Jamaa kauliza swali la kufikirisha kuhusu Safina ya Nuhu.

Jamaa kauliza swali la kufikirisha kuhusu Safina ya Nuhu.

Mkuu ipo hivi binaadamu hakuanza kupata akili leo kama ushawahi kutembelea kwenye maonyesho ya wanyama utajua “ yanatengenezwa mabanda ya machuma wanyama wakali wanafungiwa kwenye vilinge vyao.. Kama simba na wengine..na wale ambao sio wakali unapishana nao kama tausi na wengineo .. wewe unataka uambiwe kila kitu kwenye hivyo vitabu wewe umekuwa nan? Jiongeze Mzee
 
Kuhusa wanyama wa baharini...hawa kuwekwa kwenye safina kwa sababu mungu alijua ata angamiza dunia kwa maji..hivyo samaki aki wekewa maji mengi afiii bali ana ishiii...
 
Mimi uwa najifikiria ety samaki na wenzie wa majini wanaingizwa kwenye safina kukimbia maji.😬😬
 
  • Kicheko
Reactions: BRB
Kuhusa wanyama wa baharini...hawa kuwekwa kwenye safina kwa sababu mungu alijua ata angamiza dunia kwa maji..hivyo samaki aki wekewa maji mengi afiii bali ana ishiii...
Nimewaza tu, Samaki wa maji chumvi akikutana na maji baridi itakuwaje? au wa maji majirid akutana na maji chumvi,


au wakute maji yaliyo kuwa diluted itakuwaje . May be Ndio reasona hapo ya kuwatoa huko


But sehem ya kufurahisha, aliingizaje Nyangumi? na natural habitat yake aliwekaje ktk Safina?
 
Inaposemwa kwamba Mungu AKASEMA usifikiri alikuwa anatamka halafu vitu vinatokea kama mazingaombwe.

Alikuwa anatoa amri kitu Fulani kitengenezwe Na kinatengenezwa.

So tunaposema Kwa mfano Mungu alimuumba mtu hatumaanishi kwamba Mungu mwenyewe alichukua udongo aka mfinyanga MTU isipokuwa tunaamanisha kwamba Mungu alitoa amri au maelekezo atengenezwe kiumbe binadamu and then Malaika wake special ambao aliwapa maarifa ya kutengeneza viumbe kupitia elimu ya genetical engineering wakafanya Kazi ya kumtengeneza binadamu Kwa amri Na maelekezo ya Mungu.

Yani ni Sawa tunavyo SEMA uwanja umetengenezwa Na Mkapa au Stendi ya Magufuli, Mkapa & Magufuli hawakusogeza hata tofali Moja isipokuwa walitoa fund Na amri.

Point yangu Ni kwamba Mungu alitoa amri lakini utekelezaji wa amri lazima uendane Na kanuni ZA asili ambazo Mungu mwenyewe ndio kaziweka. Ndio maana hata hiyo Safina yenyewe Nuhu alielekezwa mpaka vipimo ili kusurvive Kwa Safina hiyo kuendane Na kanuni ZA asili ZA Mungu mwenyewe.

Kwa hiyo swali bado linabaki pale pale.
Sasa kama Wayashuhudia yote Haya, yanini Kushangaa Simba Kukaa Sehemu Moja na Swala ?
Umesema Mungu akitoa AMRI lazima itekelezwe
 
Sasa kama Wayashuhudia yote Haya, yanini Kushangaa Simba Kukaa Sehemu Moja na Swala ?
Umesema Mungu akitoa AMRI lazima itekelezwe
Soma Tena komenti yangu vizuri. Amri za Mungu zinaendana na kanuni alizo ziweka yeye mwenyewe. Ndio maana Mungu hawezi kutoa amri watoto wenye mwezi mmoja watembee, waongee, waoane etc
 
Simba mara nyingi tu anakula mama swala au nyumbu halafu haui mtoto tena anaweza ku hang nae kama mwanae tu
Ni kweli kabisa kuhusu hilo hata paka mwenye malengo hali panya mwenye mimba
 
Back
Top Bottom