Inaposemwa kwamba Mungu AKASEMA usifikiri alikuwa anatamka halafu vitu vinatokea kama mazingaombwe.
Alikuwa anatoa amri kitu Fulani kitengenezwe Na kinatengenezwa.
So tunaposema Kwa mfano Mungu alimuumba mtu hatumaanishi kwamba Mungu mwenyewe alichukua udongo aka mfinyanga MTU isipokuwa tunaamanisha kwamba Mungu alitoa amri au maelekezo atengenezwe kiumbe binadamu and then Malaika wake special ambao aliwapa maarifa ya kutengeneza viumbe kupitia elimu ya genetical engineering wakafanya Kazi ya kumtengeneza binadamu Kwa amri Na maelekezo ya Mungu.
Yani ni Sawa tunavyo SEMA uwanja umetengenezwa Na Mkapa au Stendi ya Magufuli, Mkapa & Magufuli hawakusogeza hata tofali Moja isipokuwa walitoa fund Na amri.
Point yangu Ni kwamba Mungu alitoa amri lakini utekelezaji wa amri lazima uendane Na kanuni ZA asili ambazo Mungu mwenyewe ndio kaziweka. Ndio maana hata hiyo Safina yenyewe Nuhu alielekezwa mpaka vipimo ili kusurvive Kwa Safina hiyo kuendane Na kanuni ZA asili ZA Mungu mwenyewe.
Kwa hiyo swali bado linabaki pale pale.