Jamaa yangu anakula dada na mdogo wake

Jamaa yangu anakula dada na mdogo wake

Hapana kama alifanya basi tukio linafanana tu,ni ndugu yangu ,jamaa alikuwa na pesa na alikuwa anahonga vizuri tu ,ndugu zake wa kike wakaingia tamaa kwa jinsi jamaa alivyokuwa anahudumia familia ,so madada mtu wakaanza kujipendekeza ,jamaa naye akawa anatembeza rungu kama comrade kipepe.
Dada zake?? Like serious!!!!
 
Hapana kama alifanya basi tukio linafanana tu,ni ndugu yangu ,jamaa alikuwa na pesa na alikuwa anahonga vizuri tu ,ndugu zake wa kike wakaingia tamaa kwa jinsi jamaa alivyokuwa anahudumia familia ,so madada mtu wakaanza kujipendekeza ,jamaa naye akawa anatembeza rungu kama comrade kipepe.
Dada zake wa tumbo moja au umekosea?
 
Yanatokea sana hayo madudu na nina mfano wa wazi kabisa kwa jamaa mmoja mwenyeji wa Bukoba ambaye alimuoa mwanamke ambaye walizaa naye but hakuchukua miaka, baadaye akaachana naye muda mfupi tena akabeba mdogo wake wa aliyekuwa mkewe na yeye kazaa naye na bado anaishi naye mpaka sasa.

Jambo kama hili huwa siyo zuri na mwanaume anayefanya hivi kwa uchawi au zinaa haimpi sifa nzuri zaidi ya kuharibu haiba ya maisha ya watoto watakapokuwa wakubwa.

Note: Jamaa siyo njaa kali ni mtu mwenye nafasi kwenye vitengo vya serikali yenu.
 
Yaani huyu jamaa ana roho ngumu sana kaamua kuchanganya wote maana mdogo mtu ni mzuri kuliko dada mtu ila kinachoniuma mdogo mtu bado anasoma na kingine zaidi najiuliza endapo kwa bahati mbaya iwe sasa jamaa ni mwathirika sasa si atakuwa kashawamaliza dada na mdogo wake? Kingine namlaumu sana huyu dada kumtambulisha mdogo wake kwa jamaa.

Nyie wanawake kwenye mahusiano msipende kuwatuma wadogo zenu kwa shemeji yao kwani baadhi ya wanaume sio waaminifu.
Hivi ukitaka kula mdogo wa ex kuna shida? Maana kuna mdogo wa ex kanishobokea na nimeshampanga kakubali nile mzigo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani huyu jamaa ana roho ngumu sana kaamua kuchanganya wote maana mdogo mtu ni mzuri kuliko dada mtu ila kinachoniuma mdogo mtu bado anasoma na kingine zaidi najiuliza endapo kwa bahati mbaya iwe sasa jamaa ni mwathirika sasa si atakuwa kashawamaliza dada na mdogo wake? Kingine namlaumu sana huyu dada kumtambulisha mdogo wake kwa jamaa.

Nyie wanawake kwenye mahusiano msipende kuwatuma wadogo zenu kwa shemeji yao kwani baadhi ya wanaume sio waaminifu.
Kiuzoefu....huyo mdogo mtu kataka mwenyewe, niamini Mimi Jamaa hana kosa hata kidogo.
 
Back
Top Bottom