Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Imajini watu tunagongea hadi vocha za simu halafu kuna bwege mmoja anafanya kazi na kujiita mwanasheria halafu anatuma msg anataka mchango wa birthday yake mwezi ujao.
Huyu jamaa ni hasara taslimu. Yaani kuzaliwa kwake yeye iwe kero kwa wengine? Na mimi toka azaliwe sijaona faida yake kwangu. Leo tena sina kazi eti nimchangie birthday yake?
Halafu muanze kusema sisi wengine wakorofi. Nmemtukana sana...sana.mpaka ametuma emojis za kuonesha analia. Nikamwambia angekuwa karibu ningemfanya kitu kibaya sana. Bwege, Fala, Majnusi,Laana Khum, Khalmatus, Zebwe kabisa.
Hawa watu wa namna hii ni bora wangefanywa mbolea tu watumike kukuzia hata mboga mboga sisi tule maana ni wapuuzi sana.
Huyu jamaa ni hasara taslimu. Yaani kuzaliwa kwake yeye iwe kero kwa wengine? Na mimi toka azaliwe sijaona faida yake kwangu. Leo tena sina kazi eti nimchangie birthday yake?
Halafu muanze kusema sisi wengine wakorofi. Nmemtukana sana...sana.mpaka ametuma emojis za kuonesha analia. Nikamwambia angekuwa karibu ningemfanya kitu kibaya sana. Bwege, Fala, Majnusi,Laana Khum, Khalmatus, Zebwe kabisa.
Hawa watu wa namna hii ni bora wangefanywa mbolea tu watumike kukuzia hata mboga mboga sisi tule maana ni wapuuzi sana.