Jamaa yangu anakula dada na mdogo wake

Unajua mleta maada kwa Karne hii hupaswi kushangaa Mambo yenye kubeba uovu maana unayoyaskia na kuyaona ni madogo Sana hupaswi hata kushangaa maovu Cha msingi ni kushangaa Mambo yenye kuleta tija na kua na huluka nayo. Yaani kwa mwanadamu ukikusanya shuhuda za watu juu ya uovu kila mmoja anaweza kukuambia kisa chake ambacho hataweza kukisahau
 
Acha wivu, sasa sisi tunaokula mama na mtoto wake, si ndio utazimia?
 
Ni kawaida. Zamani nimewahi kula mtu na dada yake na mama yao mdogo. Na shangaI yao nilimkosakosa sababu nilisafiri ila alishaingia laini
 
Ni kweli na mm kuna mdogo wa demu wangu nammendea niteme sumu
 
Acha umbea wako!
 
Bora uyo,
Kuna jamaa (miaka 35) alifumaniwa akimtafuna Bibi yake (miaka 62) na mchumba wake (miaka 22).

Badala ya kusikitika nilijikuta nimecheka[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…