cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Hiyo familia umalaya uko damuniUnashangaa hiyo? Kuna jamaa alilamba wadada wanne wa familia moja ,akalamba shangazi mtu na mama yao kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo familia umalaya uko damuniUnashangaa hiyo? Kuna jamaa alilamba wadada wanne wa familia moja ,akalamba shangazi mtu na mama yao kabisa.
Mkuu haujaelewa sio kwamba jamaa alikula dada zake nope!! Alikula madada wanne ndugu wa familia moja walikuwa mademu zake kwa muda tofauti tofauti kisirisiri.Dada zangu niliozaliwa nao tumbo moja hapana aseeeee daaah! Binti wa shangazi au mjomba tu siwezi pita nae sembuse dada yangu wa damu moja!?
Watu wa bukoba hyo tabia kwao ni kawaida kulana kuanzia dada mtu, mke Hadi mama mkwe ni kawaida tu ni mila hyo kabisaYanatokea sana hayo madudu na nina mfano wa wazi kabisa kwa jamaa mmoja mwenyeji wa bukoba ambaye alimuoa mwanamke ambaye walizaa naye but hakichukua miaka, baadaye akaachana naye muda mfupi tena akabeba mdogo wake wa aliyekuwa mkewe na yeye kazaa naye na bado anaishi naye mpaka sasa.
Jambo kama hili huwa siyo zuri na mwanaume anayefanya hivi kwa uchawi au zinaa haimpi sifa nzuri zaidi ya kuharibu haiba ya maisha ya watoto watakapokuwa wakubwa.
note: jamaa siyo njaa kali ni mtu mwenye nafasi kwenye vitengo vya serikali yenu.
Hapana madada wa jirani zetu tulipokuwa tumepanga.
Hakuna shida. Huyo ni ndugu yake na x wako, sio ndugu yako!Hivi ukitaka kula mdogo wa ex kuna shida? Maana kuna mdogo wa ex kanishobokea na nimeshampanga kakubali nile mzigo.
Sent using Jamii Forums mobile app
utopoloYaani huyu jamaa ana roho ngumu sana kaamua kuchanganya wote maana mdogo mtu ni mzuri kuliko dada mtu ila kinachoniuma mdogo mtu bado anasoma na kingine zaidi najiuliza endapo kwa bahati mbaya iwe sasa jamaa ni mwathirika sasa si atakuwa kashawamaliza dada na mdogo wake? Kingine namlaumu sana huyu dada kumtambulisha mdogo wake kwa jamaa.
Nyie wanawake kwenye mahusiano msipende kuwatuma wadogo zenu kwa shemeji yao kwani baadhi ya wanaume sio waaminifu.
Kwa nn unamsemea mtu? Acha afurahie uumbajiKinachoniuma huyu bint bado ni mwanafunzi alafu ni mdogo sana bado kwenye hayo mambo
Mileage ya dada Ni kubwa kuliko dogoHakuna shida. Huyo ni ndugu yake na x wako, sio ndugu yako!
Nje ya mada, hivi ni kwanini siku zote mdogo mtu hua ni mzuri kuliko dada yake? Mimi imeshanitokea zaidi ya mara mbili kuwataka wadada halafu baadae nikaja kuhamishia majeshi kwa wadogo zao.
NB: mara zote nilikua sijala dada mtu bado.
Bado kivipi na jamaa kashamla brother?Kinachoniuma huyu bint bado ni mwanafunzi alafu ni mdogo sana bado kwenye hayo mambo
Mkuu..hiyo nayo ni kesi?Yaani huyu jamaa ana roho ngumu sana kaamua kuchanganya wote maana mdogo mtu ni mzuri kuliko dada mtu ila kinachoniuma mdogo mtu bado anasoma na kingine zaidi najiuliza endapo kwa bahati mbaya iwe sasa jamaa ni mwathirika sasa si atakuwa kashawamaliza dada na mdogo wake? Kingine namlaumu sana huyu dada kumtambulisha mdogo wake kwa jamaa.
Nyie wanawake kwenye mahusiano msipende kuwatuma wadogo zenu kwa shemeji yao kwani baadhi ya wanaume sio waaminifu.
AuseMkuu..hiyo nayo ni kesi?
Kuna watu wanagonga mama na mtoto na safi tu.
. Mkuu una kibali?Mambo yao tuwachie..wenyewe..
cc mahondaw
Mbona safi tu mkuu?Ause
. Sawa mkuuNgoja tuone..
cc mahondaw
Kwanini usimuonye?Sio kufuatilia ni kitu unaona kabisa maana mtu unaishi nae pamoja
Mkuu kawaida sana siku hizi hata usishangae hata siyo ajabu kabisa kwanza nimeshangaa hadi umeanzisha thread kama jambo la ajabu kumbe kawaida kabisaYaani huyu jamaa ana roho ngumu sana kaamua kuchanganya wote maana mdogo mtu ni mzuri kuliko dada mtu ila kinachoniuma mdogo mtu bado anasoma na kingine zaidi najiuliza endapo kwa bahati mbaya iwe sasa jamaa ni mwathirika sasa si atakuwa kashawamaliza dada na mdogo wake? Kingine namlaumu sana huyu dada kumtambulisha mdogo wake kwa jamaa.
Nyie wanawake kwenye mahusiano msipende kuwatuma wadogo zenu kwa shemeji yao kwani baadhi ya wanaume sio waaminifu.
Hao waliochanganywa nyumba nzima sijui wanajisikiaje wakishajuaHyo familia umalaya uko damuni
Hawajielewi itakuwa ni zile familia za uswahili na hawana kipato kazi yao kudanga mtu mwenye manner's zake hawezi fanya ujinga huo aiseeHao waliochanganywa nyumba nzima sijui wanajisikiaje wakishajua