Akili yangu inanambia anajiliza uwongo kua kalazimishwa.Sidhani Kwa familia za bongo et walazimishe binti yao aolewe tena na dini tofauti ,!!??Hapana ,wangekuwa dini Moja sawa ila hadi kufikia kusilimu amini huyo B yuko sahihi huyo demu ndio ametaka kuolewa nae TU. Kama binti anajitegemea hadi na gari ya kutembelea kama hivyo ache uongo wake
Aisee Kuna Watu wana ujasili Sana.Tatizo wanatanguliza hisia mzee, hapo jamaa atakuwa kamuimbisha Kwa maeneno matamu , kama kawaida ya michepuko mwishowe kabeba mazima
Akili yangu inanambia anajiliza uwongo kua kalazimishwa.
Afu kingine nnavojua,
Mpaka aolewe na jamaa sio kwei kwamba jamaa hajawai hata kumuonja.
Uyu brother Hana roho iyo eti akaoe mwanamke hajamuonja.
Na Kama kamuonja hatuwezi kusema eti na Hilo nalo kamlazimisha au alimbaka
unafikiri nakupinga?1. Tunakwenda mbinguni, Makao ya milele
Hapa si nyumbani, kwa kweli tunapita.
Tukaonane mbinguni.🎶🎼🎻
Ni nchi takatifu,
Ni nchi ya Amani,
Mji wenye furaha, wateka wenye nguvu.
2. Kuvikwa miili miili mipya
Isiyoharibika
Usiku na mchana wanasifu..
"WASTAHILI MUNGU"
Tukaonane mbinguni.🎶🎼🎻
[emoji3516]Dah! Jamaa huwez Amin alkua anamgharamia Yule mwanamke utadhan mke wake wa Ndoa.
Jamaa yangu Ni form four, ila alipambana kumlipia Ada mpaka binti uyu kamaliza chuo kikuu.
Kibaya Zaid ata hapo sheli anakofanya kazi uyu binti, jamaa ndo kamuunganisha na ndo mdhamini wake.
Binti kapangiwa nyumba nzima, anaishi kwa Raha Sana.
Jamaa alkua analipa kila kitu khs mahitaj yake yote ya nyumbani mpaka dharula za familia yake.
Gari anayotembelea kamnunulia uyu jamaa,
(Tena nilishiriki ipasavyo kwenye mchakato mzima wa kuiagiza mpak kuitia mkononi)
mafuta juzi juzi TU tunatoka gym alipitia she'll kumuwekea ya 350,000 kwa ajili ya mizunguko yake.nikishuhudia mwenyewe.
Mshahara anaolipwa sidhan hata Kama uwa anaugusa kabisa.
Kwakweli,
alichomfanyia jamaa Ni zaidi ya unyama[emoji26]
Usimletee mwenzako balaa zaidi wakati Mungu kasha fanya yake.... Aache umayai... awe na moyo mgumu akubali hali halisi...Angekufa je? Sembuse mtu anatoka na rafiki yako kabisa na mshajua kummiliki ina raha gani tena!!!?Akili yangu inakataa kua uyu mwanamke kweli kalazimishwa Ndoa,
Ndo maana najaribu akija nimpe Ito idea ya kutoroshwa kufichwa kisha nione kama kweli atakubali.
Akigoma ntajua anatufanyia maigizo kwa hizo sentence za kalazimishwa
Shemeji mwenyewe kiraru tu...sukuma twende. Bora kaonyesha rangi halisi mapemaAisee Uyu jamaa ile trust nae imepotea kabisa.
Sio kwa hizi tamaa za fisi.
na huenda amekua akimtamani shemej yake tangu zamani.
Kwa mujibu wake wazazi wanamuelewa huyo mume wa mtu. Ila kama ni wazazi njaa njaa wakitupiwa tu vi senti kidogo hata bila mahari wapo tayari.Afu wanawake Sijui huwa mnawaza Nini,
Najaribu kuwaza huyu binti kafata nini kwa jamaa maana hata kiuchumi dogo alimpita mbali brother.
Afu ukizingatia jamaa tayar alkua na MKE wake na watoto watano wakubwa kabisa.
Afu anamuacha jamaa Alie single, anaenda kuingilia Ndoa ya Watu na kwenda kuolewa kama MKE wa pili kwa jamaa mwenye MKE na watoto watano.
Natafakari sana Sipati majibu.[emoji848]
Update....
Ni kwamba mwanamke alinyang'anywa simu ya awali alokua anatumia na kapewa simu mpya yenye line mpya ya Airtel.
Nmefanikiwa kuipata hio namba na nmempigia na kuongea mwanamke mwenyewe.
Anasema,
"Shem mi sio kwamba simpendi rafiki ako, nampenda sana na nilitamani awe mme wangu. Sema rafiki ako hakua serious na Mimi. Miaka 4 yote tangu ameleta barua hamna kinachoendelea. Familia inanisumbua Sana afu nikimwambia hataki kunielewa anadai mpaka amalizie nyumba yake. Nyumba imeisha anadai finishing bado. Hivi kweli shemej nyumbA inaweza mzuia mtu wasifunge Ndoa? Hivi kweli anachonifanyia mwenzako unaona Ni sahii."
Nikamjibu,
"Kwaiyo meji ukaona Njia rahisi Ni kuolewa TU na rafki yake, hujui itamuumiza Kias gani?"
Akasema,
"Shemej nikwambie TU ukweli, uyu B tangu mwanzoni ashaonesha ananipenda Sana. Afu tangu zaman keshaonesha Nia ya kunioa MDA mrefu. Sema Mimi TU ndo nilikua kikwazo, afu kingine uyu B anakubalika Sana uku nyumban.
Shemej presha kwa familia yangu kuhusu B Ni kubwa Sana, Baba na mama na dada zangu wote wanataka niolewe na B. Imefkia mpaka mama ananambia uyu alonichumbia Ni mhuni TU miaka 4 Ni uchumba sugu huo. Imefkia mpaka baba haniongeleshi kisa sitak kuolewa na B. Na wote washanambia nisipoolewa B Mimi sitokua mwanao Tena na watanifuta kwenye ukoo.
Shemej yang mi mwenywe Niko Njia panda apa, moyoni mwangu B hayupo kabisa ila nalazimishwa TU na familia yangu. Uto rafiki yako hawamtaki kabisa ata kumskia uku nyumbani."
Nikamwambia,
"Kwaiyo shemej uko serious kabisa umelazimishwa Hii ndoa?"
Akasema
"Ndio Shem, yaan naomba TU uniombee msamaha TU kwa rafk yako. Mi bado nampenda Sana."
Nikamwambia,
"Bas Shem naomba ufanye jion tuonane ata kwa jamaa tujue tunaliwekaje hili"
Akasema,
"Sawa, ila Mimi kwa jamaa siwez kuja tena.italeta balaa. Labda yeye ata aje kwako niwakute apo kwako"
Nikasema,
"Sawa"
Ninachowaza Sasa,
Kama ni kweli uyu mwanamke kalazimishwa. Na kweli ANAMPENDA jamaa.
Nawaza kumshauri rafiki yangu, ashirikiane na uyu mwanamke.
Kisha binti atoroshwe akawekwe mafichoni kwa sikU kadhaa Hadi ile harusi ilopangwa itakapopita.
Uyu B atakapomtafuta akakosa Basi Iyo Ndoa ya kulazimisha itakua imeota manyoya.
SIJUI KAMA NIKO SAHII AU LAH
ushauri wenu tafadhali
Kuoa mwanamke asokuwa na msimamo ni bonge la hasara.Huwa naamini kwamba kila jambo linapotokea lina sababu na huyo bwana mdogo kuna jambo kubwa sana anaepushwa nalo.Ila si mbaya akivunja hio ndoa kisha na yeye akaenda kwao kwa lengo la kufunga ndoa na demu kisha ikikaribia tena anasepa halafu abaki katikati ya niia.Maana sio kwa dharau hioKIVIPI mkuu[emoji848]
Siwez kuleta masihara kwenye vitu serious Kama hivi.[emoji3516]
THIS PRIVILEGE GIVEN THAT YOU HAVE EXPRESSED HERE SEEMS LIKE "TATEPA".
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Afanyeje Sasa mkuu[emoji848]Haupo Sahihi
Kuoa mwanamke asokuwa na msimamo ni bonge la hasara.Huwa naamini kwamba kila jambo linapotokea lina sababu na huyo bwana mdogo kuna jambo kubwa sana anaepushwa nalo.Ila si mbaya akivunja hio ndoa kisha na yeye akaenda kwao kwa lengo la kufunga ndoa na demu kisha ikikaribia tena anasepa halafu abaki katikati ya niia.Maana sio kwa dharau hio
Sawa[emoji3516]
THIS PRIVILEGE GIVEN THAT YOU HAVE EXPRESSED HERE SEEMS LIKE "TATEPA".
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Jamaa anachojua tangu awali ni kwamba yeye Ndo anatambulika atakuja kumuoa binti yao.Kwa mujibu wake wazazi wanamuelewa huyo mume wa mtu. Ila kama ni wazazi njaa njaa wakitupiwa tu vi senti kidogo hata bila mahari wapo tayari.
Kabisa,Shemeji mwenyewe kiraru tu...sukuma twende. Bora kaonyesha rangi halisi mapema
WAHENGA WALIONA HILI MAPEMA [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Siwez kuleta masihara kwenye vitu serious Kama hivi.
Nina limits zangu, sio kila MDA ni wa masihara mkuu