Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Mtihani mzito sana. Apige moyo konde na azingatie biashara zake asiyumbe
Inaumiza Sana,
Dogo mwenyewe nikitembelea saiti kwake ananambia .

"Hili Ni bafu kubwa kabisa kwa ajili ya shemeji yako, si unajua mi nnavoogaga Kama kunguru.[emoji2]"

"Hapa vitawekwa vipodoz vya kila Aina shemej ako asiangaike uko masaluni"

Basi tunacheeeka mpaka basi[emoji4]

Sahivi jamaa amekua kamakapata msiba mzito, yaan Akili yake Naona haiko sawa kabisa.
 
Bora hata sie wengine kdg tuna asili ya ukibaka kwa Aina flani kwenye mambo Aya mahusiano[emoji2]

Dogo mwenyewe uyu hakua na mambo hizo za wanawake sana,
Yeye alkua Ni mwanmke wake uyo TU. Sijawahi kuskia ata ana Dem wa kusingiziwa.

Yeye Akili,moyo wake, na mawazo yake yalkua kwa mwanamke Yule TU.
 
Inaonesha jamaa alkua anakula shemeji yake ktambo sanaa
 
Skhz kuna kulazmshana ndoa duuh mbn utoto huu
 
Ushauri wangu:
1
)Kuwa makini na mkeo na huyo B inawezekana kaishamtafuna
2)Mnunulie mkeo na huyo shemeji yako zile dildo ulizoziona Kariakoo
3)Mnunulie dogo zile chupi zenye uchi kwa wachina
4)Fanya Biashara,pata faida,nenda kwa mkeo na umpende sana la sivyo atat[]mbwa na B

Nakutakia biashara njema !
 
Hawa Vijana Nice guys ,huwa wanaumizwa sanaaa ,mapenzi sio yao kabisaaa .


Wao wanatakiwa wapate wanawake walikua kiumri na kiakili.


Ila hizi pisi kali , haziwafai.
 
Skhz kuna kulazmshana ndoa duuh mbn utoto huu
Akili yangu inakataa kua uyu mwanamke kweli kalazimishwa Ndoa,

Ndo maana najaribu akija nimpe Ito idea ya kutoroshwa kufichwa kisha nione kama kweli atakubali.

Akigoma ntajua anatufanyia maigizo kwa hizo sentence za kalazimishwa
 
[emoji3516]
ADUI WA MAENDELEO YA MWALIMU NI MWALIMU.

OGOPA SANA KUNDI LA WATU WANAOKWAMBIA "Tuko Pamoja".
[emoji41][emoji41][emoji41]

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Aisee Uyu jamaa ile trust nae imepotea kabisa.

Sio kwa hizi tamaa za fisi.

na huenda amekua akimtamani shemej yake tangu zamani.
 
Hawa Vijana Nice guys ,huwa wanaumizwa sanaaa ,mapenzi sio yao kabisaaa .


Wao wanatakiwa wapate wanawake walikua kiumri na kiakili.


Ila hizi pisi kali , haziwafai.
Jamaa Ni mtu mmoja mkimya Sana,
Sisi wengine ndo tulkua tunaonekana tuna makando kando ya kufa mtu.

Sahivi,
Anaugulia ndani kwa ndani
 
Afu wanawake Sijui huwa mnawaza Nini,

Najaribu kuwaza huyu binti kafata nini kwa jamaa maana hata kiuchumi dogo alimpita mbali brother.

Afu ukizingatia jamaa tayar alkua na MKE wake na watoto watano wakubwa kabisa.

Afu anamuacha jamaa Alie single, anaenda kuingilia Ndoa ya Watu na kwenda kuolewa kama MKE wa pili kwa jamaa mwenye MKE na watoto watano.

Natafakari sana Sipati majibu.[emoji848]
 
Sidhani Kwa familia za bongo et walazimishe binti yao aolewe tena na dini tofauti ,!!??Hapana ,wangekuwa dini Moja sawa ila hadi kufikia kusilimu amini huyo B yuko sahihi huyo demu ndio ametaka kuolewa nae TU. Kama binti anajitegemea hadi na gari ya kutembelea kama hivyo ache uongo wake
 
Kidonge hicho
 

Tatizo wanatanguliza hisia mzee, hapo jamaa atakuwa kamuimbisha Kwa maeneno matamu , kama kawaida ya michepuko mwishowe kabeba mazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…