Jamaa kauliza swali la kufikirisha kuhusu Safina ya Nuhu.

Jamaa kauliza swali la kufikirisha kuhusu Safina ya Nuhu.

Story ya Safina inasema Nuhu aliwaweka Wanyama wote duniani ndani ya Safina.

Swali?

Simba Na suala wanaweza kukaa sehemu moja hata kwa lsaa moja Tu achilia Mbali mwezi mzima?

Binadamu Na Simba? Binadamu Na nyoka? Kukaa sehemu moja ya wazi inawezekanaje jamani?

Vipi kuhusu Wanyama wadogo ambao life span yao ni wiki Moja au mwezi mmoja?

Vipi kuhusu Wanyama wa baharini kama nyangumi na papa?
Ambacho mnashindwa kuelewa,ni kuwa hiyo project ilisimamiwa na Mungu mwenyewe,Nuhu alipewa maagizo tu,
Plan nzima,master plan,ilipangwa na Muumba,Kings of kings.
Kwani hamkumbuki Izaack,abernego walipotupwa kwenye shimo la Simba wenye njaa,na Wala hawakupata madhara yoyote
 
Leave Pi as Pi....,

Issue nyingine havitakiwi viendane na logic..., wewe ukiamua kumeza meza mazima mazima...., if you put logic au ask questions utajikuta unaombewa au kuondolewa mapepo...

Sad Indeed.....
 
Inaposemwa kwamba Mungu AKASEMA usifikiri alikuwa anatamka halafu vitu vinatokea kama mazingaombwe.

Alikuwa anatoa amri kitu Fulani kitengenezwe Na kinatengenezwa.

So tunaposema Kwa mfano Mungu alimuumba mtu hatumaanishi kwamba Mungu mwenyewe alichukua udongo aka mfinyanga MTU isipokuwa tunaamanisha kwamba Mungu alitoa amri au maelekezo atengenezwe kiumbe binadamu and then Malaika wake special ambao aliwapa maarifa ya kutengeneza viumbe kupitia elimu ya genetical engineering wakafanya Kazi ya kumtengeneza binadamu Kwa amri Na maelekezo ya Mungu.

Yani ni Sawa tunavyo SEMA uwanja umetengenezwa Na Mkapa au Stendi ya Magufuli, Mkapa & Magufuli hawakusogeza hata tofali Moja isipokuwa walitoa fund Na amri.

Point yangu Ni kwamba Mungu alitoa amri lakini utekelezaji wa amri lazima uendane Na kanuni ZA asili ambazo Mungu mwenyewe ndio kaziweka. Ndio maana hata hiyo Safina yenyewe Nuhu alielekezwa mpaka vipimo ili kusurvive Kwa Safina hiyo kuendane Na kanuni ZA asili ZA Mungu mwenyewe.

Kwa hiyo swali bado linabaki pale pale.
Ni kweli kabisa.
Kuna watu wanataka kukacha imani zao kwa sababu ya fikra zao za kibinadamu.
Kila jambo linawezekana.
Mungu yupo na uwezo wake wa uumbaji pia upo na hatuutilii shaka hata kidogo.
Amri zake ziko na nyingi na wala tusizitilie shaka
 
Leave Pi as Pi. Out context up...,

Issue nyingine havitakiwi viendane na logic..., wewe ukiamua kumeza meza mazima mazima...., if you put logic au ask questions utajikuta unaombewa au kuondolewa mapepo...

Sad Indeed.....
Ohooo mmeanza vitisho
 
Je nuhu alitumia usafiri gani kuzunguka dunia nzima kukusanya hao wanyama?

Hadi Australia kukusanya kangaroos, Afrika kukusay Simba, swala n.k, huko Americas kukusanya puma n.k?

Vipi kuhusu wadudu kama vile sisimizi, siafu, mchwa, nyuki n.k? Alitumia muda gani kuwakusanya wote?
 
Aliweka wanyama wote duniani au baadhi ya wanyama?(sehemu waliyopo wao) kwani yale mafuriko yalikuwa ni dunia nzima? mungu si ameandika kuwa adhabu inawapata wahusika tu, mfano kipindi cha sodoma na gomora ukisoma historia kulikuwa na mji mwingine, wakati nabii lut yupo nabii ibrahim alikuwepo, walikuwa miji tofauti.Adhabu iliwakuta watu wa lut tu, mji wa ibrahim haukudhulika

Hivyo naimani adhabu ilikuwa sehemu ndogo ya dunia(mji aliokuwepo nuhu tu). so inawezekana kukusanya hao wanyama.
 
Kama adamu aliishi na hao wanyama wote bila kuliwa kwa nuhu inashindikana vp?

Kama daniel aliweza kupona kuliwa na simba wenye njaa kali kwa nuhu inashindika vp?

Kama nyoka aliweza kuongea na eva pia na yesu kule jangwani kwa nuhu inashindikana nini?

Kama yona aliweza kutapikwa na samaki mla watu kwa nuhu chashindikana nini?

Kama hata jua lilimtii musa likaganda mpaka izrael na joshua waliposhinda vita, ni nini kitakachoshindikana kwa nuhu?

Hebu tafakari kwanza hayo kama bado unamaswali niambie nikujibu
Bravo
 
Kama adamu aliishi na hao wanyama wote bila kuliwa kwa nuhu inashindikana vp?

Kama daniel aliweza kupona kuliwa na simba wenye njaa kali kwa nuhu inashindika vp?

Kama nyoka aliweza kuongea na eva pia na yesu kule jangwani kwa nuhu inashindikana nini?

Kama yona aliweza kutapikwa na samaki mla watu kwa nuhu chashindikana nini?

Kama hata jua lilimtii musa likaganda mpaka izrael na joshua waliposhinda vita, ni nini kitakachoshindikana kwa nuhu?

Hebu tafakari kwanza hayo kama bado unamaswali niambie nikujibu
Kiranga
 
Story ya Safina inasema Nuhu aliwaweka Wanyama wote duniani ndani ya Safina.

Swali?

Simba Na suala wanaweza kukaa sehemu moja hata kwa lsaa moja Tu achilia Mbali mwezi mzima?

Binadamu Na Simba? Binadamu Na nyoka? Kukaa sehemu moja ya wazi inawezekanaje jamani?

Vipi kuhusu Wanyama wadogo ambao life span yao ni wiki Moja au mwezi mmoja?

Vipi kuhusu Wanyama wa baharini kama nyangumi na papa?
Lakini Nuhu atakuwa alifanya kazi ya ziada, imagine, aliwasaka mpaka viroboto, utitiri, chawa and the like
 
Wanyama wa majini sidhani kama waliingia kwenye safina koz asili yao ni maji.
 
Kuhusu nyangumi na viunbe wengine wa baharini wanaweza kuhimilili maji kwa uwezo mkubwa. Vilevile safina ilikiwa kubwa, yenye partition za kutosha. Kila kiumbe alikaa sehemu anayostahili na wenye lifespan ndogo walikuwa wanendelea kuzaliana. Mungu siyo binadamu, Mungu siyo mtu, ukitafakari habari zake hautafikia mwisho. Uwezo wake hauna mwisho akiamua huwezi pinga
 
Lakini Nuhu atakuwa alifanya kazi ya ziada, imagine, aliwasaka mpaka viroboto, utitiri, chawa and the like
🤣🤣🤣🤣 Fala Sana we jamaa
 
Back
Top Bottom