Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Wapo wanaopenda; mpaka mwili wote ukaoza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wanaopenda; mpaka mwili wote ukaoza
Hujawahi kukutana na wa namna hiyo?
Nishakutana nae mmoja ila sio kama huyo jamaa ni fwala kazidi kipimo.Hujawahi kukutana na wa namna hiyo?
Utakuwa unasumbua watu mjiniNishakutana nae mmoja ila sio kama huyo jamaa ni fwala kazidi kipimo.
Huyo Ke alishaliwa, atakuwa analiwa na ataliwa sana tu na huyo aliyemshauri huo ujinga.Dunia simama, nina jama yangu mtu wa mtwara ila amekulia morogoro, basi katika stori mbili tatu akanisimulia jinsi alivyomtengeneza mke wake hata atongozwe na nani usiku wakati akiwa amelala atasema yote.
Sasa nikamuuliza anaseaje? Akaniambia wakati akiwa amelaa ndipo maruhani umpanda kisha kuanza kusimulia mkanda mzima ulivyokuwa siku hiyo.
Yaani atasema kila kitu jamaa alivyokuwa anatupa ndoano, maneno yote alyosema jamaaa atasema, na jinsi yeye alivyokuwa akimjibu atasema, kama alimkubalia atasema.
Kuna clip alimrekodi wakati akiwa amelala kidume kinatupa voko mke wa jamaa anamkatalia katu katu, niache bwana mimi nimeolewa mume wangu mkali [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani huyu mke anatoa sauti mbili ya kwake na yule mtongozaji wanakuwa wanabishana.
Nyie hii dunia ina mambo.
Gusa unateHuyo Ke alishaliwa, atakuwa analiwa na ataliwa sana tu na huyo aliyemshauri huo ujinga.
Shuhudia mwenyewe wanavyoliwaga kimasihara hao viumbe wakifika huko kwa mawakala wa shetani [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2539630View attachment 2539632
Wakinasiana si watoto wako watamuona mama Yao akiwa wamenasana na MTU. Hiyo sio nzuri watoto wakiona au kusikia.Kunajamaa alitaka kunipa hii dawa jikaikataa, nlikuwa nataka ile ya kunasiana akasema hana
Wala hata, mawenge yake tu.Utakuwa unasumbua watu mjini
Ni vigumu kujijuaWala hata, mawenge yake tu.
Kataa ndoa,Haya ndo maisha? Nafikiri hawa jamaa wa kataa ndoa mnawapa uhalali sasa wa agenda yao...
Kuliko kumuingilia mtu uhuru kwa kiwango hichi ni bora kukaa bila kuoa