Superpower
JF-Expert Member
- Oct 11, 2018
- 826
- 920
Tatizo binadamu wabishi sana...Mambo yao tuwachie..wenyewe..
cc mahondaw
Kuwa makini asije akahamia na kwako
Mkuu, kinachokuuma?Kinachoniuma huyu bint bado ni mwanafunzi alafu ni mdogo sana bado kwenye hayo mambo
Sory mkuu wee una dada?Mkuu, kinachokuuma?
Pilipili usizokula zinakuwasha vipi?
Duh kuna watu wanahatari kabisa mama, shangazi na watoto wanne...Unashangaa hiyo? Kuna jamaa alilamba wadada wanne wa familia moja ,akalamba shangazi mtu na mama yao kabisa.
🤣🤣Ndio tatizo la kufuatilia mambo ya watu. Ungekua sio mkuda wala usingeyajua hayo yote.
Mkuu, ingekuwa amebakwa ningekuelewa. Ila Kama kachagua kupata utamu na umri unamruhusu, utafanyaje?
Ni kweli na mm kuna mdogo wa demu wangu nammendea niteme sumuHakuna shida. Huyo ni ndugu yake na x wako, sio ndugu yako!
Nje ya mada, hivi ni kwanini siku zote mdogo mtu hua ni mzuri kuliko dada yake? Mimi imeshanitokea zaidi ya mara mbili kuwataka wadada halafu baadae nikaja kuhamishia majeshi kwa wadogo zao.
NB: mara zote nilikua sijala dada mtu bado.
Acha umbea wako!Yaani huyu jamaa ana roho ngumu sana kaamua kuchanganya wote maana mdogo mtu ni mzuri kuliko dada mtu ila kinachoniuma mdogo mtu bado anasoma na kingine zaidi najiuliza endapo kwa bahati mbaya iwe sasa jamaa ni mwathirika sasa si atakuwa kashawamaliza dada na mdogo wake? Kingine namlaumu sana huyu dada kumtambulisha mdogo wake kwa jamaa.
Nyie wanawake kwenye mahusiano msipende kuwatuma wadogo zenu kwa shemeji yao kwani baadhi ya wanaume sio waaminifu.
Mwamba katisha aisee[emoji2]Huyu katika Rank za mabaharia amefikia kuwa Kanali [emoji23][emoji23][emoji23]