Dada zake?? Like serious!!!!Hapana kama alifanya basi tukio linafanana tu,ni ndugu yangu ,jamaa alikuwa na pesa na alikuwa anahonga vizuri tu ,ndugu zake wa kike wakaingia tamaa kwa jinsi jamaa alivyokuwa anahudumia familia ,so madada mtu wakaanza kujipendekeza ,jamaa naye akawa anatembeza rungu kama comrade kipepe.
Dada zake wa tumbo moja au umekosea?Hapana kama alifanya basi tukio linafanana tu,ni ndugu yangu ,jamaa alikuwa na pesa na alikuwa anahonga vizuri tu ,ndugu zake wa kike wakaingia tamaa kwa jinsi jamaa alivyokuwa anahudumia familia ,so madada mtu wakaanza kujipendekeza ,jamaa naye akawa anatembeza rungu kama comrade kipepe.
Serious mku kachapa madada wanne ndugu.Dada zake ?? Like serious!!!!
Tumbo moja mkuu, mbona kawaida hiyo, jamaa alikuwa na mpunga.Dada zake wa tumbo moja au umekosea ?
Hili sishangai sana. Inastaajabisha kupita na dada zake wa kuzaliwa tumbo mojaSerious mku kachapa madada wanne ndugu.
Dada zangu niliozaliwa nao tumbo moja hapana aseeeee daaah! Binti wa shangazi au mjomba tu siwezi pita nae sembuse dada yangu wa damu moja!?Tumbo moja mkuu ,mbona kawaida hiyo ,jamaa alikuwa na mpunga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio tatizo la kufuatilia mambo ya watu. Ungekua sio mkuda wala usingeyajua hayo yote.
Hamjaelewa.Dada zangu niliozaliwa nao tumbo moja hapana aseeeee daaah! Binti wa shangazi au mjomba tu siwezi pita nae sembuse dada yangu wa damu moja!?
OKHamjaelewa.
Dada wanne wa tumbo moja ila sio tumbo moja na Baharia aliyewalamba.
Hivi ukitaka kula mdogo wa ex kuna shida? Maana kuna mdogo wa ex kanishobokea na nimeshampanga kakubali nile mzigo.Yaani huyu jamaa ana roho ngumu sana kaamua kuchanganya wote maana mdogo mtu ni mzuri kuliko dada mtu ila kinachoniuma mdogo mtu bado anasoma na kingine zaidi najiuliza endapo kwa bahati mbaya iwe sasa jamaa ni mwathirika sasa si atakuwa kashawamaliza dada na mdogo wake? Kingine namlaumu sana huyu dada kumtambulisha mdogo wake kwa jamaa.
Nyie wanawake kwenye mahusiano msipende kuwatuma wadogo zenu kwa shemeji yao kwani baadhi ya wanaume sio waaminifu.
Duuh.... hiyo kufuru sasa🙄Unashangaa hiyo? Kuna jamaa alilamba wadada wanne wa familia moja ,akalamba shangazi mtu na mama yao kabisa.
Huyu katika Rank za mabaharia amefikia kuwa Kanali 😂😂😂Unashangaa hiyo? Kuna jamaa alilamba wadada wanne wa familia moja ,akalamba shangazi mtu na mama yao kabisa.
Kiuzoefu....huyo mdogo mtu kataka mwenyewe, niamini Mimi Jamaa hana kosa hata kidogo.Yaani huyu jamaa ana roho ngumu sana kaamua kuchanganya wote maana mdogo mtu ni mzuri kuliko dada mtu ila kinachoniuma mdogo mtu bado anasoma na kingine zaidi najiuliza endapo kwa bahati mbaya iwe sasa jamaa ni mwathirika sasa si atakuwa kashawamaliza dada na mdogo wake? Kingine namlaumu sana huyu dada kumtambulisha mdogo wake kwa jamaa.
Nyie wanawake kwenye mahusiano msipende kuwatuma wadogo zenu kwa shemeji yao kwani baadhi ya wanaume sio waaminifu.