Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Mwanamke kafanya uamuzi sahihi 100% Hakuna uchumba wa miaka 4 ni ubabaishaji. Halafu kama yeye amepanga alishindwa nini kuoa wakaendelea kuishi hapo wakimalizia nyumba? Haimaanishi huyo dada kapata mume Bora anaweza achwa baadae ila sio issue angalau alichagua mtu anayetaka kumuoa.
Lakini huyo mwanamke mwenzetu hakutumia akili kwasababu mleta mada kasema bibie amesomeshwa , akatafutiwa kazi, akapangiwa nyumba nzima plus gari la kutembelea,.. hakuna mwanaume ambae Hana malengo na ww anaweza kukufanyia hayo yote ilikuwa ni uvumilivu ndo ulihitajika Kwa huyo mdada ..
 
Karma lazima ije ifanye kazi yake kwa huto mwanamke na wazazi wake

Yaani hao wazazi wamesaidiwa mtoto wao kusomeshwa na kutafutiwa kazi kweli bado wakawa hawamkubali jamaa?

Yaani mtu asomeshe mtoto wenu halafu asimuoe yaani jamaa awe amefanya kazi bure...hao wazazi hawakujiuliza Hilo?

Hawakujiuliza hiyo miaka minne ya uchumba mtoto wao kafanyiwa nini na huyo jamaa?

Yaani Kama huyo mwanamke kafanyiwa kila kitu na jamaa Basi lazima angeolewa nae

Maswali hayo hapo juu wazazi hawakujiuliza huko ni kukosa shukran kabisa na watajuta aisee

We mwambie jamaa atulie tu asikilizie kama huyo mwanamke hajarudi huku analia..

Na huyo jamaa mpumbavu Sana mpunguzeni Kama vipi yaani inawezekana kabisa ndani ya hiyo miaka minne alikua na yeye anatembea nae kisiri Siri daah
Hakufikiria madhara ya yeye kumchukua na kumuoa mchumba wa rafiki yake Tena mke wa pili wakati rafiki yake Hana hata mmoja ndo huyo anaetegemea amuoe?
Aisee Hilo lijamaa mlipunguze tuu halina maana mkuu

Hata wewe mleta mada angalia asije kukuolewa mke wako awe mke wake wa 3


Anyway mkuu hebu tuambie na sisi ni bidhaa gani mnauza maana zinaonekana zina hela sanaaa na sisi tuanze kuuza
 
Update....
Ni kwamba mwanamke alinyang'anywa simu ya awali alokua anatumia na kapewa simu mpya yenye line mpya ya Airtel.

Nmefanikiwa kuipata hio namba na nmempigia na kuongea mwanamke mwenyewe.

Anasema,
"Shem mi sio kwamba simpendi rafiki ako, nampenda sana na nilitamani awe mme wangu. Sema rafiki ako hakua serious na Mimi. Miaka 4 yote tangu ameleta barua hamna kinachoendelea. Familia inanisumbua Sana afu nikimwambia hataki kunielewa anadai mpaka amalizie nyumba yake. Nyumba imeisha anadai finishing bado. Hivi kweli shemej nyumbA inaweza mzuia mtu wasifunge Ndoa? Hivi kweli anachonifanyia mwenzako unaona Ni sahii."

Nikamjibu,
"Kwaiyo meji ukaona Njia rahisi Ni kuolewa TU na rafki yake, hujui itamuumiza Kias gani?"

Akasema,
"Shemej nikwambie TU ukweli, uyu B tangu mwanzoni ashaonesha ananipenda Sana. Afu tangu zaman keshaonesha Nia ya kunioa MDA mrefu. Sema Mimi TU ndo nilikua kikwazo, afu kingine uyu B anakubalika Sana uku nyumban.

Shemej presha kwa familia yangu kuhusu B Ni kubwa Sana, Baba na mama na dada zangu wote wanataka niolewe na B. Imefkia mpaka mama ananambia uyu alonichumbia Ni mhuni TU miaka 4 Ni uchumba sugu huo. Imefkia mpaka baba haniongeleshi kisa sitak kuolewa na B. Na wote washanambia nisipoolewa B Mimi sitokua mwanao Tena na watanifuta kwenye ukoo.

Shemej yang mi mwenywe Niko Njia panda apa, moyoni mwangu B hayupo kabisa ila nalazimishwa TU na familia yangu. Uto rafiki yako hawamtaki kabisa ata kumskia uku nyumbani."

Nikamwambia,
"Kwaiyo shemej uko serious kabisa umelazimishwa Hii ndoa?"

Akasema
"Ndio Shem, yaan naomba TU uniombee msamaha TU kwa rafk yako. Mi bado nampenda Sana."

Nikamwambia,
"Bas Shem naomba ufanye jion tuonane ata kwa jamaa tujue tunaliwekaje hili"

Akasema,
"Sawa, ila Mimi kwa jamaa siwez kuja tena.italeta balaa. Labda yeye ata aje kwako niwakute apo kwako"

Nikasema,
"Sawa"

Ninachowaza Sasa,
Kama ni kweli uyu mwanamke kalazimishwa. Na kweli ANAMPENDA jamaa.

Nawaza kumshauri rafiki yangu, ashirikiane na uyu mwanamke.
Kisha binti atoroshwe akawekwe mafichoni kwa sikU kadhaa Hadi ile harusi ilopangwa itakapopita.

Uyu B atakapomtafuta akakosa Basi Iyo Ndoa ya kulazimisha itakua imeota manyoya.

Afu Sasa uyo B aje kwetu kulalamika kwetu katoroshewa MKE, na sisi tuje tumuoneshe kua upumbavu hatutaki.

SIJUI KAMA NIKO SAHII AU LAH[emoji848]

ushauri wenu tafadhali

Hauko sahihi

Amwache tu aolewe.

Na nyie mmezidi uchumba miaka 4 mtu mpaka ana hofu hataolewa.
 
Update....
Ni kwamba mwanamke alinyang'anywa simu ya awali alokua anatumia na kapewa simu mpya yenye line mpya ya Airtel.

Nmefanikiwa kuipata hio namba na nmempigia na kuongea mwanamke mwenyewe.

Anasema,
"Shem mi sio kwamba simpendi rafiki ako, nampenda sana na nilitamani awe mme wangu. Sema rafiki ako hakua serious na Mimi. Miaka 4 yote tangu ameleta barua hamna kinachoendelea. Familia inanisumbua Sana afu nikimwambia hataki kunielewa anadai mpaka amalizie nyumba yake. Nyumba imeisha anadai finishing bado. Hivi kweli shemej nyumbA inaweza mzuia mtu wasifunge Ndoa? Hivi kweli anachonifanyia mwenzako unaona Ni sahii."

Nikamjibu,
"Kwaiyo meji ukaona Njia rahisi Ni kuolewa TU na rafki yake, hujui itamuumiza Kias gani?"

Akasema,
"Shemej nikwambie TU ukweli, uyu B tangu mwanzoni ashaonesha ananipenda Sana. Afu tangu zaman keshaonesha Nia ya kunioa MDA mrefu. Sema Mimi TU ndo nilikua kikwazo, afu kingine uyu B anakubalika Sana uku nyumban.

Shemej presha kwa familia yangu kuhusu B Ni kubwa Sana, Baba na mama na dada zangu wote wanataka niolewe na B. Imefkia mpaka mama ananambia uyu alonichumbia Ni mhuni TU miaka 4 Ni uchumba sugu huo. Imefkia mpaka baba haniongeleshi kisa sitak kuolewa na B. Na wote washanambia nisipoolewa B Mimi sitokua mwanao Tena na watanifuta kwenye ukoo.

Shemej yang mi mwenywe Niko Njia panda apa, moyoni mwangu B hayupo kabisa ila nalazimishwa TU na familia yangu. Uto rafiki yako hawamtaki kabisa ata kumskia uku nyumbani."

Nikamwambia,
"Kwaiyo shemej uko serious kabisa umelazimishwa Hii ndoa?"

Akasema
"Ndio Shem, yaan naomba TU uniombee msamaha TU kwa rafk yako. Mi bado nampenda Sana."

Nikamwambia,
"Bas Shem naomba ufanye jion tuonane ata kwa jamaa tujue tunaliwekaje hili"

Akasema,
"Sawa, ila Mimi kwa jamaa siwez kuja tena.italeta balaa. Labda yeye ata aje kwako niwakute apo kwako"

Nikasema,
"Sawa"

Ninachowaza Sasa,
Kama ni kweli uyu mwanamke kalazimishwa. Na kweli ANAMPENDA jamaa.

Nawaza kumshauri rafiki yangu, ashirikiane na uyu mwanamke.
Kisha binti atoroshwe akawekwe mafichoni kwa sikU kadhaa Hadi ile harusi ilopangwa itakapopita.

Uyu B atakapomtafuta akakosa Basi Iyo Ndoa ya kulazimisha itakua imeota manyoya.

Afu Sasa uyo B aje kwetu kulalamika kwetu katoroshewa MKE, na sisi tuje tumuoneshe kua upumbavu hatutaki.

SIJUI KAMA NIKO SAHII AU LAH[emoji848]

ushauri wenu tafadhali
Hiviiii we jamaa unamuamini tena huyo bidada?Kama aliweza kuficha hayo mambo anayo kuambia sasa hivi huoni kwamba atauvuruga huo urafiki wenu unaosema mmeshakuwa ndugu?Kwanini hakuyasema hayo kabla na aseme sasa hivi maji ya shingo yameshamfika.Huo ushauri wa kutorosha ndy atamuambia huyo B.Ndy hapo mtakapo vurugana mamen kisa huyo bidada
 
Kosa analo huyo mnayemuita dogo.
Kwann kaleta malaya kwenye urafiki wenu ulioshibana?

Malaya katambulisha mtu nyumbani halafu anasema analazimishwa kuolewa naye[emoji23].

Ilikuaje mpaka akampeleka kwao?

Sikia, HUYO MALAYA ATAWAUA.
AMESHAUA URAFIKI WENU, SASA BADO ROHO ZENU.

NA NINAVYOKUONA NA AKILI ZAKO MGANDO ZA KUMTOROSHA KAMA HAMTOUANA BASI MTAPAKANA MAFUTA WE SUBIRI TU.
Anahitaji kuzibuliwa kibao aamka usingizini hivi imagine kama watu wanaokuzunguka wana mawazo hayo unasaidikaje?
 
Dah! Jamaa huwez Amin alkua anamgharamia Yule mwanamke utadhan mke wake wa Ndoa.

Jamaa yangu Ni form four, ila alipambana kumlipia Ada mpaka binti uyu kamaliza chuo kikuu.

Kibaya Zaid ata hapo sheli anakofanya kazi uyu binti, jamaa ndo kamuunganisha na ndo mdhamini wake.

Binti kapangiwa nyumba nzima, anaishi kwa Raha Sana.

Jamaa alkua analipa kila kitu khs mahitaj yake yote ya nyumbani mpaka dharula za familia yake.

Gari anayotembelea kamnunulia uyu jamaa,
(Tena nilishiriki ipasavyo kwenye mchakato mzima wa kuiagiza mpak kuitia mkononi)

mafuta juzi juzi TU tunatoka gym alipitia she'll kumuwekea ya 350,000 kwa ajili ya mizunguko yake.nikishuhudia mwenyewe.

Mshahara anaolipwa sidhan hata Kama uwa anaugusa kabisa.

Kwakweli,
alichomfanyia jamaa Ni zaidi ya unyama[emoji26]

Huku mbele sasa nahisi kuna chai.

Mafuta ya 350,000 kwa gari gani?

Semi tella?

Na kama ana gharamia hivyo, kwanini familia ya binti haimtaki na inamtaka huyo mwingine? Tena si wa dini yao? Na walianzaje kumtaka? Aliwatambulisha?
 
Lakini huyo mwanamke mwenzetu hakutumia akili kwasababu mleta mada kasema bibie amesomeshwa , akatafutiwa kazi, akapangiwa nyumba nzima plus gari la kutembelea,.. hakuna mwanaume ambae Hana malengo na ww anaweza kukufanyia hayo yote ilikuwa ni uvumilivu ndo ulihitajika Kwa huyo mdada ..
Mchumba hasomeshwi na mapenzi hayanunuliwi full stop!
 
Tafuta wazee wenye busara ambao wanaweza kumuangalia huyo unayemwota dogo kama mtoto wao waongee na wazazi wa huyo mwanamke na viongozi wa dini ili waweze kulichukua hilo Jambo kama la mtoto wao
 
Na mkiwa mnasomeshwa muwe mnakataa sasa
Ni wachache sana yaani mbele ya pesa lazima ukubali(hasa mtu akiwa na shida)yaani hata kama kugegeda hawezi utampenda hivohivo
Kila siku tunawambia mchumba hasomeshwi na mapenzi hayanunuliwi
Unakaa na mtu miaka minne mpaka anachumbiwa na mahari inapelekwa hujui una akili kweli?
 
Update....
Ni kwamba mwanamke alinyang'anywa simu ya awali alokua anatumia na kapewa simu mpya yenye line mpya ya Airtel.

Nmefanikiwa kuipata hio namba na nmempigia na kuongea mwanamke mwenyewe.

Anasema,
"Shem mi sio kwamba simpendi rafiki ako, nampenda sana na nilitamani awe mme wangu. Sema rafiki ako hakua serious na Mimi. Miaka 4 yote tangu ameleta barua hamna kinachoendelea. Familia inanisumbua Sana afu nikimwambia hataki kunielewa anadai mpaka amalizie nyumba yake. Nyumba imeisha anadai finishing bado. Hivi kweli shemej nyumbA inaweza mzuia mtu wasifunge Ndoa? Hivi kweli anachonifanyia mwenzako unaona Ni sahii."

Nikamjibu,
"Kwaiyo meji ukaona Njia rahisi Ni kuolewa TU na rafki yake, hujui itamuumiza Kias gani?"

Akasema,
"Shemej nikwambie TU ukweli, uyu B tangu mwanzoni ashaonesha ananipenda Sana. Afu tangu zaman keshaonesha Nia ya kunioa MDA mrefu. Sema Mimi TU ndo nilikua kikwazo, afu kingine uyu B anakubalika Sana uku nyumban.

Shemej presha kwa familia yangu kuhusu B Ni kubwa Sana, Baba na mama na dada zangu wote wanataka niolewe na B. Imefkia mpaka mama ananambia uyu alonichumbia Ni mhuni TU miaka 4 Ni uchumba sugu huo. Imefkia mpaka baba haniongeleshi kisa sitak kuolewa na B. Na wote washanambia nisipoolewa B Mimi sitokua mwanao Tena na watanifuta kwenye ukoo.

Shemej yang mi mwenywe Niko Njia panda apa, moyoni mwangu B hayupo kabisa ila nalazimishwa TU na familia yangu. Uto rafiki yako hawamtaki kabisa ata kumskia uku nyumbani."

Nikamwambia,
"Kwaiyo shemej uko serious kabisa umelazimishwa Hii ndoa?"

Akasema
"Ndio Shem, yaan naomba TU uniombee msamaha TU kwa rafk yako. Mi bado nampenda Sana."

Nikamwambia,
"Bas Shem naomba ufanye jion tuonane ata kwa jamaa tujue tunaliwekaje hili"

Akasema,
"Sawa, ila Mimi kwa jamaa siwez kuja tena.italeta balaa. Labda yeye ata aje kwako niwakute apo kwako"

Nikasema,
"Sawa"

Ninachowaza Sasa,
Kama ni kweli uyu mwanamke kalazimishwa. Na kweli ANAMPENDA jamaa.

Nawaza kumshauri rafiki yangu, ashirikiane na uyu mwanamke.
Kisha binti atoroshwe akawekwe mafichoni kwa sikU kadhaa Hadi ile harusi ilopangwa itakapopita.

Uyu B atakapomtafuta akakosa Basi Iyo Ndoa ya kulazimisha itakua imeota manyoya.

Afu Sasa uyo B aje kwetu kulalamika kwetu katoroshewa MKE, na sisi tuje tumuoneshe kua upumbavu hatutaki.

SIJUI KAMA NIKO SAHII AU LAH[emoji848]

ushauri wenu tafadhali
Nb ushauri wako haukubaliki Mwanamke anayelazimishwa anatoa taarifa kwa mtu wake kama rafiki wa karibu hakikisha unawatenganisha inawezekana kwa sasa ni ngumu lakini mbeleni utaona matunda coz kwa maelezo ya Mwanamke inaonekana B anahudumia sana hiyo familia toka kitambo hivyo sio bahati mbaya
 
Hayo Mambo aliyofanyiwa na jamaa alafu asimuoe?
Kwani michepuko hawafanyiwagi hayo?

Lakini naona harufu ya chumvi kidogo.

Umpangishie nyumba, umnunulie na gari, halafu usioe kisa unasubiri nyumba iishe....thubutuuu

Na hakuna binti wa hivyo akubali kuolewa mke wa pili, kisa ndoa tu?
Nina mashaka.
 
Ni wachache sana yaani mbele ya pesa lazima ukubali(hasa mtu akiwa na shida)yaani hata kama kugegeda hawezi utampenda hivohivo
Kila siku tunawambia mchumba hasomeshwi na mapenzi hayanunuliwi
Unakaa na mtu miaka minne mpaka anachumbiwa na mahari inapelekwa hujui una akili kweli?
Hayo Mambo aliyofanyiwa umeyaona?

Ameshindwa kuvumilia Hadi mwakani Kama alivyoahidiwa kiufupi wanawake wengine hawanaga shukrani kabisa
 
Update....
Ni kwamba mwanamke alinyang'anywa simu ya awali alokua anatumia na kapewa simu mpya yenye line mpya ya Airtel.

Nmefanikiwa kuipata hio namba na nmempigia na kuongea mwanamke mwenyewe.

Anasema,
"Shem mi sio kwamba simpendi rafiki ako, nampenda sana na nilitamani awe mme wangu. Sema rafiki ako hakua serious na Mimi. Miaka 4 yote tangu ameleta barua hamna kinachoendelea. Familia inanisumbua Sana afu nikimwambia hataki kunielewa anadai mpaka amalizie nyumba yake. Nyumba imeisha anadai finishing bado. Hivi kweli shemej nyumbA inaweza mzuia mtu wasifunge Ndoa? Hivi kweli anachonifanyia mwenzako unaona Ni sahii."

Nikamjibu,
"Kwaiyo meji ukaona Njia rahisi Ni kuolewa TU na rafki yake, hujui itamuumiza Kias gani?"

Akasema,
"Shemej nikwambie TU ukweli, uyu B tangu mwanzoni ashaonesha ananipenda Sana. Afu tangu zaman keshaonesha Nia ya kunioa MDA mrefu. Sema Mimi TU ndo nilikua kikwazo, afu kingine uyu B anakubalika Sana uku nyumban.

Shemej presha kwa familia yangu kuhusu B Ni kubwa Sana, Baba na mama na dada zangu wote wanataka niolewe na B. Imefkia mpaka mama ananambia uyu alonichumbia Ni mhuni TU miaka 4 Ni uchumba sugu huo. Imefkia mpaka baba haniongeleshi kisa sitak kuolewa na B. Na wote washanambia nisipoolewa B Mimi sitokua mwanao Tena na watanifuta kwenye ukoo.

Shemej yang mi mwenywe Niko Njia panda apa, moyoni mwangu B hayupo kabisa ila nalazimishwa TU na familia yangu. Uto rafiki yako hawamtaki kabisa ata kumskia uku nyumbani."

Nikamwambia,
"Kwaiyo shemej uko serious kabisa umelazimishwa Hii ndoa?"

Akasema
"Ndio Shem, yaan naomba TU uniombee msamaha TU kwa rafk yako. Mi bado nampenda Sana."

Nikamwambia,
"Bas Shem naomba ufanye jion tuonane ata kwa jamaa tujue tunaliwekaje hili"

Akasema,
"Sawa, ila Mimi kwa jamaa siwez kuja tena.italeta balaa. Labda yeye ata aje kwako niwakute apo kwako"

Nikasema,
"Sawa"

Ninachowaza Sasa,
Kama ni kweli uyu mwanamke kalazimishwa. Na kweli ANAMPENDA jamaa.

Nawaza kumshauri rafiki yangu, ashirikiane na uyu mwanamke.
Kisha binti atoroshwe akawekwe mafichoni kwa sikU kadhaa Hadi ile harusi ilopangwa itakapopita.

Uyu B atakapomtafuta akakosa Basi Iyo Ndoa ya kulazimisha itakua imeota manyoya.

Afu Sasa uyo B aje kwetu kulalamika kwetu katoroshewa MKE, na sisi tuje tumuoneshe kua upumbavu hatutaki.

SIJUI KAMA NIKO SAHII AU LAH[emoji848]

ushauri wenu tafadhali
Sikushauri ufanye hiki ulichoandika hapa rafiki yangu,,

Demu hana akili na anaitaka ndoa kwa gharama yoyote,, kudeal na mtu aina hiyo itakutia hasara hata wewe kinamna fulani hivi.
Mara uchumba sugu, mara anampenda mara sijui famili inampenda B,, akili zake mavi mavi tu,,
 
Kwani michepuko hawafanyiwagi hayo?

Lakini naona harufu ya chumvi kidogo.

Umpangishie nyumba, umnunulie na gari, halafu usioe kisa unasubiri nyumba iishe....thubutuuu

Na hakuna binti wa hivyo akubali kuolewa mke wa pili, kisa ndoa tu?
Nina mashaka.
Yap Kama chai hivi unajiuliza kwann ndani ya miaka hiyo minne asipate hata mtoto??

Hata hiyo reaction ya wazazi wake ya kutokumkubali kabisa jamaa na kumruhusu mtoto abadili na dini juu [emoji1][emoji1787]

Halafu hao wazazi hawakumuonya jamaa kuhusu kukaa mda mrefu bila kumuoa mtt wao ?? Kwamba walimpa jamaa kimya kimya ?

Hii kweli yaweza kua ni chai na karoti [emoji1787][emoji1787]
 
Liverpool VPN huwa mna mdharau sana

Yule jamaa ana hoja ya msingi anaposema MSIOE mtafute hela kwanza

Bila shaka hapo HELA ndio chanzo cha yote
Sidhani,
Maana Dogo kuumri Ni mdogo , ila KIUCHUMI katupiga gepu kubwa wote.

Huo ndo uhalisia mkuu
 
Pole yake. Speaking from experience; kijana anapitia kipindi kigumu sana! Ninalitambua hilo kwa kuwa nimewahi kupitia Scenerio kama hiyo miezi kadhaa iliyopita.
Kitu pekee ambacho mhanga anatakiwa kufahamu ni kuwa, yeye hajafeli! Bali mahusiano yao ndio yaliyofeli na kutokufikia malengo.
Hata hivyo, anatakiwa ajichanganye sana, asikae mwenyewe muda mrefu.
Pia, utetezi unaotolewa na huyo Bibie ni wa uongo tu! Speaking from experience.
Kwa sasa hakuna kitakachomponya zaidi ya muda. Akubali kuumia na apumzike kwanza.
I know ni vigumu sana but kama alizaliwa mwanaume aelewe kuwa, hayo maumivu yanamhusu mwenyewe na kwa mara ya kwanza atagundua kuwa, hakuna mtu wa kumsaidia maumivu hayo.
Akishapita hiki kipindi, anitafute nimpe mbinu mpya za kijasusi za kudeal na hawa viumbe waliojawa na ubinafsi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke kafanya uamuzi sahihi 100% Hakuna uchumba wa miaka 4 ni ubabaishaji. Halafu kama yeye amepanga alishindwa nini kuoa wakaendelea kuishi hapo wakimalizia nyumba? Haimaanishi huyo dada kapata mume Bora anaweza achwa baadae ila sio issue angalau alichagua mtu anayetaka kumuoa.
Ubabaishaji kivipi wkt mwakani ndo jamaa alikua kapanga kuvuta jiko.

Mwanamke hakua TU mvumilivu
 
Back
Top Bottom