Jamaa yangu anakula dada na mdogo wake

Jamaa yangu anakula dada na mdogo wake

Unajua mleta maada kwa Karne hii hupaswi kushangaa Mambo yenye kubeba uovu maana unayoyaskia na kuyaona ni madogo Sana hupaswi hata kushangaa maovu Cha msingi ni kushangaa Mambo yenye kuleta tija na kua na huluka nayo. Yaani kwa mwanadamu ukikusanya shuhuda za watu juu ya uovu kila mmoja anaweza kukuambia kisa chake ambacho hataweza kukisahau
 
Acha wivu, sasa sisi tunaokula mama na mtoto wake, si ndio utazimia?
 
Ni kawaida. Zamani nimewahi kula mtu na dada yake na mama yao mdogo. Na shangaI yao nilimkosakosa sababu nilisafiri ila alishaingia laini
 
Hakuna shida. Huyo ni ndugu yake na x wako, sio ndugu yako!

Nje ya mada, hivi ni kwanini siku zote mdogo mtu hua ni mzuri kuliko dada yake? Mimi imeshanitokea zaidi ya mara mbili kuwataka wadada halafu baadae nikaja kuhamishia majeshi kwa wadogo zao.
NB: mara zote nilikua sijala dada mtu bado.
Ni kweli na mm kuna mdogo wa demu wangu nammendea niteme sumu
 
Yaani huyu jamaa ana roho ngumu sana kaamua kuchanganya wote maana mdogo mtu ni mzuri kuliko dada mtu ila kinachoniuma mdogo mtu bado anasoma na kingine zaidi najiuliza endapo kwa bahati mbaya iwe sasa jamaa ni mwathirika sasa si atakuwa kashawamaliza dada na mdogo wake? Kingine namlaumu sana huyu dada kumtambulisha mdogo wake kwa jamaa.

Nyie wanawake kwenye mahusiano msipende kuwatuma wadogo zenu kwa shemeji yao kwani baadhi ya wanaume sio waaminifu.
Acha umbea wako!
 
Bora uyo,
Kuna jamaa (miaka 35) alifumaniwa akimtafuna Bibi yake (miaka 62) na mchumba wake (miaka 22).

Badala ya kusikitika nilijikuta nimecheka[emoji4]
 
Back
Top Bottom