Jamaa anasema Zanzibar ilikuwa inamiliki ukanda wa Pwani

Jamaa anasema Zanzibar ilikuwa inamiliki ukanda wa Pwani

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Kuna mbuzi moja inaongea ITV sasa hivi anasema ukanda wa Pwani ilikuwa mali ya Zanzibar, bila kujua kuwa Sulatan aliuza kwa wajerumani, hadi visiwa vya Mafia vikauzwa kwa mjerumani yeye akabaki na visiwa vile wanavyomiliki sasa hivi wazenji tu.

Jamaa ana sura ya kiarabu fulani hivi, kama kuongea muungano waongee tu ila waache kuleta sera za uongo kwamba kuna maeneo bara ni ya kizazibar.
 
In 1890 Germany took control of Mafia as a result of a purchase agreement with the Sultan of Oman and established the main house on the island called the German Boma. The ruins are prominent on the foreshore of the island. The German colonial government created Kilindoni in 1910-13 and Chole gradually withered as an economic centre, so many buildings have fallen into ruin.
 
sasa waliuziwa wajerumani na sio nyinyi watanganyika.
hata ninyi hapo mnaishi sio penu basi ni pa sultan. waingereza walichukua hii nchi toka kwa wajerumani baada ya kushindwa vita ya pili ya dunia, na sisi tukaipokea toka kwa waingereza kwa kupata uhuru. wakati huo ninyi bado mlikuwa watumwa wa sultan hadi miaka 2 baadaye.
 
hata ninyi hapo mnaishi sio penu basi ni pa sultan. waingereza walichukua hii nchi toka kwa wajerumani baada ya kushindwa vita ya pili ya dunia, na sisi tukaipokea toka kwa waingereza kwa kupata uhuru. wakati huo ninyi bado mlikuwa watumwa wa sultan hadi miaka 2 baadaye.

Sultan ni mzanzibari kama wazanzibari wa sasa. Kwahiyo cha Sultan ndicho cha wazanzibari.
 
kuna mbuzi moja inaongea itv sasaivi anasema ukanda wa pwani ilikuwa mali ya zanzibar, bila kujua kuwa sulatan aliuza kwa wajerumani, hadi visiwa vya Mafia vikauzwa kwa mjerumani yeye akabaki na visiwa vile wanavyomiliki sasaivi wazenji tu. jamaa ana sura ya kiarabu fulani hivi. kama kuongea muungano waongee tu ila waache kuleta sera za uongo kwamba kuna maeneo bara ni ya kizazibar.
Katumwa huyo,aje atingishe kiberiti!
Hivi ile mikoa yenye Islam wengi,ikitakiwa iwe sehemu ya Saudis Kuna Islam atakataa.
 
The Heligoland–Zanzibar Treaty (German: Helgoland-Sansibar-Vertrag; also known as the Anglo-German Agreement of 1890) was an agreement signed on 1 July 1890 between the German Empire and the United Kingdom.

The accord gave Germany control of the Caprivi Strip (a ribbon of land that gave German South-West Africa access to the Zambezi River), the strategically located island of Heligoland in the North Sea, and the heartland of German East Africa. In return, Germany recognized British authority in Zanzibar. Heligoland was needed to control the new Kiel Canal and the approaches to Germany's North Sea ports. Britain used Zanzibar as a key link in the British control of East Africa.[1]
 
siyo muarabu aliyemuuzia mjerumani bali mjerumani walibadilishana na muingereza kwa kisiwa kimoja (heligoland treaty kama sikosei)
Yaani ukitaka kuangalia yaliyomo kwenye Heligoland Treaty ya 1890 inahusisha Malawi, Zanzibar kisiwa cha Heligoland kilichopo karibu na Germany ambacho kilikuwa mali ya Denmark kabla Uingereza haijakimiliki. Haya mambo yabaki kama yalivyo. You can't UNDO them
 
Back
Top Bottom