Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Tafuteni wazazi waa huyo mwanamke mjue ukweli na uhalisia.
 
Ndoa tamu bhana cc [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We muongo aiseee, gari gani ya kutembelea ina uwezo wa kuwa na tenki la mafuta ya kiasi cha 350k? Sawa na Lita 135? Muongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwambie asijiue aje nimpe raha za dunia hadi asahau kama aliwah kukutana na mwanamke mwingine. Ila atanilipa kwa kazi ya kumfanya amsahau huyu manzi wa awali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndiyo mkuu haya mambo watu wanayaongelea kijuujuu kwa sababu hawajayapitia. Huyo jama aliyeshauri hivyo unaweza kukuta hajawahi kuwa na mwanamke, ama ni muumini wa nyeto. Kwa hiyo vitu kama hivi kwake anaona kama tamthilia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ya jua kali au huba?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maneno makali haya jaman, ila ndo ukweli.

Mtanisamehe ila nawafundisha vijana maisha halisi
Na uzee huu maneno kuntu ni kawaida yanakuja automatic [emoji23][emoji23]
 
Miaka 4 unakaa na mwanamke ambae anataka kuolewa wewe huendi kumuoa unategemea nini? Msela katokea mda mfupi kamuahidi ndoa na akafanya kweli.

Mwambie apige moyo konde mshkaji wako, next time akitaka mwanamke wa kumuoa asicheleweshe.
Kabisaaa yaan.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlongo ujanja wote huu unateswa na mapenzi?
 
Kujifanyaga marafiki mpaka mnaunganisha family affairs zenu na wake/waume zenu matokeo yake huwa ndio kama haya...Jifanyen wazungu tu..HAPA STORI TU, KULA KILA MTU KWAKE.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu huyo jamaa yako ni Boya
 
Unaweza kukuta anaridhishwa kwenye ile sekta nyeti Mana kuna watu wazima sio haba wanajua anatakiwa afanye nini plus maexperience kibao kampagawisha bidada.
Labda dogo alikuwa anagusa gusa tu akaona anazingua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…