Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Unaweza mlaumu huyo mwanamke kwa kukubali kuolewa na shemeji yake lkn pia yaonyesha huyo mdogo wenu nae alikuwa mzembe na alionyesha mazoea kwa huyo mwanamke sababu huwezi kukaa na mchumba kwa zaidi ya miaka mnne bila kwenda kwao kujitambulisha na kutoa kiposa cha uongo na kweli ili tu kuzuia asijitokeze mtu mwingne wa kumchumbia..maswala ya mahusiano na ndoa ni magumu kuyatatua kwa kusikiliza upande mmoja.
 
Dah! Jamaa huwez Amin alkua anamgharamia Yule mwanamke utadhan mke wake wa Ndoa.

Jamaa yangu Ni form four, ila alipambana kumlipia Ada mpaka binti uyu kamaliza chuo kikuu.

Kibaya Zaid ata hapo sheli anakofanya kazi uyu binti, jamaa ndo kamuunganisha na ndo mdhamini wake.

Binti kapangiwa nyumba nzima, anaishi kwa Raha Sana.

Jamaa alkua analipa kila kitu khs mahitaj yake yote ya nyumbani mpaka dharula za familia yake.

Gari anayotembelea kamnunulia uyu jamaa,
(Tena nilishiriki ipasavyo kwenye mchakato mzima wa kuiagiza mpak kuitia mkononi)

mafuta juzi juzi TU tunatoka gym alipitia she'll kumuwekea ya 350,000 kwa ajili ya mizunguko yake.nikishuhudia mwenyewe.

Mshahara anaolipwa sidhan hata Kama uwa anaugusa kabisa.

Kwakweli,
alichomfanyia jamaa Ni zaidi ya unyama[emoji26]

sorry chief, gari ya aina gani hiyo imeingia mafuta ya 350,000? au ni lori!!!! [emoji1][emoji1]
 
Kwani michepuko hawafanyiwagi hayo?

Lakini naona harufu ya chumvi kidogo.

Umpangishie nyumba, umnunulie na gari, halafu usioe kisa unasubiri nyumba iishe....thubutuuu

Na hakuna binti wa hivyo akubali kuolewa mke wa pili, kisa ndoa tu?
Nina mashaka.
Mkuu, nikikwambia jamaa alkua ANAMPENDA Sana uyu mwanamke unapaswa kuniamini.

Uyu jamaa alijitoa kwa Hali na Mali khs uyu mwanamke.

Jamaa tangu amekua na uyu mwanamke amekua karibu na kila kitu Cha jamaa,

Mkuu,
Kuna watu wanapenda sijawahi ona.

Mwakani alkua amepanga pia kuibadilisha nyumba ya wazazi wake binti akidai kila akienda anakosa hata pa kufikia
(Ni mipango TU ilokuepo khs uyu MKE wake mtarajiwa)

Nyumba nnayokwambia alkua anajenga, ikifika mwakani itakua inamaliza mwaka wa 3 inajengwa non-stop.
Mafundi wako saiti daily na material hayakatiki saiti.

Ukiambiwa nyumba,
uelewe Ni nyumba kwelikweli na sio hivi vibanda vyetu tunavyojenga kina sisi pangu pakavu.
 
Hayo Mambo aliyofanyiwa umeyaona?

Ameshindwa kuvumilia Hadi mwakani Kama alivyoahidiwa kiufupi wanawake wengine hawanaga shukrani kabisa
Mpaka sahivi MKE wangu hajaamini alikifanya wifi yake uyu mchumba wake na dogo.

Anasema sio bure Kuna namna kachezewa.

Katoka sebleni Hataki kumwangalia dogo anavolia kwa uchungu Hadi kamasi zimemtoka.

Ukifika nyumban utadhan mtu kafiwa na mzazi.[emoji26]
 
Jinsia ke imegeuka kuwa katili Sana kipindi hiki.
Najivunia kuzaliwa na Mama wa kale
 
Ukimpenda mwanamke toa mahari na kufunga ndoa muda ukiwa tayari

Lakini mwanamke unaetembea nae miaka yote kama hawara tu akipata wa kumuoa anaangalia maslahi yake

Huyo wa kukusubiri na miaka 4 sidhani kama ana nia ya kuolewa na wewe bali ni girlfriend tu

Hongera zake huyo jamaa kwa kutoa mahari
Ukipata mwanamke wa kuoa ni kuoa tu sio unaishi nae kama kimada halafu akuolewa unalialia
Huyo ni wa wote mpaka uoe period
 
Yap Kama chai hivi unajiuliza kwann ndani ya miaka hiyo minne asipate hata mtoto??

Hata hiyo reaction ya wazazi wake ya kutokumkubali kabisa jamaa na kumruhusu mtoto abadili na dini juu [emoji1][emoji1787]

Halafu hao wazazi hawakumuonya jamaa kuhusu kukaa mda mrefu bila kumuoa mtt wao ?? Kwamba walimpa jamaa kimya kimya ?

Hii kweli yaweza kua ni chai na karoti [emoji1787][emoji1787]
Sijawahi kuandika nyuzi za ovyo mkuu,
Nnapokwambia alkua mchumba wake miaka minne namaanisha minne kweli.

Dogo tayar alkua na mtoto nje, alimzaa akisoma shule na ndo sababu ya dogo kuishia form 4 maana alikimbia miaka 30 jela ndo akaingia uko Kwenye kubangaiza.

Uyu mchumba wake amempata akiwa chuo mwaka wa 1.
Miaka 2 yote ya uchumba wao binti alkua anasoma chuo mkoa mwingine kabisa.

Mwaka 1 wote binti aliajiliwa Kama mtendaji wa tarafa mkoani uko vijijini,

Jamaa ndo kamtoa uko na kamuunganisha na kazi ya sheli kwa rafiki yake mmoja hapa mjini

Mwaka 1 tu ndo wamekua wote hapa mjini, yaani namaanisha mwaka huu 2021 unaoishia. (Yaani tangu mwezi octoba mwaka Jana mpaka leo Hii)

Na jamaa alompangia maksudi na hakutaka kuishi na kwake kwa maana jamaa yeye bado anaishi kwao (nyumba ya familia)

Ndo alipanga akishamaliza ujenzi wakahamie Kwenye nyumba yake anojenga sahvi.
 
Dah! Jamaa huwez Amin alkua anamgharamia Yule mwanamke utadhan mke wake wa Ndoa.

Jamaa yangu Ni form four, ila alipambana kumlipia Ada mpaka binti uyu kamaliza chuo kikuu.

Kibaya Zaid ata hapo sheli anakofanya kazi uyu binti, jamaa ndo kamuunganisha na ndo mdhamini wake.

Binti kapangiwa nyumba nzima, anaishi kwa Raha Sana.

Jamaa alkua analipa kila kitu khs mahitaj yake yote ya nyumbani mpaka dharula za familia yake.

Gari anayotembelea kamnunulia uyu jamaa,
(Tena nilishiriki ipasavyo kwenye mchakato mzima wa kuiagiza mpak kuitia mkononi)

mafuta juzi juzi TU tunatoka gym alipitia she'll kumuwekea ya 350,000 kwa ajili ya mizunguko yake.nikishuhudia mwenyewe.

Mshahara anaolipwa sidhan hata Kama uwa anaugusa kabisa.

Kwakweli,
alichomfanyia jamaa Ni zaidi ya unyama[emoji26]
Hiyo gari ni Prado? Landcruiser? Nissan Patrol?
 
Hao wazazi wake wanakauwezo?
Sina uhakika ila nikiangalia kwa macho ya kawaida naona Hamna kitu mkuu,

Wanaishi nyumba duni sana niliwai fika kwao Mara moja.

Afu binti kasomeshwa na jamaa kila kitu maana alkua hapati mkopo
 
Brother mwambie dongo alie kadri awezavyo let him cry Sana tu, lakin hakikisheni abaki alone maana akiwa peke yake anaweza kufanya chochote. Please jaribu kuwa unamuuliza kuwa anampango gani kwa hilo liliotokea hakikisha anakushilikisha alafu jaribu kumuexpose kwenye sehemu zenye watu wengi yaani ajichanganye na watu hii itamsaidia sana tu. Mwambie akubari kile kilochotokea.
Na nikuombe please msimtafute huyo Binti maana mnataka kutengeneza nuclear bom.
Kitakachokuja kuwa tokea kwa kulazima yatakua majuto makubwa sana.
That girl she is a pathological liar a big liar.
Msimpe nafasi and Nina huakika kabisa huyo binti wazazi wake wako very innocent kabisa trust me utakuja kulifahamu hili baadae. Amewalazimisha wazazi wake na ndugu pia kuwa yeye ndio mwenye uamuzi wa mwisho.
Pls stay away from her she is a poison
 
sorry chief, gari ya aina gani hiyo imeingia mafuta ya 350,000? au ni lori!!!! [emoji1][emoji1]
Alijaza ya kwake mafuta ya 200 akaacha kalipia na ya 150 kesho akipita wamjazie.

Iyo ya kwake alokwenda nayo sheli tunaita TU Ni ya kwake kwasababu anaimiliki yeye,

ila anayeitumia zaidi ni uyo mwanamke wake na inalala Kwenye uzio wa uyo mchumba wake kila siku.
Yeye Anatumia Mara moja Moja wikendi anapokua amepumzika kwa uyo mwanamke wake.

Yeye anatumia zaidi pickup hizi ndogo ndogo ziko Kama kirikuu ila Ni kubwa kubwa kiasi za nissan (jina limenitoka) Kwenye mizunguko yake ya kila sikU.
 
Back
Top Bottom