkuu kutokana na ushaur wa wengi humu nmeamua rasm kusitisha Hilo zoezi.

Ngoja nipambane kwanza kumuweka dogo sawa
 
Mkuu kutokana na ushaur wa wengi humu nmeamua rasm kusitisha Hilo zoezi.

Ngoja nipambane kwanza kumuweka dogo sawa
Pambana msaidie aseee mambo ni magumu achana na huyo mwenye tamaa zake kwanza,angalia usikeshe maana hizi dalili
Ila wanawake jamani mmh
 
Hujanielewa, dogo alimpangia nyumba nzima bibie right? Kwa nini kama alikuwa na nia naye wasioane na kuishi kwa kupanga kwanza?
Hiyo bado sio sababu ya kufanya aliyoyafanya
 
Cha msingi
Wapambane kurudisha urafiki wao
Ili maisha yaendelee

Wanawake wenye akili wapo wengi
Waachane na huyo asiyejitambua.
Warudishe urafiki kivipi?
Umewahi kuwa hata kwenye mahusiano mkuu?
Unaujua uchungu wa kuachwa na mwanamke uliyejitolea kila ulicho nacho afurahi?
Yaani mtu amemchukua mwanamke wako halafu urudishe urafiki naye?
Unadhani utajisikiaje kumuona rafiki yako wa karibu akiwa na mpenzi wako wa zamani aliyemrubuni akuache?!
 
Pambana msaidie aseee mambo ni magumu achana na huyo mwenye tamaa zake kwanza,angalia usikeshe maana hizi dalili
Ila wanawake jamani mmh
Acha kabisa,
Dogo anajuta miaka mingi kapoteza, fedha nyingi kapoteza

Afu mtu anakuja mtendea hivi.

Ni vitu ambavyo sikwahi tarajia vinaweza mpata mtu

Kina watu humu wanafanya masihara, ila najua wanafanya masihara coz hayajawakuta au kuwakuta wao wa karibu.

Binafsi shughuli zangu nyingi Leo zimesimama kwasababu ya hili suala, na hiyo nafanya sababu uyu dogo ni mtu wangu wa karibu Sana.

Siwezi mtenga katika hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…