Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Update.....

Tulipanga leo saa Moja kamili tukutane nyumban kwangu na uyo binti pamoja na dogo. Tukampigia Ila akawa hapatikani.

Baadae Kwenye saa 1 na nusu,
Kaja kupatikana akasema anakuja sawa tumsubiri anakuja.

Sahivi tunampigia simu haipatikani.

Tumebadili mpaka namba, tunapiga ila bado hapatikani.

Tumejaribu kupigia shoga Ake wa karibu, mama P akamcheki kwake.

MDA si mrefu kasema kafika kwake hayupo,

Kasema anaelekea kwao kuona Kama atampata.

BADO TUNAMSUBIRI[emoji17]
 
Am cool now, najaribu kucope na Hali halisi mkuu[emoji17]
 
Usifanye hicho kitu unachotaka kukifanya,kama angekuwa anampenda asingefikia kote huko au we ulitaka ajiteteeje emu kuwa serious acheni mawazo ya kutorosha mtu mzima na akili zako,hivi umeanza kuyumba mapema hivi na huyo mdogo wako utamsaidiaje?
Nawaza TU mkuu, ukinipa USHAUR Bora zaidi ntashkuru Sana[emoji17]
 
Maneno makali sana Ayo mkuu[emoji17]
 
Muongo kakubali kuolewa huyo anawachosha tuuu!!karne hii hamna hizooo!tena mkristo mwenziwe kabisaa!mzazi gani atakubali mwanawe abadili dini kirahisi hvyooo!!!wakati ana mchumba tayari na anataraji kumuoa ila huyo nae mpk ajenge ndo aoe!
Nmetafakari sana naona kama uko sahii kabisa mkuu[emoji848]
 
Huyo mwanamke hana lolote,waacheni wafunge hiyo ndoa

Huyo dogo kaepushwa na balaa hilo,mwanamke hafai ni muongo.
 
Kabisa mkuu[emoji848]
Jamaa alimtunza binti utadhani malkia.

Kuna MDA tulkua mpk tunamlaumu kwa matumizi ya ovyo ya pesa na kumdekeza.

Maana nyumba alompangia alimuwekea housegal wakati hata kazi za maana pale hamna na nyumba nzima anakaa yeye na mdogo wake anaerisiti form six
 
Huyo mwanamke ni mbung'o
 
Kingine Cha kujiuliza,...
Mama Ake binti mwaka huu kalazwa pale Ocean road mwezi na nusu-jamaa kagharamia

Katolewa pale,
Kahamishiwa Agha khani, wiki 3 jamaaa katoboka bill zote.

Ila bado mama uyu baada ya kupona kabisa kashindwa kuthamini mchango wa dogo hata mwaka haujaisha anafanyia hivi[emoji26]

Duniani watu wema hulipwa vibaya, uyu dogo kalipwa vibaya Sana.[emoji26]

Naandika hivi Hadi machozi yananilenga.
 
Hao wazazi wake wanakauwezo?
 
Na je hao wazazi walikua wanajua dogo ndo analipa hizo bills?

Waliosemaga tenda wema nenda zako si wapumbavu aisee
 

kama ni kweli basi huyo mwanamke ni mpumbavu.
 
Huku mbele sasa nahisi kuna chai.

Mafuta ya 350,000 kwa gari gani?

Semi tella?

Na kama ana gharamia hivyo, kwanini familia ya binti haimtaki na inamtaka huyo mwingine? Tena si wa dini yao? Na walianzaje kumtaka? Aliwatambulisha?
Mafuta ya 350k kwa SUV mbili mbona Ni ya kawaida Sana mkuu.
Hazifiki hata Lita 150
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…