Jamaa kamtengeneza mke wake popote atakapotongozwa usiku akipandisha maruhani anasimulia yote

Jamaa kamtengeneza mke wake popote atakapotongozwa usiku akipandisha maruhani anasimulia yote

Dunia simama, nina jama yangu mtu wa mtwara ila amekulia morogoro, basi katika stori mbili tatu akanisimulia jinsi alivyomtengeneza mke wake hata atongozwe na nani usiku wakati akiwa amelala atasema yote.

Sasa nikamuuliza anaseaje? Akaniambia wakati akiwa amelaa ndipo maruhani umpanda kisha kuanza kusimulia mkanda mzima ulivyokuwa siku hiyo.

Yaani atasema kila kitu jamaa alivyokuwa anatupa ndoano, maneno yote alyosema jamaaa atasema, na jinsi yeye alivyokuwa akimjibu atasema, kama alimkubalia atasema.

Kuna clip alimrekodi wakati akiwa amelala kidume kinatupa voko mke wa jamaa anamkatalia katu katu, niache bwana mimi nimeolewa mume wangu mkali [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaani huyu mke anatoa sauti mbili ya kwake na yule mtongozaji wanakuwa wanabishana.

Nyie hii dunia ina mambo.
Huyo Ke alishaliwa, atakuwa analiwa na ataliwa sana tu na huyo aliyemshauri huo ujinga.

Shuhudia mwenyewe wanavyoliwaga kimasihara hao viumbe wakifika huko kwa mawakala wa shetani [emoji116][emoji116][emoji116]
JamiiForums-1844625321.jpg
JamiiForums233507543.jpg
 
Watoto wa mjini wanadukua simu.
Wasambaa na wazigua wanatega usinga. Hii tego haikopeshi na hufi kesho, Ni Leo Leo.
Wahuni wanakutega huku wanamafuta ya mgando. The choice is yours, mke wa MTU Ni sumu.
 
Kunajamaa alitaka kunipa hii dawa jikaikataa, nlikuwa nataka ile ya kunasiana akasema hana
Wakinasiana si watoto wako watamuona mama Yao akiwa wamenasana na MTU. Hiyo sio nzuri watoto wakiona au kusikia.
 
Haya ndo maisha? Nafikiri hawa jamaa wa kataa ndoa mnawapa uhalali sasa wa agenda yao...

Kuliko kumuingilia mtu uhuru kwa kiwango hichi ni bora kukaa bila kuoa
Kataa ndoa,
Ndoa ni utumwa,
Ndoa ni dhulma,
Ndoa ni maigizo,
Ndoa ni ukatili,
Ndoa ni wizi,
Ndoa ni utapeli,
Ndoa ni ubabaishaji,
Ndoa ni Uonevu,


Huyo Stori inaingia hapo kwenye ndoa ni ukatili, na ndoa ni uonevu
 
Huo uchawi aisee hauna tofauti na mobile tracker😂
 
Back
Top Bottom