Jamaa kauliza swali la kufikirisha kuhusu Safina ya Nuhu.

Jamaa kauliza swali la kufikirisha kuhusu Safina ya Nuhu.

Story ya Safina inasema Nuhu aliwaweka Wanyama wote duniani ndani ya Safina.

Swali?

Simba Na suala wanaweza kukaa sehemu moja hata kwa lsaa moja Tu achilia Mbali mwezi mzima?

Binadamu Na Simba? Binadamu Na nyoka? Kukaa sehemu moja ya wazi inawezekanaje jamani?

Vipi kuhusu Wanyama wadogo ambao life span yao ni wiki Moja au mwezi mmoja?

Vipi kuhusu Wanyama wa baharini kama nyangumi na papa?
Mkuu kwani mahusiano ya Nuhu na wanyama kipindi hicho ni sawa na leo, afterall wanyama waliopo leo si wale waliokuwepo enzi za nuhu.......ndo maana zamani kulikuwepo wanyama wakubwa wakiitwa dinosaurs. Halafu kama Mungu alipanga hilo jambo liwe hivyo ni nani sasa wa kumzuia ili hali yeye ana mamlaka kwa viumbe wote.
 
Je nuhu alitumia usafiri gani kuzunguka dunia nzima kukusanya hao wanyama?

Hadi Australia kukusanya kangaroos, Afrika kukusay Simba, swala n.k, huko Americas kukusanya puma n.k?

Vipi kuhusu wadudu kama vile sisimizi, siafu, mchwa, nyuki n.k? Alitumia muda gani kuwakusanya wote?
[emoji1787][emoji1787] kama sisimizi alijuaje huyu wa kiume huyu wa kike?
 
Story ya Safina inasema Nuhu aliwaweka Wanyama wote duniani ndani ya Safina.

Swali?

Simba Na suala wanaweza kukaa sehemu moja hata kwa lsaa moja Tu achilia Mbali mwezi mzima?

Binadamu Na Simba? Binadamu Na nyoka? Kukaa sehemu moja ya wazi inawezekanaje jamani?

Vipi kuhusu Wanyama wadogo ambao life span yao ni wiki Moja au mwezi mmoja?

Vipi kuhusu Wanyama wa baharini kama nyangumi na papa?
hiyo safina unajua ilivyojengwa? au unaropoka tuu?

afu hapo kwenye viumbe wa baharini umeropoka.
 
Story ya Safina inasema Nuhu aliwaweka Wanyama wote duniani ndani ya Safina.

Swali?

Simba Na suala wanaweza kukaa sehemu moja hata kwa lsaa moja Tu achilia Mbali mwezi mzima?

Binadamu Na Simba? Binadamu Na nyoka? Kukaa sehemu moja ya wazi inawezekanaje jamani?

Vipi kuhusu Wanyama wadogo ambao life span yao ni wiki Moja au mwezi mmoja?

Vipi kuhusu Wanyama wa baharini kama nyangumi na papa?

swali la kijinga sana wewe unacheza na nguvu ya mungu hujui yeye ndie aliyewaumba wanyama wote binadamu na mbingu na ardhi na yeye ndie mwenye kuadhibu. hujui siku hiyo alitoa amri kumwambia nuhu afanye kama alivyoelekezwa na yeye ndie aliwafanya wanyama kuwa wapole maana siku hiyo ni siku ya adhabu.ikiwa yesu ni mtume tu na mungu akampa nguvu ya kuponya vipofu na kufufua vipi unashindwa kujua nguvu za mwenyewe mungu. hujiulizi moto kazi yake kuunguza nabii abraham aliwekwa kwenye moto na hakuungua. hujiulizi maji ya baharini nabii musa alipiga fimbo kwa amri ya mungu na bahari ikaachia njia na yeye akapita.mwisho kabisa hujiulizi wewe ulianza kwa shahawa baadae mungu akakufanya pande la nyama tumboni kwa mama yako baadae akaanza kukupa viungo na mwisho akakupulizia roho na baadae ukatoka tumboni unalia na sasa umekuwa na unamkejeli nasema wewe mtoa mada fala sana
 
Story ya Safina inasema Nuhu aliwaweka Wanyama wote duniani ndani ya Safina.

Swali?

Simba Na suala wanaweza kukaa sehemu moja hata kwa lsaa moja Tu achilia Mbali mwezi mzima?

Binadamu Na Simba? Binadamu Na nyoka? Kukaa sehemu moja ya wazi inawezekanaje jamani?

Vipi kuhusu Wanyama wadogo ambao life span yao ni wiki Moja au mwezi mmoja?

Vipi kuhusu Wanyama wa baharini kama nyangumi na papa?
ila hapo kwenye nyañgumi na papa, ni ukiazi kuwaza samaki wa baharini atolewe awekwe nchi kavu, hao walibaki humo humo walipokuwa

kuhusu wanyama kukaa pamoja, alie juu hashindwi kitu na ndio maana Danieli alitupwa kwenye shimo lenye Simba wakali lakini hakuguswa
 
Story ya Safina inasema Nuhu aliwaweka Wanyama wote duniani ndani ya Safina.

Swali?

Simba Na suala wanaweza kukaa sehemu moja hata kwa lsaa moja Tu achilia Mbali mwezi mzima?

Binadamu Na Simba? Binadamu Na nyoka? Kukaa sehemu moja ya wazi inawezekanaje jamani?

Vipi kuhusu Wanyama wadogo ambao life span yao ni wiki Moja au mwezi mmoja?

Vipi kuhusu Wanyama wa baharini kama nyangumi na papa?
Kila wanyama walichukuliwa chakula chao Simba, swala, mbwa, Tembo, koo njaa haikuwepo.

Kuhusu nyangumi & samaki hao viumbe walikuwa wa majini hawakuhusishwa kuwekwa kwenye safina sbb maji yasinge wadhuru ndo maisha yao.

Na kuteketeza dunia kwa maji ni kwa ajili ya kuua waovu wanadamu na sio wanyama

N:B nimefikiria tuuu na sio mandiko
 
Biblia naiamini Ila Kuna mambo mengi hayajakamilika na yana mkanyiko wa kutosha nabaki tu kusema jina la Bwana libarikiwe
 
swali la kijinga sana wewe unacheza na nguvu ya mungu hujui yeye ndie aliyewaumba wanyama wote binadamu na mbingu na ardhi na yeye ndie mwenye kuadhibu. hujui siku hiyo alitoa amri kumwambia nuhu afanye kama alivyoelekezwa na yeye ndie aliwafanya wanyama kuwa wapole maana siku hiyo ni siku ya adhabu.ikiwa yesu ni mtume tu na mungu akampa nguvu ya kuponya vipofu na kufufua vipi unashindwa kujua nguvu za mwenyewe mungu. hujiulizi moto kazi yake kuunguza nabii abraham aliwekwa kwenye moto na hakuungua. hujiulizi maji ya baharini nabii musa alipiga fimbo kwa amri ya mungu na bahari ikaachia njia na yeye akapita.mwisho kabisa hujiulizi wewe ulianza kwa shahawa baadae mungu akakufanya pande la nyama tumboni kwa mama yako baadae akaanza kukupa viungo na mwisho akakupulizia roho na baadae ukatoka tumboni unalia na sasa umekuwa na unamkejeli nasema wewe mtoa mada fala sana
Mbona unanitisha Tena mkuu?
 
Story ya Safina inasema Nuhu aliwaweka Wanyama wote duniani ndani ya Safina.

Swali?

Simba Na suala wanaweza kukaa sehemu moja hata kwa lsaa moja Tu achilia Mbali mwezi mzima?

Binadamu Na Simba? Binadamu Na nyoka? Kukaa sehemu moja ya wazi inawezekanaje jamani?

Vipi kuhusu Wanyama wadogo ambao life span yao ni wiki Moja au mwezi mmoja?

Vipi kuhusu Wanyama wa baharini kama nyangumi na papa?
Ile mambo tulipigwa na kitu kizitu chenye ncha kali
 
Safina ili
Story ya Safina inasema Nuhu aliwaweka Wanyama wote duniani ndani ya Safina.

Swali?

Simba Na suala wanaweza kukaa sehemu moja hata kwa lsaa moja Tu achilia Mbali mwezi mzima?

Binadamu Na Simba? Binadamu Na nyoka? Kukaa sehemu moja ya wazi inawezekanaje jamani?

Vipi kuhusu Wanyama wadogo ambao life span yao ni wiki Moja au mwezi mmoja?

Vipi kuhusu Wanyama wa baharini kama nyangumi na papa?
Safina ilikuwa na partition mkuu, kila wanyama walikaa kivyao.
 
Mwenyezi Mungu anatoa summary tu sasa aleze kila kitu A to Z bila kuacha hapo vitabu vyake vingekuwa na ukubwa uliopitiliza . Ilimradi una uhakika na Imani kuwa hayo maandiko ni ya Mwenyezi Mungu basi inapaswa kuamini moja kwa moja bila shaka ya aina yeyote.
 
Inaposemwa kwamba Mungu AKASEMA usifikiri alikuwa anatamka halafu vitu vinatokea kama mazingaombwe.

Alikuwa anatoa amri kitu Fulani kitengenezwe Na kinatengenezwa.

So tunaposema Kwa mfano Mungu alimuumba mtu hatumaanishi kwamba Mungu mwenyewe alichukua udongo aka mfinyanga MTU isipokuwa tunaamanisha kwamba Mungu alitoa amri au maelekezo atengenezwe kiumbe binadamu and then Malaika wake special ambao aliwapa maarifa ya kutengeneza viumbe kupitia elimu ya genetical engineering wakafanya Kazi ya kumtengeneza binadamu Kwa amri Na maelekezo ya Mungu.

Yani ni Sawa tunavyo SEMA uwanja umetengenezwa Na Mkapa au Stendi ya Magufuli, Mkapa & Magufuli hawakusogeza hata tofali Moja isipokuwa walitoa fund Na amri.

Point yangu Ni kwamba Mungu alitoa amri lakini utekelezaji wa amri lazima uendane Na kanuni ZA asili ambazo Mungu mwenyewe ndio kaziweka. Ndio maana hata hiyo Safina yenyewe Nuhu alielekezwa mpaka vipimo ili kusurvive Kwa Safina hiyo kuendane Na kanuni ZA asili ZA Mungu mwenyewe.

Kwa hiyo swali bado linabaki pale pale.
Mungu "akasema" inamaana ni "yeye" sio "wao" ingekua anawaambia hao malaika unaosema ingeandikwa Mungu "akawaambia"

ndio maana pana tofauti kati ya verse hizo za mwanzo na hii Mwanzo 1 :26 "na tuumbe mtu kwa mfano wetu" kwa mstari huu ndio unaweza sema aliwashirikisha( sio kwamba aliwatuma)hao wengine.
kama ingekua alisema ili watu wafanye mwamdishi asingesema Mungu akasema Iwe nuru, nuru ikawa!!! kuonyesha msisitizo wa mamlaka aliyonayo ambayo mpaka leo bado hatujagundua vyema ndio mana tunasema uumbaji sio utengenezwaji/Ugunduzi
 
Kama yule jamaa alieuliza je Kuna maisha baada ya kifo? Ye akajibiwa je kabla ya kuzaliwa unakumbuka kuna maisha yoyote uliwahi kuishi?

Sema tunaambiwa tusibishane na vitabu tutapata dhambi
 
Story ya Safina inasema Nuhu aliwaweka Wanyama wote duniani ndani ya Safina.

Swali?

Simba Na suala wanaweza kukaa sehemu moja hata kwa lsaa moja Tu achilia Mbali mwezi mzima?

Binadamu Na Simba? Binadamu Na nyoka? Kukaa sehemu moja ya wazi inawezekanaje jamani?

Vipi kuhusu Wanyama wadogo ambao life span yao ni wiki Moja au mwezi mmoja?

Vipi kuhusu Wanyama wa baharini kama nyangumi na papa?
Kwani umeambiwa hiyo safina ilikuwa kama kidumu? Aidha, hizi hadithi ni zaidi ya tufikiriavyo pengine. Kwamba wanyama wote aliwakusanyaje jamani
 
Story ya Safina inasema Nuhu aliwaweka Wanyama wote duniani ndani ya Safina.

Swali?

Simba Na suala wanaweza kukaa sehemu moja hata kwa lsaa moja Tu achilia Mbali mwezi mzima?

Binadamu Na Simba? Binadamu Na nyoka? Kukaa sehemu moja ya wazi inawezekanaje jamani?

Vipi kuhusu Wanyama wadogo ambao life span yao ni wiki Moja au mwezi mmoja?

Vipi kuhusu Wanyama wa baharini kama nyangumi na papa?
Ila mvua kunyesha kutokea chini na juu huoni maajabu? Mwacheni Mungu aitwe Mu.....
 
Nuhu alinituma nikaangalie maji kama yamekauka nikamletea mjani cannabis sativa kumuonyesha kwamba maji yamekauka maana alitumwa njiwa akapoteleana huko
.

..... baadae kidogo simuoni na mjani niliomletea ila akiongea mdomoni alikuwa anatoa moshi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom