Jamaa "aokota" mwanamke ombaomba mtaani, amuogesha, atangaza ndoa

Jamaa "aokota" mwanamke ombaomba mtaani, amuogesha, atangaza ndoa

Ndio ujue hizi pisi hazinaga shukurani, Utasikia baada ya Mwaka tu MKE kacheat na Jirani au House boy
 
Hata humu JF kuna jamaa aliokota mwanamke ombaomba akiwa anaomba kwenye mataa akaenda nae kwake, sijui iliendelea vipi ile stori [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Jambo la kushangaza kuhusu human behaviour, huyu mwanamke baadae anaweza saliti ndoa au hata kuomba talaka. Ni jambo la kiubinadamu mtu kukubali jambo fulani kwa shinikizo la pesa au njaa. Akishatimiza haja zaka. Fikra zinakua huru na nafsi kuanza kuyatamani machaguo yake. Mungu awabariki ndoa njema!
 
Watu na story zao za ajabu sema alikutana nae akiwa mtoto akamlea, coz picha ya kwanza huyo ni mtoto hata nyonyo hana. Sasa mnaleta story as if alikutaba nae wiki iliyopita.
 
Jamaa mmoja huko SA amebadilisha kabisa maisha ya mwanamke mmoja kijana---yaani kile ambacho wazungu wanaita u-turn. Alikutana na mwanamke huyo mtaani akiwa mchafumchafu akamuomba rand 50 kwani alikuwa na njaa sana.

Badala ya kumpa hela akale akambeba na kwenda naye nyumbani akamuogesha, akamlisha akamnunulia nguo nzurii!

Jitihada zake zikatokeza mwanamke mrembo sana. Jamaa akatangaza ndoa. Ndoa yao ni mwaka huu mwezi Mei.

======
The story was shared by a Facebook user who narrated how the couple met and added some pictures as well.

“He met her homeless and hungry in the streets. She asked him for R50 to buy food. He took her, cleaned and bought her new clothes. He searched for her relatives and ask them for a hand in marriage because she already said yes but he needed permission from her elders. 29 May 2021 they will be getting married. Their wedding is going to be very big.” He wrote.

Alaf baadae unasikia mwamba amesalitiwa na demu,
Kesi za mauaji ziwe na exception kwakwel [emoji3][emoji3]
 
Jamaa mmoja huko SA amebadilisha kabisa maisha ya mwanamke mmoja kijana---yaani kile ambacho wazungu wanaita u-turn. Alikutana na mwanamke huyo mtaani akiwa mchafumchafu akamuomba rand 50 kwani alikuwa na njaa sana.

Badala ya kumpa hela akale akambeba na kwenda naye nyumbani akamuogesha, akamlisha akamnunulia nguo nzurii!

Jitihada zake zikatokeza mwanamke mrembo sana. Jamaa akatangaza ndoa. Ndoa yao ni mwaka huu mwezi Mei.

======
The story was shared by a Facebook user who narrated how the couple met and added some pictures as well.

“He met her homeless and hungry in the streets. She asked him for R50 to buy food. He took her, cleaned and bought her new clothes. He searched for her relatives and ask them for a hand in marriage because she already said yes but he needed permission from her elders. 29 May 2021 they will be getting married. Their wedding is going to be very big.” He wrote.

Rekebisha hilo bandiko lako. AMEOKOTA! Amemsaidia asie jiweza kujikim kimaisha.
 
Back
Top Bottom