Mimi mwezi uliopita mtu wa aina hiyo amenitumia text kwamba anatarajia kufanya birthday yake mwezi wa nane mwaka huu [emoji38][emoji38], imagine vichwa vya watu wengine vinavyowaza na huyo ni kijana ambaye umri wake ni wa mtu mwenye majukumu kabisa.Sikuijibu Ile meseji baada ya siku tatu akatuma tena ktk WhatsApp yangu nikaisoma na blue tick akaziona ila nikapiga kimya.Yani mtu seriously kijana wa kiume anakwambia zipo kadi za single elfu 10 na double elfu 20 aiseee nilijawa na hasira kwanini watu wasiwekeze ktk vitu vinavyowaletea maendeleo,nadhani kwa kutojibu text zake ilikua jibu ila akipiga simu kukumbushia ntaamini ana shida ktk kichwa chake.