Jamaa kamtengeneza mke wake popote atakapotongozwa usiku akipandisha maruhani anasimulia yote

Jamaa kamtengeneza mke wake popote atakapotongozwa usiku akipandisha maruhani anasimulia yote

Dunia simama, nina jama yangu mtu wa mtwara ila amekulia morogoro, basi katika stori mbili tatu akanisimulia jinsi alivyomtengeneza mke wake hata atongozwe na nani usiku wakati akiwa amelala atasema yote.

Sasa nikamuuliza anaseaje? Akaniambia wakati akiwa amelaa ndipo maruhani umpanda kisha kuanza kusimulia mkanda mzima ulivyokuwa siku hiyo.

Yaani atasema kila kitu jamaa alivyokuwa anatupa ndoano, maneno yote alyosema jamaaa atasema, na jinsi yeye alivyokuwa akimjibu atasema, kama alimkubalia atasema.

Kuna clip alimrekodi wakati akiwa amelala kidume kinatupa voko mke wa jamaa anamkatalia katu katu, niache bwana mimi nimeolewa mume wangu mkali 🤣🤣🤣

Yaani huyu mke anatoa sauti mbili ya kwake na yule mtongozaji wanakuwa wanabishana.

Nyie hii dunia ina mambo.
Kwenye haya maisha, kila mtu na formula zake. Kama jamaa yako kaona hiyo ndio inafaa, akazie hapo hapo 😅😅😅😅
 
Ulimbukeni wa mbususu ni hatari kwa afya ya akili.
 
Kuna anachokitafuta huyo.

Kwani ipo siku atasikia habari zaidi ya hizo za kutong*zwa ambazo zitamfanya ajutie hicho alichokifanya na si ajabu akachukua maamuzi yatakayo mgharimu na asiamini.
Mbona kama imekuuma 😂😂😂
 
Sasa nikamuuliza anaseaje? Akaniambia wakati akiwa amelaa ndipo maruhani umpanda kisha kuanza kusimulia mkanda mzima ulivyokuwa siku hiyo.
Kwahiyo ameoa mke na maruhani anayatunza ...why keep a cow if you can buy a cup of milk?
 
Dunia simama, nina jama yangu mtu wa mtwara ila amekulia morogoro, basi katika stori mbili tatu akanisimulia jinsi alivyomtengeneza mke wake hata atongozwe na nani usiku wakati akiwa amelala atasema yote.

Sasa nikamuuliza anaseaje? Akaniambia wakati akiwa amelaa ndipo maruhani umpanda kisha kuanza kusimulia mkanda mzima ulivyokuwa siku hiyo.

Yaani atasema kila kitu jamaa alivyokuwa anatupa ndoano, maneno yote alyosema jamaaa atasema, na jinsi yeye alivyokuwa akimjibu atasema, kama alimkubalia atasema.

Kuna clip alimrekodi wakati akiwa amelala kidume kinatupa voko mke wa jamaa anamkatalia katu katu, niache bwana mimi nimeolewa mume wangu mkali [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaani huyu mke anatoa sauti mbili ya kwake na yule mtongozaji wanakuwa wanabishana.

Nyie hii dunia ina mambo.
Kunajamaa alitaka kunipa hii dawa jikaikataa, nlikuwa nataka ile ya kunasiana akasema hana
 
Back
Top Bottom